INAFIKIRISHA: Ukiwa Muadilifu, Mchapakazi na Muungwana kazini unakuwa fukara; Ukiwa Mjanja mjanja, Mvivu na Mpiga madili unakuwa na ahueni Kiuchumi

INAFIKIRISHA: Ukiwa Muadilifu, Mchapakazi na Muungwana kazini unakuwa fukara; Ukiwa Mjanja mjanja, Mvivu na Mpiga madili unakuwa na ahueni Kiuchumi

Heart Wood.

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
982
Reaction score
1,179
Wakuu,

Hebu achaneni kwanza na wasemao huwezi kujikwamua kwenye ajira, maana hayo ni maneno ya Motivation speakers tu. Hii ni kwasababu kazini kukiwa na maslahi mazuri, obvious utakuwa na ahueni kiuchumi.

Sasa turudi kwenye mada: Kama kichwa cha thread kinavyosema, hiyo ndo hali halisi huko Makazini kwa hapa AFRIKA. Iwe kwenye ajira sekta BINAFSI au Serikalini huo ndo uhalisia wenyewe.

Hii inamanisha kuwa maslahi kwenye ajira zetu ni duni ndio maana waadilifu wanakuwa na hali duni kiuchumi.

Ningekuwa na nafasi ya kufanya maamuzi katika nchi hii ningefanya nini?

Ningehakikisha wafanyakazi wote walio waadilifu na wachapakazi wanapata maslahi mazuri mara 5 zaidi ya wale wengine. Hii ingesaidia pia kurejesha uadilifu kwenye sekta ya ajira kwa haraka zaidi.

Thread inaishia hapa.
 
100% true,
Hata ufanye kupambana kiasi gani hutoonekana,lakini yale yanayobung'aa tu kila kitu huenda sawa sambamba na madili,
Mimi sijui shida ni nini
Ila ukijiona una hali hii ya kujituma na kutokua na mafanikio acha kazi kafanye biashara yako yotote na utafika mbali sana
 
Wakuu,

Hebu achaneni kwanza na wasemao huwezi kujikwamua kwenye ajira, maana hayo ni maneno ya Motivation speakers tu. Hii ni kwasababu kazini kukiwa na maslahi mazuri, obvious utakuwa na ahueni kiuchumi.

Sasa turudi kwenye mada: Kama kichwa cha thread kinavyosema, hiyo ndo hali halisi huko Makazini kwa hapa AFRIKA. Iwe kwenye ajira sekta BINAFSI au Serikalini huo ndo uhalisia wenyewe.

Hii inamanisha kuwa maslahi kwenye ajira zetu ni duni ndio maana waadilifu wanakuwa na hali duni kiuchumi.

Ningekuwa na nafasi ya kufanya maamuzi katika nchi hii ningefanya nini?

Ningehakikisha wafanyakazi wote walio waadilifu na wachapakazi wanapata maslahi mazuri mara 5 zaidi ya wale wengine. Hii ingesaidia pia kurejesha uadilifu kwenye sekta ya ajira kwa haraka zaidi.

Thread inaishia hapa.
Kabisa kwa Tanzania usipopindisha mambo hufanikiwi. Hembu CCM wajaribu hata mara moja kuacha demokrasia ichukue mkondo wake tuone watakuwa wapi.
 
100% true,
Hata ufanye kupambana kiasi gani hutoonekana,lakini yale yanayobung'aa tu kila kitu huenda sawa sambamba na madili,
Mimi sijui shida ni nini
Ila ukijiona una hali hii ya kujituma na kutokua na mafanikio acha kazi kafanye biashara yako yotote na utafika mbali sana
Mkuu, umenena. Ila unaonaje tukiwakazania Waajiri ili wabadilike na kuwajali wafanyakazi waadilifu zaidi?
 
Wakuu,

Hebu achaneni kwanza na wasemao huwezi kujikwamua kwenye ajira, maana hayo ni maneno ya Motivation speakers tu. Hii ni kwasababu kazini kukiwa na maslahi mazuri, obvious utakuwa na ahueni kiuchumi.

Sasa turudi kwenye mada: Kama kichwa cha thread kinavyosema, hiyo ndo hali halisi huko Makazini kwa hapa AFRIKA. Iwe kwenye ajira sekta BINAFSI au Serikalini huo ndo uhalisia wenyewe.

Hii inamanisha kuwa maslahi kwenye ajira zetu ni duni ndio maana waadilifu wanakuwa na hali duni kiuchumi.

Ningekuwa na nafasi ya kufanya maamuzi katika nchi hii ningefanya nini?

Ningehakikisha wafanyakazi wote walio waadilifu na wachapakazi wanapata maslahi mazuri mara 5 zaidi ya wale wengine. Hii ingesaidia pia kurejesha uadilifu kwenye sekta ya ajira kwa haraka zaidi.

Thread inaishia hapa.
nadhani ni mtazamo wa kitanzania zaidi huku walikoendelea kazi ndio inamfanya mtu apate zaidi majungu na uvivu huku havina nafasi na ukitaka kujua hilo jilegeze uone kama hutakufa njaa.
 
Wakuu,

Hebu achaneni kwanza na wasemao huwezi kujikwamua kwenye ajira, maana hayo ni maneno ya Motivation speakers tu. Hii ni kwasababu kazini kukiwa na maslahi mazuri, obvious utakuwa na ahueni kiuchumi.

Sasa turudi kwenye mada: Kama kichwa cha thread kinavyosema, hiyo ndo hali halisi huko Makazini kwa hapa AFRIKA. Iwe kwenye ajira sekta BINAFSI au Serikalini huo ndo uhalisia wenyewe.

