Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Tunapenda sana hizi mada hata kama hatuelewi tunadandia treni tu.Watu bana πππ... binafsi nawashangaaga sana hasa ndugu watanzia wenzangu. Hivi mnafkiri mambo nyeti yanayoendelea kwenye idara huwa yanafahamika kizembe na kirahisi namna hiyo?! Wale sio watu wajinga wajinga na wa hovyo kama mnavyodhaniaga na kudanganyana au kudanganywa!... inawezekana kwenye mnayohisi au kusema mnayafahamu kwenye asilimia kumi (10%) kwa taarifa yenu hata asilimia moja na nusu (1.5%) haijafika.
Tujifunze kushkuru mungu kwa amani iliyopo mpaka mnakuja kuharisha hapa vya hovyo.
Watu wanaandikaga uzushi humu. Na kima wengine wasio na ubongo wanajimwaga kwa taarifa za uongodah tuwe makini jaman na hizi taarifa hahaha huyu mtu yupo na nimemuona muda sio mrefu tena na yule bonge alikuwaga msaidizi wa magu
Exactly! Wanatamanigi sana kujua waliomo humo wanafanya nini hasa! Binadamu tuna shida sana! Hasa watu weusi wenye asili ya afrika.Tunapenda sana hizi mada hata kama hatuelewi tunadandia treni tu.
Kwahiyo mi nakunya vyoo vyote mtaani kwetu sio!??
Yule mzee alituangusha watu wa imani ...Alitakiwa ku tune accordingly na ikibidi kuwa chawa kabisa wa Rais sio kujifanya unaficha wakati sio wote walikuwa wanakubaliana na hayo Mambo ya kishenzi huko ndani..
In fact Bora na Diwani Ila Kipilimba yule alitakiwa kuwa jela saizi.
TEtesi check up yake ni mudaJamii forum. Ile fact check yenu imeishia wapi? How comes mtu anawaza jambo tu alafu anaweka humu alafu mnaliacha?
Watu wanaandikaga uzushi humu. Na kima wengine wasio na ubongo wanajimwaga kwa taarifa za uongo
Wapi uliwahi kuona askari anajiita raia?
Mkuu hujafuatilia habari za hivi karibuni ukasikia huyo diwani wa kata katajwa?Hata smjui diwan wangu hata nakaa sijui yautwaje[emoji1787]
Chawa wa Chadema bwana. Watashadidia kitu ambacho hakipo na kujipongeza kwa ujuha wao!Inadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.
Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.
Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetuππ
Kumbe issue ni yeye kujiita? Basi mimi nakuuliza wewe, Askari si raia?
Natural born killer leo anatia hurumaAmelowa-amelowaa
Le ilikuwa move kuelekea caanan atashaaaHawezi
Mbona watu walijua JPM kafariki Kuna habari nyeti kuliko hiyo? Na ililetwa jf kma tetesi tu...... Acha exaggerations TISS ni wa kawaida sana no wonder hata yule gaidi wa ISIS alipita airport ya Dar bila kufahamika!!Watu bana πππ... binafsi nawashangaaga sana hasa ndugu watanzania wenzangu. Hivi mnafkiri mambo nyeti yanayoendelea kwenye idara huwa yanafahamika kizembe na kirahisi namna hiyo?! Wale sio watu wajinga wajinga na wa hovyo kama mnavyodhaniaga na kudanganyana au kudanganywa!... inawezekana kwenye mnayohisi au kusema mnayafahamu kwenye asilimia kumi (10%) kwa taarifa yenu hata asilimia moja na nusu (1.5%) haijafika.
Tujifunze kushkuru mungu kwa amani iliyopo mpaka mnakuja kuharisha hapa vya hovyo.