Pre GE2025 Inahitaji akili kubwa kiasi gani kuelewa kwamba kwa kuwa Zanzibar wana serikali na Rais wao, Rais wa Tanzania, kimsingi, ni Rais wa bara?

Pre GE2025 Inahitaji akili kubwa kiasi gani kuelewa kwamba kwa kuwa Zanzibar wana serikali na Rais wao, Rais wa Tanzania, kimsingi, ni Rais wa bara?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tatizo Tanzania na mara nyingi Afrika kwa ujumla, tumezoea kufanya mambo kwa mazoea au kwa matarajio kwamba kama leo tumekula basi hata kesho tutakula tu. Ndio maana wengi wetu mambo ya kuandika wosia hatutaki. Hatutaki kufikiri mambo mbele kiasi hicho, au kudhani tukifa leo au kesho kutakuwa ni tatizo kwa familia zetu tutakazoacha. Na mara nyingine hatudhani kama tunaweza kufa leo au kesho!

Ndio maana hili la raisi wa Tanzania katika mazingira ya Zanzibar kuwa na serikali na raisi wake, hatukulifikiria mbali, labda tukiona kwamba tulikuwa na raisi Mkapa, kisha Kikwete na baadae Magufuli, na mambo yalikuwa sawa tu. Tuliamini kwamba siku zote raisi wa Tanzania atatoka bara, japo makamu wake alitoka visiwani. Hatukuona kwamba raisi wa Tanzania anaweza kutoka visiwani ikiwa raisi aliechaguliwa toka bara atakufa akiwa madarakani na makamu wake toka visiwani akawa raisi wa Tanzania,au raisi wa bara.

Sasa, hili sasa la kuwa na raisi wa Tanzania toka visiwani lazima tukiri linatuletea matatizo mengi sana. Na chimbuko la matatizo haya ni ukweli kwamba kimsingi, raisi wa Tanzania ni raisi wa bara, na anapaswa kuwa mtu kutoka bara. Huu ndio ukweli. Na sababu mojawapo ni kwamba kwa muundo wa muungano tulio nao sasa, raisi wa Tanzania hana sauti tena na mabo ya Zanzibar.

Tukisema raisi ni wa Jamhuri yaa Muungano ya Tanzania hivyo anaweza kutoka bara au visiwani, huko ni kujidanganya. Jiulize, ni mambo mangapi ya muungano raisi Samia anaweza kuyatolea tamko ambalo itabidi raisi wa serikali ya Zanzibar atii na kutekeleza? Hakuna hata moja! Ona kwamba hata mkataba wa Tanzania na DP World haukuhisisha Zanzibar, kwa sababu raisi Samia hana mamlaka na bandari za Zanzibar japo zinasemekana kuwa chini ya muungano.

Sasa basi, kama kweli tunataka tuwe na raisi wa Jamhuri ambaye ana sauti bara na visiwani kuna mawili - aidha kusiwe na raisi wa Zanzibar, au kuwe na raisi wa Tanganyika. Na hii ndio inachochea baadhi ya watu kudai serikali ya Tanganyika.

Kama ambavyo watu hatutaki kuandika wosia, Tanzania hatukuwahi kufikiria nini kitatokea ikiwa raisi wa Tanzania toka bara atakufa, na tukiwa na makamu wa raisi toka Zanzibar anaepaswa kuchukua nafasi yake. Kama tungefikiria mbali ju ya hili, na tukijua kwamba raisi wa Tanzania ni raisi wa bara na anapaswa kutoka bara, basi tungepaswa kusema ikiwa raisi wa Tanzania atakufa akiwa madarakani, kama uchaguzi mkuu uko mbali zaidi ya miaka miwili, makamu wa raisi atakaimu nafasi ya raisi wa Tanzania katika kipindi kisichozidi mwaka mmoja, ambapo ndani ya muda huo uchaguzi mdogo wa raisi utafanyika, pasipo kuwa na uchaguzi wa wabunge. Raisi mpya atakapochaguliwa, kaimu raisi ataendelea na nafasi yake ya makamu wa raisi, ikiwa raisi aliechaguliwa atatoka tena chama tawala; la sivyo kutakuwa na raisi mpya na makamu wa raisi mpya kama uchaguzi mdogo wa raisi utatoa raisi toka chama cha upinzani.

