Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

Teh teh

Wadau wengi humu jf ahira ya utiss

Wanaupenda sana wanatamani wawe

Huko

Ova
 
Na mbaya zaidi wanaoambiwa wakushughulikie ni wale wale uliokuwa ukiwaambia wawashughulikie wengine. Maisha yana mzunguko wa ajabu sana.
tena wanakushughulikia kweli kweli kama hawakujui hahaaa
 
Kwani si wanalipwa kwa kodi zetu?
 
Nimemkumbuka Pascal Mayala na mada yaake ya Karma, hakika hii Dunia hadaa

Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
 
Aliumiza nani?, Mbona mnapenda kumuonea sana huyo jamaa?,, Huyo ni mmoja wa watu waadilifu
 
Usilolijua ni usiku wa giza.
Kinachofanya kazi sio mtu ni mfumo/anaouongoza. Ukishamtoa kwenye jukumu hilo hakuna haja ya kuhangaika naye kwasababu mtu kama mtu hawezi kuwa threat. Labda kama anamiliki mfumo nje ya mfumo ambayo ni treason na adhabu yake ni .... wala sio kumuweka huko.
Uzushi sio dili.
 
Nyie watu ni wajinga sana

Kuna mjinga km wewe alizusha ndugai amethibitiwa baada ya kuvuliwa uspika na wajinga wakaamini
Wazushi!
Ndugai hana uwezo wa kupindua hata uongozi wa kikoba .... wa kazi gani??!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…