Inafikirisha: Miujiza ya Mchungaji Mwamposa

Inafikirisha: Miujiza ya Mchungaji Mwamposa

Mikoa mingi kuna vituo,hata kama ungekuwa wewe mtu anafunga safari kutoka Tanga kufuata mafuta tu? Hungefikiria kurahisisha huduma?
Najua kwa Mwamposa huendi ila kwa waganga wenu wa kienyeji unaenda.Tatizo sijui nini kwako au wivu?
Suala la biashara linakuja automatically kwa sababu sio hapa Tanzania tu dunia kwenye dini kuna hela ujue hivyo.Hata wachungaji na watumishi wengi wa dini za kikristo wana hela na milionea wakubwa
Shida sio wao kuwa mailionea kama tatizo lililokupeleka limeisha
Watu wanatoa mamilioni kama sadaka ya shukrani baada ya matatizo yao kuishi. Vitu vya kufeki havikai muda,jaribu kuangalia Mwamposa toka aanze kutoa huduma miaka mingap imepita?
Hilo ndio tatizo la kutokuwa na UHUSIANO mzuri na muumba wako. Yeye ni baba yako. Sasa unapoenda Kwa ndugu yako ili aende kumwambia baba yako mahitaji yako jiulize UHUSIANO wako na baba yako kama uko sawa. Huu utapeli wa kuombewa huuuu!!!! Yesu ameshasema MKIKAA KATIKA PENDO LANGU, OMBENI LOLOTE MTAKALO MTAPEWA. Hayo mengine ni usanii mtupu. There isn't a biblical foundation either. Utapeli tu
 
Makanisa mengi ya kiroho yameshafanikiwa kuwaaminisha watu kuwa kufanya miujiza ndio kitu haswa mkiristu anatakiwa akiamini au akifahamu kwenye akili yake...muda unapoenda ndio watu wanaendelea kupenda na kutegemea miujiza bila kujali hyo miujiza ni nguvu ya nuru au ya giza.atakapokuja mpinga kristu yeye sasa ndiyo atakuwa baba wa miujiza yooote tena ile isiyoelezeka kisayansi .hapo kwa kuwa wakristu watakuwa wameshazoeshwa masuala ya miujiza watamkubali huyo mpinga kristo chap kwa harakaaa.akiwaambia chochote watafanya.ngoma itakuja kugeuka atakaposhuka jesus hao wakristu watakuwa tayar wameshalewa mvinyo mwingi wa miujiza na hivyo nao watampinga jesus .sasa ngoma itakapokuja kuwa inogile pale yesu atakapojidhihirisha kwao kuwa yeye ndiye kweli aliyekuja kumuangamiza mpinga crist bas na atawakataa wooote waliompinga na watakaoepuka mtego huu ni wachache sana.wakristu muwe makin na masuala ya miujiza Mungu hatendi kaz kwa namna hyo kipindi hiki.astara vista
 
Mikoa mingi kuna vituo,hata kama ungekuwa wewe mtu anafunga safari kutoka Tanga kufuata mafuta tu? Hungefikiria kurahisisha huduma?
Najua kwa Mwamposa huendi ila kwa waganga wenu wa kienyeji unaenda.Tatizo sijui nini kwako au wivu?
Suala la biashara linakuja automatically kwa sababu sio hapa Tanzania tu dunia kwenye dini kuna hela ujue hivyo.Hata wachungaji na watumishi wengi wa dini za kikristo wana hela na milionea wakubwa
Shida sio wao kuwa mailionea kama tatizo lililokupeleka limeisha
Watu wanatoa mamilioni kama sadaka ya shukrani baada ya matatizo yao kuishi. Vitu vya kufeki havikai muda,jaribu kuangalia Mwamposa toka aanze kutoa huduma miaka mingap imepita?

