Inafikirisha sana, kwa utajiri wa mali na biashara anazofanya Mbowe ni wa kuchangiwa? Au ndio kuumizana tu Kichademachadema?

Inafikirisha sana, kwa utajiri wa mali na biashara anazofanya Mbowe ni wa kuchangiwa? Au ndio kuumizana tu Kichademachadema?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mwenyekiti wa CHADEMA anasadikiwa kuwa na ukwasi mwingi tu na kumiliki biashara kibao hapa nchini na hata huko falme za kiarabu hasa Dubai.

Sasa kwa mali na ukwasi alionao si ndio ilikuwa fursa ya kusimamaia malipoi ya kesi inayomkabili?

Mbona mabakuli yameanza kupita kidijitali ili kulipia mawakili wake na watuhumiwa wenzake?
 
Mwenyekiti wa Chadema anasadukiwa kuwa na ukwasi mwingi tu na kumiliki biashara kibao hapa nchini na hata huko falme za kiarabu hasa Dubai.

Sasa kwa mali na ukwasi alionao si ndio ilikuwa fursa ya kusimamaia malipi ya kesi inayomkabili?

Mbona mabakuli yameanza kupita kidijitali ili kulipia mawakili wake na watuhumiwa wenzake?
Kama huna hela kausha, sisi tutachanga
 
Tofautisha Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CHADEMA TAIFA. Kesi inamuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA siyo Freeman Mbowe (kama unao uelewa wa sheria utakuwa umeelewa).

Amekutwa na madhira yale akiwa katika majukumu ya CHAMA na siyo majukumu binafsi ya Freeman Mbowe. Kwa unini huoni tija ya CHADEMA kugharamia kesi kwake na wenzake!

Weka chuki kando...
 
Mwenyekiti wa Chadema anasadukiwa kuwa na ukwasi mwingi tu na kumiliki biashara kibao hapa nchini na hata huko falme za kiarabu hasa Dubai.

Sasa kwa mali na ukwasi alionao si ndio ilikuwa fursa ya kusimamaia malipi ya kesi inayomkabili?

Mbona mabakuli yameanza kupita kidijitali ili kulipia mawakili wake na watuhumiwa wenzake?
Wachangie Mafi... di wenzio wapale kijani
 
Mwenyekiti wa Chadema anasadukiwa kuwa na ukwasi mwingi tu na kumiliki biashara kibao hapa nchini na hata huko falme za kiarabu hasa Dubai.

Sasa kwa mali na ukwasi alionao si ndio ilikuwa fursa ya kusimamaia malipi ya kesi inayomkabili?

Mbona mabakuli yameanza kupita kidijitali ili kulipia mawakili wake na watuhumiwa wenzake?
Kwani ameandika barua kuomba kuchangiwa? acha wanachama wake wamchangie
 
Tofautisha Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CHADEMA TAIFA. Kesi inamuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA siyo Freeman Mbowe (kama unao uelewa wa sheria utakuwa umeelewa).

Amekutwa na madhira yale akiwa katika majukumu ya CHAMA na siyo majukumu binafsi ya Freeman Mbowe. Kwa unini huoni tija ya CHADEMA kugharamia kesi kwake na wenzake!

Weka chuki kando...
True, mbona aliponyang'anywa mashamba yake hakuchangiwa?
 
Mwenyekiti wa Chadema anasadukiwa kuwa na ukwasi mwingi tu na kumiliki biashara kibao hapa nchini na hata huko falme za kiarabu hasa Dubai.

Sasa kwa mali na ukwasi alionao si ndio ilikuwa fursa ya kusimamaia malipi ya kesi inayomkabili?

Mbona mabakuli yameanza kupita kidijitali ili kulipia mawakili wake na watuhumiwa wenzake?
Kama kawa umerudi tena
 
Mwenyekiti wa Chadema anasadukiwa kuwa na ukwasi mwingi tu na kumiliki biashara kibao hapa nchini na hata huko falme za kiarabu hasa Dubai.

Sasa kwa mali na ukwasi alionao si ndio ilikuwa fursa ya kusimamaia malipi ya kesi inayomkabili?

Mbona mabakuli yameanza kupita kidijitali ili kulipia mawakili wake na watuhumiwa wenzake?
Aliye nacho ataongezewa
 
Mwenyekiti wa Chadema anasadukiwa kuwa na ukwasi mwingi tu na kumiliki biashara kibao hapa nchini na hata huko falme za kiarabu hasa Dubai.

Sasa kwa mali na ukwasi alionao si ndio ilikuwa fursa ya kusimamaia malipi ya kesi inayomkabili?

Mbona mabakuli yameanza kupita kidijitali ili kulipia mawakili wake na watuhumiwa wenzake?
Mwenye nacho huongezewa. Hayo ni mapenzi ya wampendao wewe kufa na wivu wako masikini wa mwili na roho 😂😂😂😂😂😂😂.
 
Mwenyekiti wa Chadema anasadukiwa kuwa na ukwasi mwingi tu na kumiliki biashara kibao hapa nchini na hata huko falme za kiarabu hasa Dubai.

Sasa kwa mali na ukwasi alionao si ndio ilikuwa fursa ya kusimamaia malipi ya kesi inayomkabili?

Mbona mabakuli yameanza kupita kidijitali ili kulipia mawakili wake na watuhumiwa wenzake?
Akili huna, amekamatwa akiwa kwenye harakati za kichama, wewe kaibe hata kuku uone kama chama chako kitakusidia
 
Mwenyekiti wa Chadema anasadukiwa kuwa na ukwasi mwingi tu na kumiliki biashara kibao hapa nchini na hata huko falme za kiarabu hasa Dubai.

Sasa kwa mali na ukwasi alionao si ndio ilikuwa fursa ya kusimamaia malipi ya kesi inayomkabili?

Mbona mabakuli yameanza kupita kidijitali ili kulipia mawakili wake na watuhumiwa wenzake?
Take huu mfano. Check rasilimali tulizonazo nchi hii.. halaf mikopo na misaada daily? Inamaanisha tanzania ni ya kuomba msaada?
 
Tofautisha Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CHADEMA TAIFA. Kesi inamuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA siyo Freeman Mbowe (kama unao uelewa wa sheria utakuwa umeelewa).

Amekutwa na madhira yale akiwa katika majukumu ya CHAMA na siyo majukumu binafsi ya Freeman Mbowe. Kwa unini huoni tija ya CHADEMA kugharamia kesi kwake na wenzake!

Weka chuki kando...
Na ndiye signatory wa akaunti zote za chama.
Ikiwemo na kkupokea ruzuku ya wale wabunge 19 wa sasa Bungeni.
 
Back
Top Bottom