technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Atakuwa alileta kinyongo si unajua deputy wake ndio kawa boss wao ghaflaKwani aligomea teuzi..!!?
Ashughulikiwe bara-bara.Ashughulikiwe..Ukishakuwa huna cheo wewe Ni sawa na dekio tuu
Kwani aligomea teuzi..!!?
Na mbaya zaidi wanaoambiwa wakushughulikie ni wale wale uliokuwa ukiwaambia wawashughulikie wengine. Maisha yana mzunguko wa ajabu sana.Ashughulikiwe..Ukishakuwa huna cheo wewe Ni sawa na dekio tuu
Dah . Lord ..Ashughulikiwe..Ukishakuwa huna cheo wewe Ni sawa na dekio tuu
Ila!?Hawezi
Alitakiwa ku tune accordingly na ikibidi kuwa chawa kabisa wa Rais sio kujifanya unaficha wakati sio wote walikuwa wanakubaliana na hayo Mambo ya kishenzi huko ndani..Dah . Lord ..
Kwahiyo huyu leo ndo abebe madhambi yote ya Magu.
!!?
Umekaa kimbeambea sana, watu wanauliza wapewe facts wewe unaleta habari za "ITAKUWA" .Atakuwa alileta kinyongo si unajua deputy wake ndio kawa boss wao ghafla
Wanakupekua mpaka kwenye ubongo ?Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na pengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.
Access ya ndani kabisa Sina huwa naishia kwenye ukuta fulani Basi si unajua Nchi sio Mali ya chawa?Umekaa kimbeambea sana, watu wanauliza wapewe facts wewe unaleta habari za "ITAKUWA" .
Mengine mkubali yawapite nyinyi chawa.
Ahahaha😂😂😂, haya bwana.Access ya ndani kabisa Sina huwa naishia kwenye ukuta fulani Basi si unajua Nchi sio Mali ya chawa?
Ndio maana waswahili wakasema kutesa kwa zamu.Nasikia alimtambia mbowe kwamba watamfanyia kama walivyomtenda bwana Ben Saa 1 mbowe juzi ndio kamchongea bwana Diwani kwa mama
Wewe uko njombe huko chawa mwandamizi unataka kujifanya unayajua ya magogoniAccess ya ndani kabisa Sina huwa naishia kwenye ukuta fulani Basi si unajua Nchi sio Mali ya chawa?