Tetesi: Inadaiwa Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa Serena Hotel

Tetesi: Inadaiwa Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa Serena Hotel

Si kasema kuna jamaa wa uhamiaji wanapanga kumuua kwenye group la WhatsApp sasa ngoja akatoe maelezo vizuri huko polisi.
Ameitwa kama alivyoitwa Makonda. Kila mtu ana haki ya kuripoti polisi anapohisi usalama wake uko mashakani
 
Huyo anatakiwa akae kwenye kanyampasila wiki mbili , huku akila pumba na maji ...
Kanyampasila ni terminology ya wanaumoja/Sgang sio, Kwa Imani hiyo atawaunga mkono wanaumoja wenzio/wanakanyampasila wenzio pekee 😂
 
SASA KAMA ANAKOSA ASIKAMATWE YEYE NI NANI? ACHENI UHUNI WENU ITAJULKIKANA ALIKOSEA WAPI AU TAYARI MMESHAJUWA KAKAMATWA KWAKOSA GANI?
Sheria inasema mtu anapokamatwa anapaswa kuambiwa anakamatwa kwa sababu gani au siyo?!
 
Wewe kweli kiazi jitahidi uwe msomaji zaidi kama kitu hukijui au humjui mtu husika.samahani kwa kutumia lugha ya kukera
Acha mihemko jifunze kujenga hoja sio kuleta mihemko na shida zako za maisha hili ni jukwaa huru kila mtu anaweza kutoa maoni yake.
 
Madeleka aliwatuhumu wazi wazi na kwamba anajua mbinu zao akadai yuko Tayari kuonana na Rais Samia amweleze ukweli
Kama kosa ni kutuhumu, hata ndugu pendwa Makonda katuhumu watu wengi tu. Hawa wenzetu watahitaji kuwa consistent katika utendaji wao. Sijui watawala nchi hii wanajua kuwa sheria zinatakiwa zitumike bila ubaguzi!? Kisha wanaalika watu wa kimataifa waje kutembelea Tanzania. Hii siyo biashara kichaa!?
 
SASA KAMA ANAKOSA ASIKAMATWE YEYE NI NANI? ACHENI UHUNI WENU ITAJULKIKANA ALIKOSEA WAPI AU TAYARI MMESHAJUWA KAKAMATWA KWAKOSA GANI?
Kwanini mnateka?
Kwani samanzi za kazi gani, kwani huyo jambazi?
 
Bora umesema na wewe mkuu...yaani kuna mijitu mijinga kabisa siku hizi humu ndani...huyo wakili ni nani hasa hata kukamatwa kwake iwe ni tatizo.
Na wewe unasapoti ujinga,au umekalia jiti la yehodaya????
 
Kwa hiyo aliyeleta taarifa ni mwandishi wa habari au humu JF wasio na taaluma ya uandishi hawaruhusiwi kuleta taarifa.

Unamaana CDM tu ndio huwa wanaleta taarifa zisizo na kina vyama vingine huwa vinajieleza kwa kina, kwa taarifa tu hata hao CNN/ BBC huwa wanaanza na Breaking News baadae wanakuja na taarifa kamili baada ya kujiridhisha.
Huyo jamaa huwa anajifanya GT kumbe nanga grade one.
 
Haya mambo sijui yataisha lini!
Ni sumu iliyokwishasambaa kote ndani ya jamii. Huenda isiishe kabisa. Itabaki kuwa utamaduni wetu mpya.

Kuiondoa sumu hiyo, ni lazima apatikane kiongozi atakayeaminiwa na wananchi, na afanye juhudi kubwa sana ya kuwaunganisha wananchi tena kama taifa moja.

Hawa viongozi tulionao sasa wanaendeleza tu tulipoishia na uongozi uliopita katika kusambaza sumu, hata kama njia zao zitaonekana kuwa ni tofauti na mtangulizi wao.
 
Samia Suluhu Hassan alikuwepo enzi za wasiojulikana. Nothing new here.
 
Wakili Peter Madeleka adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana muda mfupi baada ya kutoka katika Hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam Jioni hii...
Ok, mimi naona ipo vizuri, tusitake kuhamishia mambo ya kiusalama kwenye mitandao, ni hatari sana! Hatuendi kwa ushabiki hapa, wacha anyee debe na kumwaga mavi kwanza!

Lazina kuna kitu! Mbona mimi na wewe hatuhabambikiwa kitu tukakamatwa? Au maana ya polisi na vyombo vingine kwaulinzi na usalama ni nini?

Ngoja kwanza anyee debe mavi, hapo atashika adabu! Ikiwezekanamke wake aende akazoe mavi ya wanaume kule ndani kwenye ndinga!
 
Wakili Peter Madeleka adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana muda mfupi baada ya kutoka katika Hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam Jioni hii...
Huyu Madeleka ni nani, mbona hajulikani popote humu nchini?
 
Tanzania heeee Tanzania heeee Tanzania heeee!

Wimbo Ninao ukumbuka vyema niaingependa na wewe uuimbe la hasha!

Kwa kuwa Ndugu yangu kipenzi Cha mwendazake alitishiwa kuuwa na Mashoga wa magomeni,alitishiwa kuuwa na wauza Nganda,alitishiwa kuuwa na mafisa kesho lazima jeshi la polisi Kanda ya dare salaamu kitajitokeza na popote atakapo onekana na haitojarisha watakao mkamata watakuwa na uniform au la ila watamzoa na kumpeleka Centro.

Watakao enda wa kwanza kumuuliza wataambiwayakuwa hayupo lazima wadanyganywe maana tukisema yupo hapo Mashoga waweza choma moto kituo Cha polisi.

Kimsingi mkakati uliopo ambao nataka nyinyi nyote mliopo humu muujue ukitishiwa kuuwa jua jera au sero inakuusu Ili uwe salama zaidi maana tunaona upo. Atarini.

Kwa msingi huo muuaji au anae tishia kukuuua wewe mwana mwema wa nchi hii tutamwacha uraiani anakula vyuku wewe utapelekwa sero ukawe chakula Cha mbu na Mende Ili ujifunze kuwa kimnya

Ujifunze kuishi paspo kutishwa kuuawa ok.

Salamu zangu za dhati ziwafikie nyinyi nyote mliopo serooo pamoja na kama mwanasheria ndugli Peter madereka ngosha ulale salama hacha watishiaj wale Bata tumeambiwa upo mikono salama we salimika salamaaa.
 
Back
Top Bottom