Tetesi: Inadaiwa UDOM imekosa hela za kulipa posho za wahadhiri

Tetesi: Inadaiwa UDOM imekosa hela za kulipa posho za wahadhiri

Prof Mlacha kuna kipindi aliwaambia ule ni msitu, kipindi wanaimba nyimbo za kama sio juhudi zake Nyerere na akasema pia yeye ni simba kwahiyo wao waseme ni wanyama gani palešŸ˜šŸ¤”
 
Juzijuzi Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alipohojiwa alisema hivi karibuni watamwaga pesa nyingi mtaani. Sasa badala ya pesa kumwaga sasa hata za kulipa watu zinakosekana.

Taarifa zilizopo ni kwamba Chuo Kikuu cha Dodoma hakina pesa. Kukosekana kwa pesa kumesababisha wahadhiri wasipewe posho zao. Wahadhiri hao wameambiwa watapewa chuo hakina fedha hadi November ndipo watalipwa posho zao.

Huu ni mwezi September. Hivyo kwa miezi miwili hadi November wahadhiri hao watakuwa wanafanya kazi bila posho yoyote.

Utafiti wetu unaendelea kuona kama vyuo vikuu vingine hali ni hiyohiyo
Zimekuwa kama shule za private hasa zile KKKT.Wanazungumzia November watakapofungua chuo,wanafunzi watakapokuja na ada
 
Gaidi Mwigulu Nchemba hakustahili Wizara yoyote ile kwenye Baraza la Mawaziri. Huyo nĆ” PhD yake FAKE ni janga kubwa la Taifa.
Juzijuzi Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alipohojiwa alisema hivi karibuni watamwaga pesa nyingi mtaani. Sasa badala ya pesa kumwaga sasa hata za kulipa watu zinakosekana.

Taarifa zilizopo ni kwamba Chuo Kikuu cha Dodoma hakina pesa. Kukosekana kwa pesa kumesababisha wahadhiri wasipewe posho zao. Wahadhiri hao wameambiwa watapewa chuo hakina fedha hadi November ndipo watalipwa posho zao.

Huu ni mwezi September. Hivyo kwa miezi miwili hadi November wahadhiri hao watakuwa wanafanya kazi bila posho yoyote.

Utafiti wetu unaendelea kuona kama vyuo vikuu vingine hali ni hiyohiyo
 
Kuchelewa kulipwa posho ni jambo la kawaida, ikiwezekana walipwe hata mwaka 2025...
 
Vyuo vingi vinajiendesha kwa ada,na mara nyingi mapato ya ada yanabaki chuoni, mshahara tu ndio unatoka hazina kwa wale wenye ajira ya kudumu; hapo uongozi wa chuo ndio unatakiwa ujieleze, mapato na matumizi yakoje.
 
Posho kuchelewa S Big issue n mambo ambayo hutokea katika taasis nying
 
Prof Mlacha kuna kipindi aliwaambia ule ni msitu, kipindi wanaimba nyimbo za kama sio juhudi zake Nyerere na akasema pia yeye ni simba kwahiyo wao waseme ni wanyama gani palešŸ˜šŸ¤”
Prof mlacha bado yupo pale kwani??
 
Back
Top Bottom