Hii inamanisha kuwa maslahi kwenye ajira zetu ni duni ndio maana waadilifu wanakuwa na hali duni kiuchumi.

Ningekuwa na nafasi ya kufanya maamuzi katika nchi hii ningefanya nini?

Ningehakikisha wafanyakazi wote walio waadilifu na wachapakazi wanapata maslahi mazuri mara 5 zaidi ya wale wengine. Hii ingesaidia pia kurejesha uadilifu kwenye sekta ya ajira kwa haraka zaidi.

Thread inaishia hapa.
Inategemea na ajira yenyewe ,kuna position ukiwepo una nafasi ya kuwa bilionea eg Lameck Madelu System , Minister Rajabu , Daudi Albert Bashite hao kwa upande wa Sirikalini.

Ukija upande wa Sector Binafsi walioajiriwa na kuaminiwa na Matajiri na kuwapa wawasimamie biashara zao wametusua kiuchumi.

Kutegemea mshahara tu whether uwe muadilifu au bandibu ni ngumu kutoboa ,waliotoboa kupitia ajira ni wale wenye mipango ya nje(UPIGAJI).
 
Wakuu,

Hebu achaneni kwanza na wasemao huwezi kujikwamua kwenye ajira, maana hayo ni maneno ya Motivation speakers tu. Hii ni kwasababu kazini kukiwa na maslahi mazuri, obvious utakuwa na ahueni kiuchumi.

Sasa turudi kwenye mada: Kama kichwa cha thread kinavyosema, hiyo ndo hali halisi huko Makazini kwa hapa AFRIKA. Iwe kwenye ajira sekta BINAFSI au Serikalini huo ndo uhalisia wenyewe.

Hii inamanisha kuwa maslahi kwenye ajira zetu ni duni ndio maana waadilifu wanakuwa na hali duni kiuchumi.

Ningekuwa na nafasi ya kufanya maamuzi katika nchi hii ningefanya nini?

Ningehakikisha wafanyakazi wote walio waadilifu na wachapakazi wanapata maslahi mazuri mara 5 zaidi ya wale wengine. Hii ingesaidia pia kurejesha uadilifu kwenye sekta ya ajira kwa haraka zaidi.

Thread inaishia hapa.
It is only applied here in TZ...
 
Mkuu, umenena. Ila unaonaje tukiwakazania Waajiri ili wabadilike na kuwajali wafanyakazi waadilifu zaidi?
Mkuu,uadilifu unaanzia ngazi ya juu ya hiyo sehemu ya kazi,
Sehemu ya kazi yenye uadilifu na kufuata kanuni za eneo hilo la kazi,hawewezi kuwavumilia wavivu na wasio na tija hapo kazini,

Watu wasio waadilifu na wenye janja janja sehemu za kazi,mara nyingi hujipendekeza kwa mabosi coz hawana kitu cha ku offer kupitia kazi wanazofanya,na hawa wakujipendekeza ndio huonekana bora zaidi kwa mabosi kuliko wachapa kazi,

Ndio maana nikasema,uadilifu huanzia ngazi ya juu ya eneo husika la ajira,

Ushauri wangu,

Unapokua eneo la kazi,fanya kazi yako kwa uadilifu na kwa ukamilifu,Mungu yupo na anakuona,
Atakulipa tu kwa ufanyacho,sio lazima iwe hela bali anaweza kukujalia afya njema kwa uadilifu wako,pia utawasaidia raia wanaotaka huduma kupitia eneo lako la kazi.
 
Wo
Wakuu,

Hebu achaneni kwanza na wasemao huwezi kujikwamua kwenye ajira, maana hayo ni maneno ya Motivation speakers tu. Hii ni kwasababu kazini kukiwa na maslahi mazuri, obvious utakuwa na ahueni kiuchumi.

Sasa turudi kwenye mada: Kama kichwa cha thread kinavyosema, hiyo ndo hali halisi huko Makazini kwa hapa AFRIKA. Iwe kwenye ajira sekta BINAFSI au Serikalini huo ndo uhalisia wenyewe.

Hii inamanisha kuwa maslahi kwenye ajira zetu ni duni ndio maana waadilifu wanakuwa na hali duni kiuchumi.

Ningekuwa na nafasi ya kufanya maamuzi katika nchi hii ningefanya nini?

Ningehakikisha wafanyakazi wote walio waadilifu na wachapakazi wanapata maslahi mazuri mara 5 zaidi ya wale wengine. Hii ingesaidia pia kurejesha uadilifu kwenye sekta ya ajira kwa haraka zaidi.

Thread inaishia hapa.
Work smart.... Sio minguvu tu hutoboi..


Ndio kanuni ya maisha.
 
Wo

Work smart.... Sio minguvu tu hutoboi..


Ndio kanuni ya maisha.
Work smart sawa, ila pia maslahi ya wafanyakazi waaminifu yaangaliwe vizuri. Maana wasio waaminifu wanafanya ujanja ujanja kisha wanakuwa na maisha mazuri kiuchumi. Ila walio waaminifu kwakuwa hawajui kukwapua wanaishia kwenye maisha duni kutokana na uduni wa vipato.
 
Work smart sawa, ila pia maslahi ya wafanyakazi waaminifu yaangaliwe vizuri. Maana wasio waaminifu wanafanya ujanja ujanja kisha wanakuwa na maisha mazuri kiuchumi. Ila walio waaminifu kwakuwa hawajui kukwapua wanaishia kwenye maisha duni kutokana na uduni wa vipato.
Sasa ushasema mjanja mjanja.

Unadhani boss analijuaje hilo
 
Back
Top Bottom