Tetesi: Inadaiwa Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa Serena Hotel

Tetesi: Inadaiwa Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa Serena Hotel

Kihabari haiko sahihi ndio maana Tanzania waandishi wengi wa habari vigumu kupata kazi mashirika ya habari ya kimataifa kama CNN,BBC nk wako very shallow

Pia vyama vya upinzani ngumu kuaminiwa kimataifa sababu wako shallow kujenga hoja

Chadema ilipata wafadhili wengi Ulaya na Marekani kipindi cha Dr Slaa sababu alikuwa na evidence akituhumu Serikali anashusha ushahidi hadi basi

Chadema sasa hivi kazi kurusha umbeya kwanza hawajui kuwa taarifa ya kwanza ndio ya muhimu inabidi abebe ushahidi na taarifa za uhakika

Wao wanaweka breaking news za kibwege zisizo na taarifa za kina ni utoto
Kwa hiyo aliyeleta taarifa ni mwandishi wa habari au humu JF wasio na taaluma ya uandishi hawaruhusiwi kuleta taarifa.

Unamaana CDM tu ndio huwa wanaleta taarifa zisizo na kina vyama vingine huwa vinajieleza kwa kina, kwa taarifa tu hata hao CNN/ BBC huwa wanaanza na Breaking News baadae wanakuja na taarifa kamili baada ya kujiridhisha.
 
Kuandika tu fulani kakamatwa haisaidii sana sababu humu ndani kuna mawakili kibao na wanasheria maguru,viongozi wa Serikali kibao wakiwemo polisi ,wabunge na mahakama wenye uamuzi

Ukiandika vizuri nini hasa aweza pata msaada kama kaongea Ukiandika reason

Mleta mada kuleta mada utafikiri kichwa Cheney akili hana anaandika utafikiri anatumia tumbo
Acha unafiki, umejaa chuki tu kama yule dhalimu wenu.
 
SASA KAMA ANAKOSA ASIKAMATWE YEYE NI NANI? ACHENI UHUNI WENU ITAJULKIKANA ALIKOSEA WAPI AU TAYARI MMESHAJUWA KAKAMATWA KWAKOSA GANI?
Acha upumbavu wewe, kumkamata suspect Kuna sheria zake ikiwa ni pamoja na kupewa nafasi ya kumpigia simu lawyer wake au any family member, nchi hii inakwamishwa na watu punguani kama wewe
 
Chadema ilipata wafadhili wengi Ulaya na Marekani kipindi cha Dr Slaa sababu alikuwa na evidence akituhumu Serikali anashusha ushahidi hadi basi
Umeanza lini kuipenda chadema? Aliposhusha ushahidi ulifanyiwa kazi??
 
Hangaya alisema yeye na yule dhalim mwendazake ni kitu kimoja sasa mnashangaa nini? Wacheni kazi iendelee
Mbona juzi tu hapa na uzi uko hapa alisema ilikuwa ni vigumu kwake kufanha kazi na dhalimu wako, na ulikata viuono kushangilia kauli hiyo!

Vipi tena leo?
 
Wakili Peter Madeleka adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana muda mfupi baada ya kutoka katika Hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam Jioni hii.

----

Hilda Newton kupitia akaunti yake ya Twitter amesema haya

Wakili Peter Madeleka amekamatwa muda huu Serena Hotel Dar Es Salaam na askari waliovalia kiraia anapelekwa Central Police Dar Es Salaam.

Familia ya Peter Madeleka wanasema wamefika Central Police Dar muda huu kwa ajili ya kujua Madeleka kakamatwa kwa kosa gani lakini wameambiwa kwamba Jeahi la Polisi hawajamkamata wala hawamshikilii Madeleka.

Tusaidiane kupaza sauti
#FreePeterMadeleka


Familia ya Peter Madeleka wanasema kwamba wamearifiwa kwamba Madeleka yupo Makao Makuu ya Jeshi la Polisi anahojiwa kwa tuhuma za kuwatuhumu Uhamiaji kuwa wanataka kumuua.

Yani badala ya kuwahoji hao waliokuwa wanapanga kumuua wao wamemgeuzia kibao Madeleka, Inasikitisha


Pia soma
Subilini mda wa uhuni kuwafanyia watz wenzetu umepita, dawa yao inaipuliwa wakae KWa Raha yani
 
Familia ya Peter Madeleka wanasema wamefika Central Police Dar muda huu kwa ajili ya kujua Madeleka kakamatwa kwa kosa gani lakini wameambiwa kwamba Jeahi la Polisi hawajamkamata wala hawamshikilii Madeleka.
Wakili Peter Madeleka adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana muda mfupi baada ya kutoka katika Hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam Jioni hii.

Mleta mada ungeweka sababu za kukamatwa ungeonekana akili zako kichwani zimo kwa uandishi ulioandika unaonyesha kichwa chako nusu kaputi na umo jamiiforums kwa bahati mbaya sio kama great thinker
YEHODAYA
1). Mleta mada amesema wakili katekwa na watu wasiojulikana!
2). Kwa mujibu wa maelezo ya Hilda Newton huko Twitter, wanafami!ia wa aliyetekwa wamefuatilia Polisi Central wakaambiwa wakili hajakamatwa wala hashikiliwi na Polisi..
3). Wewe unasema amekamatwa..

Ni vizuri ukifafanua kwa kina kuwa amekamatwa na nani na yupo wapi, ili kuondoa sintofahamu!
 
Jamiiforums mada kama hizi mfute kama mtu hana reason Ili kujenga hadhi ya jamii forums itasaidia kuweka discipline kuhakikisha mtu kuleta mada kama hizi awe na ushahidi wa kakamatiwa nini?

Moderators mu enforce discipline kufanya jamiiforums kuwa platform highly reliable
We ndio huna akili, kama waliomkamta hawajamwambia kosa lake??.
 
Wakili Peter Madeleka adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana muda mfupi baada ya kutoka katika Hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam Jioni hii...
Mama Samia asipojitenga na huu upuusi kwa vitendo asiyashangae yanayo mwandama yule mwingine
 
Back
Top Bottom