Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

Alitakiwa ku tune accordingly na ikibidi kuwa chawa kabisa wa Rais sio kujifanya unaficha wakati sio wote walikuwa wanakubaliana na hayo Mambo ya kishenzi huko ndani..

In fact Bora na Diwani Ila Kipilimba yule alitakiwa kuwa jela saizi.
Wote hao hawana kosa.. they were following orders.. the mighty orders .
 
Uko unapewa vidonge ukilala ukiamka utakuwa umeformat kila kitu Unaanza upya.Ukumbuki chochote.
Mambo ya kweye movie mnataka myalete hapa??😂

Kwamba hivyo vidonge vinakwenda kufuta yale yanayohusu historia ya kazi yake tu? Kivipi?


Maana kama ni vidonge vya kufuta kumbukumbu, natarajia akizinduka awe hajui hata (a e i o u), sasa hivyo vidonge vinawezaje kuwa selective??

Umeshiba kande eeeh?
 
Alitakiwa ku tune accordingly na ikibidi kuwa chawa kabisa wa Rais sio kujifanya unaficha wakati sio wote walikuwa wanakubaliana na hayo Mambo ya kishenzi huko ndani..

In fact Bora na Diwani Ila Kipilimba yule alitakiwa kuwa jela saizi.
Aombe Mungu tu asije kuombwa Tigo pesa kama Mo😀😀😀
 
Inadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.

Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.

Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetu🙏🙏
Alikusudia kumuua Lisu huyu jamaa

Ben Sa8 ndiyo akampoteza mazima.
Covid-19 wanakula kwa mgongo wake mpk kesho
 
Back
Top Bottom