Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

Mzee ninasema; kwenye pumba nyingi za mahindi au mpunga hukosi punje iliyo kamili. Ni bidii tu ya kuchambua.
 
Nyie watu ni wajinga sana

Kuna mjinga km wewe alizusha ndugai amethibitiwa baada ya kuvuliwa uspika na wajinga wakaamini
Alichukuliwa gari,na gari zake private hazikuwepo,dereva akaondoka na gari akajikuta yuko lockdown,huku mawasiliano ya kumdhiboti yakiendelea,alibidi awe Royal
 
Haya matusi ni makubwa sana na sio mazuli.
Hasa kwa watu wastaarabu na wasomi
 
Tetesi
 
Jamani mi naona, Mama anaunda Serekali yake anayo taka yeye Kama Mkuu wa Nchi,Kama hakutaki kaa pembeni ili amuweke anae mtaka afanye nae kazi!!!
 
Dogo acha kuangalia sana movies zinakuharibu
 
Arudi kwenye Kaz yake ya cammissioner wa police
 
Wee unafikiri uliekuwa unampelekesha akaja kuwa boss wako ghafla. utafutarahia ?
Hata kama ni mimi na rara mbare[emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…