Tetesi: Inadaiwa Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa Serena Hotel

Tetesi: Inadaiwa Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa Serena Hotel

Kama sijakosea nadhani huyu mtu atakuwa anakamatwa hii mara ya pili, watamsumbua kama kawaida yao halafu wamuachie.
 
Mleta mada ungeweka sababu za kukamatwa ungeonekana akili zako kichwani zimo kwa uandishi ulioandika unaonyesha kichwa chako nusu kaputi na umo jamiiforums kwa bahati mbaya sio kama great thinker
Sasa mleta mada azitoe wapi sababu kama polisi waliomkamata hawajasema?

Au mleta mada ni mpiga ramli?
 
Mtoa mada yupo sahihi ameleta habari kama ilivyo lengo ni kuwajulisha flani amekamatwa na wala hajaongeza chumvi umepewa na screensht wenda na yeye anahisi mnazijua sababu tujadiliane unaanza kulalamika basi subir ITV saa mbili jion watakupa sababu maana inaonekana hujui maana ya forum
Siku chache zilizopita alisema kuna njama za kumuua zikiratibiwa na maafisa uhamiaji.Na akatoa screenshot ya mjadala.Inawezekana likawa hilo.Hata hivyo huyu ni ex Police officer na mwanasheria,ni uji unaunguzana na bakuli.
 
Jamiiforums mada kama hizi mfute kama mtu hana reason Ili kujenga hadhi ya jamii forums itasaidia kuweka discipline kuhakikisha mtu kuleta mada kama hizi awe na ushahidi wa kakamatiwa nini?

Moderators mu enforce discipline kufanya jamiiforums kuwa platform highly reliable
Ficha ujinga wako
 
Mnasotesha watu miezi na miezi rumande halafu mnawaachia kwa kukosa ushahidi. Mnakuwa mmekwishawatesa na kuwapotezea muda wao bila hatia (Ref: Mbowe na ugaidi wa kubumba).
SASA KAMA ANAKOSA ASIKAMATWE YEYE NI NANI? ACHENI UHUNI WENU ITAJULKIKANA ALIKOSEA WAPI AU TAYARI MMESHAJUWA KAKAMATWA KWAKOSA GANI?
 
Jamiiforums mada kama hizi mfute kama mtu hana reason Ili kujenga hadhi ya jamii forums itasaidia kuweka discipline kuhakikisha mtu kuleta mada kama hizi awe na ushahidi wa kakamatiwa nini?

Moderators mu enforce discipline kufanya jamiiforums kuwa platform highly reliable
Unataka kuficha utekaji kwa sababu tu wanaccm hawatekwi ?
 
Mbona watu wanakamatwa kila siku na maisha yanaenda tu...kama kafanya kosa lazima akamatwe labda kama habar ingekuwa inasema kaonewa au kuna kitu hakipo sawa ila swala la kudakwa ni inshu ya kawaida sana labda tu kama tunataka kukuza mambo.Huku uswahilini kupelekwa kituoni ni kawaida sana na wala hutaandki mitandaoni.
Kwahiyo mtu akikamatwa unataka watu wasitoe taarifa acheni u much know.
 
Jamiiforums mada kama hizi mfute kama mtu hana reason Ili kujenga hadhi ya jamii forums itasaidia kuweka discipline kuhakikisha mtu kuleta mada kama hizi awe na ushahidi wa kakamatiwa nini?

Moderators mu enforce discipline kufanya jamiiforums kuwa platform highly reliable
Wewe una Akili kuliko Moderators wa Jamiiforums? Acha Kujipendekeza, Kuwafundisha Kazi na kuwa na Kiherehere sawa? Haya Uzi ndiyo huo uko Kurasa ( Page ) ya Tatu ( 3 ) sasa je, unasemaje?
 
Askari wa uhamiaji na polisi ni walewale wanufaika wa mfumo kandamizi wa Magufuli. Wote walipiga sana pesa Kipindi cha mwendazake.
 
Back
Top Bottom