Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Inadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.

Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.

Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetu🙏🙏
 
Dah . Lord ..
Kwahiyo huyu leo ndo abebe madhambi yote ya Magu.

!!?
Alitakiwa ku tune accordingly na ikibidi kuwa chawa kabisa wa Rais sio kujifanya unaficha wakati sio wote walikuwa wanakubaliana na hayo Mambo ya kishenzi huko ndani..

In fact Bora na Diwani Ila Kipilimba yule alitakiwa kuwa jela saizi.
 
Back
Top Bottom