Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

Watu bana 😊😊😊... binafsi nawashangaaga sana hasa ndugu watanzia wenzangu. Hivi mnafkiri mambo nyeti yanayoendelea kwenye idara huwa yanafahamika kizembe na kirahisi namna hiyo?! Wale sio watu wajinga wajinga na wa hovyo kama mnavyodhaniaga na kudanganyana au kudanganywa!... inawezekana kwenye mnayohisi au kusema mnayafahamu kwenye asilimia kumi (10%) kwa taarifa yenu hata asilimia moja na nusu (1.5%) haijafika.

Tujifunze kushkuru mungu kwa amani iliyopo mpaka mnakuja kuharisha hapa vya hovyo.
Tunapenda sana hizi mada hata kama hatuelewi tunadandia treni tu.
 
Alitakiwa ku tune accordingly na ikibidi kuwa chawa kabisa wa Rais sio kujifanya unaficha wakati sio wote walikuwa wanakubaliana na hayo Mambo ya kishenzi huko ndani..

In fact Bora na Diwani Ila Kipilimba yule alitakiwa kuwa jela saizi.
Yule mzee alituangusha watu wa imani ...
Alifumbia macho uharo mwingi sana
 
Kila mjanja ana mjanja wake.
1672571452826.jpg
 
Inadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.

Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.

Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetu🙏🙏
Chawa wa Chadema bwana. Watashadidia kitu ambacho hakipo na kujipongeza kwa ujuha wao!
 
Anatamani kusikiliza redio upendo asikie hata ule wimboo wa alilipa deni langu kwa gharama za mauti ..msamaahaa wa dhambi niliupata calvary
 
Watu bana 😊😊😊... binafsi nawashangaaga sana hasa ndugu watanzania wenzangu. Hivi mnafkiri mambo nyeti yanayoendelea kwenye idara huwa yanafahamika kizembe na kirahisi namna hiyo?! Wale sio watu wajinga wajinga na wa hovyo kama mnavyodhaniaga na kudanganyana au kudanganywa!... inawezekana kwenye mnayohisi au kusema mnayafahamu kwenye asilimia kumi (10%) kwa taarifa yenu hata asilimia moja na nusu (1.5%) haijafika.

Tujifunze kushkuru mungu kwa amani iliyopo mpaka mnakuja kuharisha hapa vya hovyo.
Mbona watu walijua JPM kafariki Kuna habari nyeti kuliko hiyo? Na ililetwa jf kma tetesi tu...... Acha exaggerations TISS ni wa kawaida sana no wonder hata yule gaidi wa ISIS alipita airport ya Dar bila kufahamika!!
 
Back
Top Bottom