Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Alipopata mhuri akaachana na upolisi maana ni kazi ya hovyo snMadereka si alikuwa Police uyu aliachaje iyo kazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipopata mhuri akaachana na upolisi maana ni kazi ya hovyo snMadereka si alikuwa Police uyu aliachaje iyo kazi?
Sasa mbona wenzake wanataka kumla nyamaAlipopata mhuri akaachana na upolisi maana ni kazi ya hovyo sn
Ulipata Noah yako ngosha?Na Acacia pia tutashitakiwa MIGA tukihoji mikataba.
Ulaya ndio kimbilio la waafrika wanaokimbia kuuliwa na waafrika wenzaoAmsterdam ana mamlaka gani Belgium ya kumpa hifadhi Tundu Lisu?
Huwa mnajitowa akili au ni kweli akili zenyewe hamna?
Mwanangu Nimekuwa ban la siku 21. Ndo natoka Sasa hivi?Kama hujala ban utaniambia
Soma sheria za JF. Dhumuni la kuruhusu matumizi ya fake ID ni kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao. Ni marufuku kumtaja member kwa jina lake halisi au kukisia. Inaitwa Name CallingMwanangu Nimekuwa ban la siku 21. Ndo natoka Sasa hivi?
Kwani hapo kosa ni Nini? Mimi sijaelewa hata.
Asante Mkuu.Soma sheria za JF. Dhumuni la kuruhusu matumizi ya fake ID ni kuwapa watu uhuru wa kutoa maoni yao. Ni marufuku kumtaja member kwa jina lake halisi au kukisia. Inaitwa Name Calling