The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,228
- 1,447
Ni ngumu sana ,maana hao wasiojituma wanajituma kwenye umbea na kunafkia wanaojituma,nime experience sana hii mimi nashauri kama mtu anajiweza kidogo ajitegemee tuMkuu, umenena. Ila unaonaje tukiwakazania Waajiri ili wabadilike na kuwajali wafanyakazi waadilifu zaidi?