Sasa tukijua hili, na kuelekea uchaguzi wa 2025, ingependeza ikiwa Raisi Samia asigombee tena kiti cha uraisi wa Tanzania, bali CCM walete mgombea mpya kutoka bara na mgombea mwenza mpya kutoka visiwani. Najua wengi watasema ooh, Katiba haisemi hivi. Ndio, lakini CCM wakifanya hivi hawatakuwa wamevunja katiba, bali watakuwa wameinusuru Tanzania katika mitafaruku na issues nyingi zinazoendelea kutokana na uraisi wa Samia, akiwa raisi wa bara kutoka visiwani. Na kama raisi Samia ana uchungu na mapenzi na nchi hii, ni suala la yeye kusema jamani eeh, nimeamua sintagombea uraisi 2025 ili CCM ifanye mchakato mpya kupata wagombea wapya. Baadae hili linapaswa kuwekwa kwenye katiba.

Hakuna mtu asieona kwamba uraisi wa Samia analeta mitafaruku mingi mno. Kwanza watu wengi wa bara hawamwamini kwamba anafanya kazi kwa maslahi ya Tanzania bara na si Zanzibar. Pili watu wanaona anapendelea sana Zanzibar katika miradi na uteuzi. Tatu watu wanaona ameanza kutumia njia za Magufuli. Nne watu wanaona anashindwa kudhibiti viongozi mafisadi wa bara kwa sababu anataka support yao. Tano watu wanaona anaingiza sana watu wa Zanzibar kwenye nafasi za kazi za bara. Sita watu wanaona anatumiwa vibaya na ndugu zake toka nchi za kiarabu. Saba watu wanaona anajitajirisha sana binafsi na ndugu zake ndio maana hawezi kuwakemea viongozi mafisadi kwa sababu wanafanya anachofanya yeye, nk, nk.

Watu wengi wa bara wameanza kuona kuwa support anayopata Samia toka kwa watu wa bara ni kutoka kwa wale tu wanaofaidika na nafasi yake kama raisi wa Tanzania, watu ambao inasemekana wako tayari hata kuteka na kuua Watanzania wenzao ikiwa wataonekana kupinga utawala wa raisi Samia. Sasa hali kama hii si sawa kwa nchi yetu, na inazidi kuharibika. Na ni wazi CCM inajua hili ndio maana wanatumia nguvu kubwa na fedha nyingi sana kumfanyia Samia kampeni, kabla hata ya uchaguzi mkuu.

Raisi Samia, kwa heshima na taadhima, nakuomba ujitoe kwenye kugombea uraisi 2025 ili tujipange upya. Uwepo wako katika nafasi ya uraisi una mambo mengi mazuri yanayoonekana, lakini mabaya makubwa mengi yasiyoonekana!
Point of correction:

1. Usiseme "Rais wa Tanzania Bara". Sema hivi; Rais wa JMT automatic huwa ndiye Rais wa Tanganyika...

2. Hatuna nchi inaitwa "Tanzania Bara". Tanzania ni matokeo ya muungano wa nchi huru mbili TANGANYIKA na ZANZIBAR. Na kwa hiyo ukweli ni kuwa ziko nchi mbili zilizoungana TANGANYIKA na ZANZIBAR. Hakuna nchi na haijawahi kuwepo nchi inayoitwa "TANZANIA BARA" hata kama kuna juhudi na ulaghai wa ki - CCM kujaribu kuipoteza na kuifuta TANGANYIKA. Wamefanikiwa kwa muda, lakini Tanganyika itarudi tena si muda mrefu...!!

3. Ukweli ni kuwa mpaka sasa Tanganyika tunatawaliwa na raia wa kigeni toka nchi iitwayo Zanzibar. Na inashangaza sana kuwa sisi Watanganyika tumeuukubali ujinga na uhayawani huu....

