johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tujadili tetesi?Ndio Taarifa zilizopo hapa Miyomboni Iringa kwamba hiyo miamba ni miongoni mwa wanaopitapita mitaani kuweka mambo sawa
Hata hivyo Jesca ambaye ni Mbunge wa sasa na Team Lowassa aliyetukuka anatajwa kutetea Jimbo lake
Ngoja tuone ๐๐๐ฅ
Kwako Lucas pale Vwawa ๐
Wapi ulipoambiwa ujadili? ๐ผTujadili tetesi?
Acha chukiWapi ulipoambiwa ujadili? ๐ผ
Chuki ni Jina la Mtu huko uzaramoni ๐ผAcha chuki
Ndio majibu yenu nzi wa KijaniChuki ni Jina la Mtu huko uzaramoni ๐ผ
HayaNdio majibu yenu nzi wa Kijani
Ndio Taarifa zilizopo hapa Miyomboni Iringa kwamba hiyo miamba ni miongoni mwa wanaopitapita mitaani kuweka mambo sawa
Hata hivyo Jesca ambaye ni Mbunge wa sasa na Team Lowassa aliyetukuka anatajwa kutetea Jimbo lake
Ngoja tuone ๐๐๐ฅ
Kwako Lucas pale Vwawa ๐
Itakuwa mtifuano wa ng'ombe wenye mikoa na walikatwa mikia.Ndio taarifa zilizopo hapa Miyomboni Iringa kwamba inadaiwa miamba hiyo ni miongoni mwa wanaopitapita mitaani kuweka mambo sawa
Hata hivyo Jesca ambaye ni Mbunge wa sasa na Team Lowassa aliyetukuka anatajwa kutetea Jimbo lake
Ngoja tuone ๐๐๐ฅ
Kwako Lucas pale Vwawa ๐
Yupo kwenye mwenge kuna chakula cha bureNdio taarifa zilizopo hapa Miyomboni Iringa kwamba inadaiwa miamba hiyo ni miongoni mwa wanaopitapita mitaani kuweka mambo sawa
Hata hivyo Jesca ambaye ni Mbunge wa sasa na Team Lowassa aliyetukuka anatajwa kutetea Jimbo lake
Ngoja tuone ๐๐๐ฅ
Kwako Lucas pale Vwawa ๐
Ndiyo nchi ya kipuuziHivi Steve Nyerere huko CCM Iringa anaesabiwa Kama Mmoja wa miamba ya CCM?
msigwa atapewa ukuu wa wilaya au ukuu wa mkoa. chalamila atachukua jimbo. ila steve hana hata uwezo kupata udiwani, wahehe ni wajomba zangu, walishamkataa kwanza wanasema ile sio mbegu ya kihehe, akatafute dingi yake kwengine (in wangoni's voice).Ndio taarifa zilizopo hapa Miyomboni Iringa kwamba inadaiwa miamba hiyo ni miongoni mwa wanaopitapita mitaani kuweka mambo sawa
Hata hivyo Jesca ambaye ni Mbunge wa sasa na Team Lowassa aliyetukuka anatajwa kutetea Jimbo lake
Ngoja tuone ๐๐๐ฅ
Kwako Lucas pale Vwawa ๐
Hata Chalamila alikuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa huku Kenani akiwa Mwenyekiti UVCCM ๐Watamuweza โJesca Msambatavanguโ yule mama inaonekana Mafia na keshakuwa mwenyekiti wa mkoa kwa tafsiri nyingine fitna za uchaguzi anazijua.
Bila ya kusahau ni mmoja wa watu waliotoka nje Lowassa alipokatwa na kiongozi wa โEmmanuel Nchimbiโ ndio katibu mkuu wa CCM.
Sioni wa kumtoa yule mama pale, labda itokee miujiza.
Watamkuta Msambatavangu ili wapelekwe vizuri kumalizwa pale 'Kitanzini'Ndio taarifa zilizopo hapa Miyomboni Iringa kwamba inadaiwa miamba hiyo ni miongoni mwa wanaopitapita mitaani kuweka mambo sawa
Hata hivyo Jesca ambaye ni Mbunge wa sasa na Team Lowassa aliyetukuka anatajwa kutetea Jimbo lake
Ngoja tuone ๐๐๐ฅ
Kwako Lucas pale Vwawa ๐