Nitake radhi. Kwanza Mimi siendi kwa waganga. Pili, nimesema ni biashara maana amekuuzia mafuta na wewe ukanunua na kumpa pesa. Sasa nashangaa umekasirika kwa lipi?. Yani niende kwa waganga halafu nipate ujasiri wa kumsema Mwamposa?. Cha msingi, ukipata shida jiombee mwenyewe na kuliitia jina la Yesu Kristo na sio kununua hayo mafuta Kuna maagano yamefanyiwa. Ni ushauri tu.
 
Hilo ndio tatizo la kutokuwa na UHUSIANO mzuri na muumba wako. Yeye ni baba yako. Sasa unapoenda Kwa ndugu yako ili aende kumwambia baba yako mahitaji yako jiulize UHUSIANO wako na baba yako kama uko sawa. Huu utapeli wa kuombewa huuuu!!!! Yesu ameshasema MKIKAA KATIKA PENDO LANGU, OMBENI LOLOTE MTAKALO MTAPEWA. Hayo mengine ni usanii mtupu. There isn't a biblical foundation either. Utapeli tu

Pure Truth
 
Makanisa mengi ya kiroho yameshafanikiwa kuwaaminisha watu kuwa kufanya miujiza ndio kitu haswa mkiristu anatakiwa akiamini au akifahamu kwenye akili yake...muda unapoenda ndio watu wanaendelea kupenda na kutegemea miujiza bila kujali hyo miujiza ni nguvu ya nuru au ya giza.atakapokuja mpinga kristu yeye sasa ndiyo atakuwa baba wa miujiza yooote tena ile isiyoelezeka kisayansi .hapo kwa kuwa wakristu watakuwa wameshazoeshwa masuala ya miujiza watamkubali huyo mpinga kristo chap kwa harakaaa.akiwaambia chochote watafanya.ngoma itakuja kugeuka atakaposhuka jesus hao wakristu watakuwa tayar wameshalewa mvinyo mwingi wa miujiza na hivyo nao watampinga jesus .sasa ngoma itakapokuja kuwa inogile pale yesu atakapojidhihirisha kwao kuwa yeye ndiye kweli aliyekuja kumuangamiza mpinga crist bas na atawakataa wooote waliompinga na watakaoepuka mtego huu ni wachache sana.wakristu muwe makin na masuala ya miujiza Mungu hatendi kaz kwa namna hyo kipindi hiki.astara vista

Ukweli mchungu
 
Nitake radhi. Kwanza Mimi siendi kwa waganga. Pili, nimesema ni biashara maana amekuuzia mafuta na wewe ukanunua na kumpa pesa. Sasa nashangaa umekasirika kwa lipi?. Yani niende kwa waganga halafu nipate ujasiri wa kumsema Mwamposa?. Cha msingi, ukipata shida jiombee mwenyewe na kuliitia jina la Yesu Kristo na sio kununua hayo mafuta Kuna maagano yamefanyiwa. Ni ushauri tu.
Hahaaa,shida Mwamposa kufanya biashara? Kwa akili ya kawaida tu ndugu sitaki hata kuuliza kuhusu elimu yako. wapi unakokufahamu wanagawa unga,mafuta au maji bure?
Je ungekuwa wewe ndiye Mwamposa ungeweza kununua mafuta ya kuwagawia watu 10000 bure kila siku?
Hiyo ni huduma, serikali yenyewe inakusanya kodi lakini haina uwezo wa kutoa huduma za afya bure kwa nini muwaonee watumishi hao kama sio wivu?
 
