Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

Inadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.

Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.

Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetu🙏🙏
Hivi huyu ndo yule gari yake ilionekana Kilimanjaro wakati fulani ime park sio sawa sawa jamaa aliyepiga picha alitafutwa akadakwa na kufanywa hakuna..... basi Karma is a Bitch!!!
 
Wewe nawe umeanza kuzeeka na unashindwa tafakari vizuri..

Nilikwambia jana ujinga wote huu unaoendelea ni kutokana na mapungufu ya kikatiba.. Rais anafanya makosa ila hahusiki yeye anakuja husika aliyetumwa..

Wewe na mwenyekiti wako leo mko upande wa Mama..mnajikuta mko safe..

Atayefuatia atawakomesha kwa kuwaondoa wote ambao nyie leo mnafurahia. Komoa ni kukomoe.. KATIBA ya hovyo kabisa..
Sisi hatujawahi kuwa upande wa mama na hatutakuja kuwa huko
 
Akili kubwa sana imetumika...
achana na mtandao wa 2005 - Mkapa mwenyewe ilibidi aombe poo ndani ya mkutano mkuu wa CCM.

By the time anatoka atakumbuka njia ya kwenda kwao tu - CCM aisee !!
 
Nyinyi ndo vyeti feki ambao JPM aliamua kudeal na nyinyi, hamna uwezo wa kujadili hoja badala yake mnawaza kushambulia tu.

Okay mimi la 4B, kuna nini ulitaka kusema?
Acha kelele monta anaandika majina
 
Back
Top Bottom