Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni pale alipotaja wanaotaka kumuua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni pale alipotaja wanaotaka kumuua
SureKama Polisi wenyewe hawatoi sababu za kukamatwa yeye mleta mada atazijuaje?
Yeye kaleta taarifa kwamba wakili kakamatwa shida iko wapi?
Hawa sio watu ni maroboti.wapi yeye kasema hajakosa? Mnajishtukia tu. Hii ni habari tumepewa wewe umekimbilia kujihami
Wanaumoja tabu sana🏃Mtoa mada yupo sahihi ameleta habari kama ilivyo lengo ni kuwajulisha flani amekamatwa na wala hajaongeza chumvi umepewa na screensht wenda na yeye anahisi mnazijua sababu tujadiliane unaanza kulalamika basi subir ITV saa mbili jion watakupa sababu maana inaonekana hujui maana ya forum
Wapi pameandikwa kukamatwa kwake ni tatizo?Bora umesema na wewe mkuu...yaani kuna mijitu mijinga kabisa siku hizi humu ndani...huyo wakili ni nani hasa hata kukamatwa kwake iwe ni tatizo.
Huyo ni MATANGAMtoa mada yupo sahihi ameleta habari kama ilivyo lengo ni kuwajulisha flani amekamatwa na wala hajaongeza chumvi umepewa na screensht wenda na yeye anahisi mnazijua sababu tujadiliane unaanza kulalamika basi subir ITV saa mbili jion watakupa sababu maana inaonekana hujui maana ya forum
Mpuuzi wewe, habari umepewa flani amekamatwa, kwani mtoa mada ni mkamataji?Jamiiforums mada kama hizi mfute kama mtu hana reason Ili kujenga hadhi ya jamii forums itasaidia kuweka discipline kuhakikisha mtu kuleta mada kama hizi awe na ushahidi wa kakamatiwa nini?
Moderators mu enforce discipline kufanya jamiiforums kuwa platform highly reliable
jinga hiloHuyo ni MATANGA
Mbona unateseka?Kama huna contents za kutisha usianzishe mada
Wewe mhutu uliyejipatia unjagu katika nchi isiyo na mipaka! Watu hutunziwa heshima kwa kuitwa polisi! Huwa kuna shida gani kuvizia kama majambazi! Au kwenu Burundi ndiyo style yenu!?SASA KAMA ANAKOSA ASIKAMATWE YEYE NI NANI? ACHENI UHUNI WENU ITAJULKIKANA ALIKOSEA WAPI AU TAYARI MMESHAJUWA KAKAMATWA KWAKOSA GANI?
Mbona wa watu wanatekwa na maisha yanasonga? Warundi siku zenu zimeisha! Baba yenu alikufa???Mbona watu wanakamatwa kila siku na maisha yanaenda tu...kama kafanya kosa lazima akamatwe labda kama habar ingekuwa inasema kaonewa au kuna kitu hakipo sawa ila swala la kudakwa ni inshu ya kawaida sana labda tu kama tunataka kukuza mambo.Huku uswahilini kupelekwa kituoni ni kawaida sana na wala hutaandki mitandaoni.
Tena kabisajinga hilo
Polisi wamemkamata Polisi mwenzao? Si alikuwa Polisi na yeye?
Nilisikia akidai yuko tayari kutoa ushahidi kwa Rais Samia kuhudu ufisadi wa fedha za serikali kwenye idara fulani( iliyokutwa na wizi wa fedha za wageni) huenda kaenda kutoa ushahidi. May be.
Kama ana kosa kwanini iwe habari ya kuiletea Uzi kabisa!? Cha ajabu kipi mzee babawapi yeye kasema hajakosa? Mnajishtukia tu. Hii ni habari tumepewa wewe umekimbilia kujihami
Yes aliwahi kusema alikuwa polisi tena Central Dar es salaam baadae akawa wakili.Polisi wamemkamata Polisi mwenzao? Si alikuwa Polisi na yeye?
Utoaji wa habari ni jambo la kawaida. Kutupa habari wewe imekukera?Kama ana kosa kwanini iwe habari ya kuiletea Uzi kabisa!? Cha ajabu kipi mzee baba