Hivi huyu ndo yule gari yake ilionekana Kilimanjaro wakati fulani ime park sio sawa sawa jamaa aliyepiga picha alitafutwa akadakwa na kufanywa hakuna..... basi Karma is a Bitch!!!Inadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.
Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.
Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetuππ
Sisi hatujawahi kuwa upande wa mama na hatutakuja kuwa hukoWewe nawe umeanza kuzeeka na unashindwa tafakari vizuri..
Nilikwambia jana ujinga wote huu unaoendelea ni kutokana na mapungufu ya kikatiba.. Rais anafanya makosa ila hahusiki yeye anakuja husika aliyetumwa..
Wewe na mwenyekiti wako leo mko upande wa Mama..mnajikuta mko safe..
Atayefuatia atawakomesha kwa kuwaondoa wote ambao nyie leo mnafurahia. Komoa ni kukomoe.. KATIBA ya hovyo kabisa..
Mnafikiri huyo ni Random person Kama nyie?Ashugulikiwe 'kiroho safi' kama alivyoshughulikia wengine! pambaf n'kubwa
Yaonesha hawajafurahishwa na maridhianoNi huzuni kwa kweliView attachment 2469994
mkuu ulisema utakuwa mstari wa mbele mbona kimyaKimeumana nini wazee? Kunani huko Pearl White Mansion?
ndugu yangu mambo ya code utayajua wapi wee kuwa msomaji tuhapaWanamwongela nan? Jmn wengne siasa ingia toka,msaada plz
Wamechukizwa mnooYaonesha hawajafurahishwa na maridhiano
Mstari wa mbele kwenye nini π€£mkuu ulisema utakuwa mstari wa mbele mbona kimya
achana na mtandao wa 2005 - Mkapa mwenyewe ilibidi aombe poo ndani ya mkutano mkuu wa CCM.Akili kubwa sana imetumika...
Access ya ndani kabisa Sina huwa naishia kwenye ukuta fulani Basi si unajua Nchi sio Mali ya chawa?
Acha kelele monta anaandika majinaNyinyi ndo vyeti feki ambao JPM aliamua kudeal na nyinyi, hamna uwezo wa kujadili hoja badala yake mnawaza kushambulia tu.
Okay mimi la 4B, kuna nini ulitaka kusema?