REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
cha ubishi wa watoto darasa la nne BMambo ya kweye movie mnataka myalete hapa??π
Kwamba hivyo vidonge vinakwenda kufuta yale yanayohusu historia ya kazi yake tu? Kivipi?
Maana kama ni vidonge vya kufuta kumbukumbu, natarajia akizinduka awe hajui hata (a e i o u), sasa hivyo vidonge vinawezaje kuwa selective??
Umeshiba kande eeeh?
hebu eleza tena ?Inadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.
Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.
Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetuππ
Usibeze.Mambo ya kweye movie mnataka myalete hapa??π
Kwamba hivyo vidonge vinakwenda kufuta yale yanayohusu historia ya kazi yake tu? Kivipi?
Maana kama ni vidonge vya kufuta kumbukumbu, natarajia akizinduka awe hajui hata (a e i o u), sasa hivyo vidonge vinawezaje kuwa selective??
Umeshiba kande eeeh?
Mbona unaumwa kidole unameza dawa inaingia tumbuni then inaenda kutibu kidole, unaumwa kichwa unameza dawa inaingia tumboni lkn itaenda kutibu ubongo.Mambo ya kweye movie mnataka myalete hapa??π
Kwamba hivyo vidonge vinakwenda kufuta yale yanayohusu historia ya kazi yake tu? Kivipi?
Maana kama ni vidonge vya kufuta kumbukumbu, natarajia akizinduka awe hajui hata (a e i o u), sasa hivyo vidonge vinawezaje kuwa selective??
Umeshiba kande eeeh?
Polisi nae ni askari?? Polisi ni raia mkakamavuNi bora umtukanie mama yake na ukoo mzima atavumilia kuliko kumuita askari ni raia.
Watu bana [emoji4][emoji4][emoji4]... binafsi nawashangaaga sana hasa ndugu watanzania wenzangu. Hivi mnafkiri mambo nyeti yanayoendelea kwenye idara huwa yanafahamika kizembe na kirahisi namna hiyo?! Wale sio watu wajinga wajinga na wa hovyo kama mnavyodhaniaga na kudanganyana au kudanganywa!... inawezekana kwenye mnayohisi au kusema mnayafahamu kwenye asilimia kumi (10%) kwa taarifa yenu hata asilimia moja na nusu (1.5%) haijafika.
Tujifunze kushkuru mungu kwa amani iliyopo mpaka mnakuja kuharisha hapa vya hovyo.
Ngoja tusubiri tuoneKimeumana nini wazee? Kunani huko Pearl White Mansion?
Wale ni watu kama sisi na ni wambea pia, acha kuwa kuza binafsi nawajua wengi tu na nivizibo tu, bia mbili tu yupo uchiWatu bana [emoji4][emoji4][emoji4]... binafsi nawashangaaga sana hasa ndugu watanzania wenzangu. Hivi mnafkiri mambo nyeti yanayoendelea kwenye idara huwa yanafahamika kizembe na kirahisi namna hiyo?! Wale sio watu wajinga wajinga na wa hovyo kama mnavyodhaniaga na kudanganyana au kudanganywa!... inawezekana kwenye mnayohisi au kusema mnayafahamu kwenye asilimia kumi (10%) kwa taarifa yenu hata asilimia moja na nusu (1.5%) haijafika.
Tujifunze kushkuru mungu kwa amani iliyopo mpaka mnakuja kuharisha hapa vya hovyo.
Aiseee huyu mzee wa Chilakale
Survival of the fitestKila mjanja ana mjanja wake.
View attachment 2470330
Tunachokijua [emoji16][emoji16][emoji16]Source #1
Source #2
[emoji4][emoji4]Tunachokijua [emoji16][emoji16][emoji16]
TRAB & TRAT
Unakuaa hata lugha unajifunza upya. Default language ya asilikama Men in Black. Wana factory reset kila kitu. π
Wa Tz wape heading tu story watatunga wenyewe. Nchi ya wambeya hii.Raia mnajua kutunga story..!
Tumeanza speculation zetu TzInadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.
Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.
Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetu[emoji120][emoji120]