chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
huu uzi nimegundua umeanzishwa kwasababu flani. economist na zerominus10 wanalengo lao. nje ya miujiza mnabifu lenu na mwamposa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hapaKwani ile korie imempomyesha nani zaidi ya wazimu?
Sent from my Infinix X697 using JamiiForums mobile app
Mbona mnaoteseka na kuumia ni nyie wakereketwa ambao hamjatoa hata mia yenu kwenda paleYale mafuta hadi machangudoa wanayatumia kwenye kudanga, wanadai yanawapa kismati. Kuna muujiza wa Mungu kweli hapo au genge la waliovurugwa na maisha?
Sent from my Infinix X697 using JamiiForums mobile app