Tetesi: Inadaiwa Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa Serena Hotel

Tetesi: Inadaiwa Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa Serena Hotel

Jamiiforums mada kama hizi mfute kama mtu hana reason Ili kujenga hadhi ya jamii forums itasaidia kuweka discipline kuhakikisha mtu kuleta mada kama hizi awe na ushahidi wa kakamatiwa nini?

Moderators mu enforce discipline kufanya jamiiforums kuwa platform highly reliable
Wewe inaonekana hupo sawa.

Hivi leo hii, mtu akaleta habari kuwa YEHODAYA anaumwa, amelazwa. Utasema mleta habari ni mjinga kwa sababu hajaeleza Yehodaya anaumwa nini?

Yeye kasema tu kuwa mtu fulani kakamatwa na Polisi, wewe unalazimisha aseme sababu ya kukamatwa kwake, je, kama hajui?Kaleta habari, humu ndani kuna watu wengi, labda anawapasha habari wanaomfahamu. Kafanya kosa gani?
 
Siku chache zilizopita alisema kuna njama za kumuua zikiratibiwa na maafisa uhamiaji.Na akatoa screenshot ya mjadala.Inawezekana likawa hilo.Hata hivyo huyu ni ex Police officer na mwanasheria,ni uji unaunguzana na bakuli.
basi ni noma
 
Mleta mada ungeweka sababu za kukamatwa ungeonekana akili zako kichwani zimo kwa uandishi ulioandika unaonyesha kichwa chako nusu kaputi na umo jamiiforums kwa bahati mbaya sio kama great thinker
Hiyo ni taarifa tu, sababu za kukamatwa kwake hao 'polisi kanzu' ndio wanajua.
 
Kutoka FB naona watu wametuma hii[emoji116]View attachment 2194375View attachment 2194376
Screenshot_20220420-173205_Facebook.jpg
View attachment 2194377
 
Wakili Peter Madeleka adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana muda mfupi baada ya kutoka katika Hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam Jioni hii.

----

Hilda Newton kupitia akaunti yake ya Twitter amesema haya

Wakili Peter Madeleka amekamatwa muda huu Serena Hotel Dar Es Salaam na askari waliovalia kiraia anapelekwa Central Police Dar Es Salaam.

Familia ya Peter Madeleka wanasema wamefika Central Police Dar muda huu kwa ajili ya kujua Madeleka kakamatwa kwa kosa gani lakini wameambiwa kwamba Jeahi la Polisi hawajamkamata wala hawamshikilii Madeleka.

Tusaidiane kupaza sauti
#FreePeterMadeleka


KWANINI WATU WANAKAMATWA kwa Kuviziwa ?
 
Mtoa mada yupo sahihi ameleta habari kama ilivyo lengo ni kuwajulisha flani amekamatwa na wala hajaongeza chumvi umepewa na screensht wenda na yeye anahisi mnazijua sababu tujadiliane unaanza kulalamika basi subir ITV saa mbili jion watakupa sababu maana inaonekana hujui maana ya forum
Kuandika tu fulani kakamatwa haisaidii sana sababu humu ndani kuna mawakili kibao na wanasheria maguru,viongozi wa Serikali kibao wakiwemo polisi ,wabunge na mahakama wenye uamuzi

Ukiandika vizuri nini hasa aweza pata msaada kama kaongea Ukiandika reason

Mleta mada kuleta mada utafikiri kichwa Cheney akili hana anaandika utafikiri anatumia tumbo
 
Back
Top Bottom