Makanisa mengi ya kiroho yameshafanikiwa kuwaaminisha watu kuwa kufanya miujiza ndio kitu haswa mkiristu anatakiwa akiamini au akifahamu kwenye akili yake...muda unapoenda ndio watu wanaendelea kupenda na kutegemea miujiza bila kujali hyo miujiza ni nguvu ya nuru au ya giza.atakapokuja mpinga kristu yeye sasa ndiyo atakuwa baba wa miujiza yooote tena ile isiyoelezeka kisayansi .hapo kwa kuwa wakristu watakuwa wameshazoeshwa masuala ya miujiza watamkubali huyo mpinga kristo chap kwa harakaaa.akiwaambia chochote watafanya.ngoma itakuja kugeuka atakaposhuka jesus hao wakristu watakuwa tayar wameshalewa mvinyo mwingi wa miujiza na hivyo nao watampinga jesus .sasa ngoma itakapokuja kuwa inogile pale yesu atakapojidhihirisha kwao kuwa yeye ndiye kweli aliyekuja kumuangamiza mpinga crist bas na atawakataa wooote waliompinga na watakaoepuka mtego huu ni wachache sana.wakristu muwe makin na masuala ya miujiza Mungu hatendi kaz kwa namna hyo kipindi hiki.astara vista
Kizazi Cha kutafuta miujiza ndio Yesu anakiita KIZAZI CHA ZINAA.
 
Hahaaa,shida Mwamposa kufanya biashara? Kwa akili ya kawaida tu ndugu sitaki hata kuuliza kuhusu elimu yako. wapi unakokufahamu wanagawa unga,mafuta au maji bure?
Je ungekuwa wewe ndiye Mwamposa ungeweza kununua mafuta ya kuwagawia watu 10000 bure kila siku?
Hiyo ni huduma, serikali yenyewe inakusanya kodi lakini haina uwezo wa kutoa huduma za afya bure kwa nini muwaonee watumishi hao kama sio wivu?
Basi waende na hivyo vitu yeye kazi yake kuvibariki tu. Hao waumini huko nyumbani kwao maji na mafuta si wanayo? Wachukue waende nayo yeye ayabariki basi.
 
Ninae andika hapa sio layman....hata kama hauna Imani...jarib kufanya trial hapo kawe Kwa MWAMPOSA.......

Nenda na ajenda yako yoyote pale #Asap
Utajibiwa mpaka ushangae....
Anarudi kwa Mkapa tena, upako ataoacha pale mkiamini pasina shaka, wafuatao watajiunga kwenu msimu ujao:
1. Mayele.
2. Fey Toto.
3. Nabi.
4. Morrison.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Basi waende na hivyo vitu yeye kazi yake kuvibariki tu. Hao waumini huko nyumbani kwao maji na mafuta si wanayo? Wachukue waende nayo yeye ayabariki basi.
Walioko majumbani wanafanya hivyo lakini si unajua binadamu wengine wanaamini wakiyapata ya kawe labda yatakuwa na nguvu sana[emoji23][emoji23]
 
Nimebahatika kuona vipindi kadhaa vya mchungaji Mwamposa.

Yawezekana ukimtoa Yesu (Kwenye ukristo) kiumbe mwenye kufanya miujiza mingi hapa duniani anaweza kuwa huyu Mchungaji.

Sitaki kuhukumu kama ni mkweli au Lah, ila kwa wanaoshuhudia kwenye vipindi vyake anaweza vunja rekodi.

Nadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake, isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza na kufufuka kwa yesu.

Kuna yoyote amepatwa na muujiza wa Mwamposa haswa uponyaji humu?

Tupo nianza ujenzi wa nyumba huko mkoani dar nilivyojenga msing tu ujenzi ukasimama miaka mbili lakini nilipoanza kwenda kwa mtumishi va mungu nikanyunyiza mafuta ga upako mnyumba yangu imesimama mpaka mjuu kwa miezi misita tu mnyumba imeisha tayari mimehamia kwangu na biashara yangu inaenda mzuri sana sana Na ninyi mkuje kwa mtumishi va mungu mwamposa kawe dar
 
Mtume unajua maana yake?. Mtume hutakiwi kuwa na Kanisa wewe ni kuzunguka dunia nzima Kama Paulo na kufungua kazi. Sasa Mwamposa wako yeye ndio kwanza amejenga hoteli ya kitalii na mashamba ya avocado. Kila siku yupo Kawe na ibada zake za kubeba sadaka. Yule sio mtume.
Waache wajinga wapigwe mkuu siku wakija elimika ndio wataelewa hichi wanachoshauriwa.
 
Back
Top Bottom