mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh tehMijitu inapenda kweli kuwajadili wale mabwana... sijui wanaonaga wanafaidi sana kule.. Pengine akili zao zinawatuma wajamaa wanakula mkate wenye blue-band na maziwa everyday! Mchana pilau ya mchele wa pishori usiku tambi za kuku na juice nzito na wanapewa mishahara bila kazi. Labda ndo akili za waswahili maana waafrika tuna wivu na fitna sana! Yapomambo tele ya kushughulika nayo ila wanaona hapana wafuatilie na hayo nyeti. Kuna kitu mnakitafuta [emoji2]
tena wanakushughulikia kweli kweli kama hawakujui hahaaaNa mbaya zaidi wanaoambiwa wakushughulikie ni wale wale uliokuwa ukiwaambia wawashughulikie wengine. Maisha yana mzunguko wa ajabu sana.
Kajitungia huyo, wabongo wapewe kichwa cha habari tu, hadithi watatunga wao wenyewe.Yaani hata mimi nimehisi kajitungia!
Kwani si wanalipwa kwa kodi zetu?Hehe! Sio TISS hao wanakudanganya... TISS hawana njaa za hovyo wala si rahisi kulaghaiwa na kina mwenzangu na mimi. Yeah! Ni watu kama wewe lakini sio kama wewe hayo mawazo ya hovyo ondoa! Na ni wambea sawa ila ni wambea wenye kushughulika na umbea wenye tija na manufaa kwa kunusuru maslahi ya taifa kwa ujumla. Mpaka umekaa hapo kwenye kochi la mtumba na unaharisha tu maneno ya kashfa kumbuka kuna wanaume hawana huo muda hata wa kuzungumza na ndugu na vipenzi vyao ili wewe ule mema ya nchi na utafute rizq yako kwa amani... unakuja kuwakashifu.. dahh! Bin-Adam bana [emoji4][emoji4]☻
Aliyempa mungu kampa... kila mtu na rizq yake... waingie waone mziki wake 😊☻Teh teh
Wadau wengi humu jf ahira ya utiss
Wanaupenda sana wanatamani wawe
Huko
Ova
Nchi hii raha sana. Kumbe hata chawa na kunguni wapo waandsmizi!!!!Wewe uko njombe huko chawa mwandamizi unataka kujifanya unayajua ya magogoni
Nimemkumbuka Pascal Mayala na mada yaake ya Karma, hakika hii Dunia hadaaInadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.
Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.
Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetu[emoji120][emoji120]
Sorry he keeps provoking meBrother take it easy
Ova
Aliumiza nani?, Mbona mnapenda kumuonea sana huyo jamaa?,, Huyo ni mmoja wa watu waadilifuInadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.
Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.
Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetu🙏🙏
Mara nyingi deputy ndo huwa wanachukua,, sio ajabuAtakuwa alileta kinyongo si unajua deputy wake ndio kawa boss wao ghafla
Hakunaga makabidhianoAtakuwa kaonyesha kiburi kwenye makabidhiano kwa new DG- TISS. Just thinking aloud
Wazushi!Nyie watu ni wajinga sana
Kuna mjinga km wewe alizusha ndugai amethibitiwa baada ya kuvuliwa uspika na wajinga wakaamini
Hivi huyo waziri pembeni ya majaliwa ana miaka mingapi mpaka sasa?Ni huzuni kwa kweliView attachment 2469994
Wazushi!
Ndugai hana uwezo wa kupindua hata uongozi wa kikoba .... wa kazi gani??!
😂😂😂 Hizi kazi ndo maana mimi niliresign,..Ashughulikiwe bara-bara.
Duh 🙄Uko unapewa vidonge ukilala ukiamka utakuwa umeformat kila kitu Unaanza upya.Ukumbuki chochote.
Vijiweni kumenogaUko unapewa vidonge ukilala ukiamka utakuwa umeformat kila kitu Unaanza upya.Ukumbuki chochote.