4. Kwa kufikiri kwa akili ya kawaida tu, mtu aweza kujiuliza, hivi inawezekanaje nchi mbili huru zilizoungana zikawa na mfumo wa utawala wa hovyo kiasi hiki?

5. Zanzibar wana Rais wao na mfumo wao wa kiutawala ambao hauruhusu Mtanganyika kushiriki shughuli za kiutawala huko. Lakini ajabu ni hii, kwamba, sisi Wa - Tanganyika tumeruhusu kirahisi tu raia wa nchi mshirika mwenzetu wa muungano (Zanzibar) wafanye chochote watakacho ktk nchi yetu, wachukue nafasi za uongozi wetu, ajira za watoto wetu na mpaka sasa raia wao mmoja amekuwa Rais wa nchi hii...!!

This is absolutely ridiculous...

Ni kama vile sisi Watanganyika hatuna akili vile, hatujitambui wala kujielewa...

Tukatae hili. Tuukatae ujinga na upuuzi huu wa siasa mufilisi na uchwara za Chama Cha Mapinduzi - CCM...
 
Tatizo Tanzania na mara nyingi Afrika kwa ujumla, tumezoea kufanya mambo kwa mazoea au kwa matarajio kwamba kama leo tumekula basi hata kesho tutakula tu. Ndio maana wengi wetu mambo ya kuandika wosia hatutaki. Hatutaki kufikiri mambo mbele kiasi hicho, au kudhani tukifa leo au kesho kutakuwa ni tatizo kwa familia zetu tutakazoacha. Na mara nyingine hatudhani kama tunaweza kufa leo au kesho!

Ndio maana hili la raisi wa Tanzania katika mazingira ya Zanzibar kuwa na serikali na raisi wake, hatukulifikiria mbali, labda tukiona kwamba tulikuwa na raisi Mkapa, kisha Kikwete na baadae Magufuli, na mambo yalikuwa sawa tu. Tuliamini kwamba siku zote raisi wa Tanzania atatoka bara, japo makamu wake alitoka visiwani. Hatukuona kwamba raisi wa Tanzania anaweza kutoka visiwani ikiwa raisi aliechaguliwa toka bara atakufa akiwa madarakani na makamu wake toka visiwani akawa raisi wa Tanzania,au raisi wa bara.

Sasa, hili sasa la kuwa na raisi wa Tanzania toka visiwani lazima tukiri linatuletea matatizo mengi sana. Na chimbuko la matatizo haya ni ukweli kwamba kimsingi, raisi wa Tanzania ni raisi wa bara, na anapaswa kuwa mtu kutoka bara. Huu ndio ukweli. Na sababu mojawapo ni kwamba kwa muundo wa muungano tulio nao sasa, raisi wa Tanzania hana sauti tena na mabo ya Zanzibar.

Tukisema raisi ni wa Jamhuri yaa Muungano ya Tanzania hivyo anaweza kutoka bara au visiwani, huko ni kujidanganya. Jiulize, ni mambo mangapi ya muungano raisi Samia anaweza kuyatolea tamko ambalo itabidi raisi wa serikali ya Zanzibar atii na kutekeleza? Hakuna hata moja! Ona kwamba hata mkataba wa Tanzania na DP World haukuhisisha Zanzibar, kwa sababu raisi Samia hana mamlaka na bandari za Zanzibar japo zinasemekana kuwa chini ya muungano.

Sasa basi, kama kweli tunataka tuwe na raisi wa Jamhuri ambaye ana sauti bara na visiwani kuna mawili - aidha kusiwe na raisi wa Zanzibar, au kuwe na raisi wa Tanganyika. Na hii ndio inachochea baadhi ya watu kudai serikali ya Tanganyika.

Kama ambavyo watu hatutaki kuandika wosia, Tanzania hatukuwahi kufikiria nini kitatokea ikiwa raisi wa Tanzania toka bara atakufa, na tukiwa na makamu wa raisi toka Zanzibar anaepaswa kuchukua nafasi yake. Kama tungefikiria mbali ju ya hili, na tukijua kwamba raisi wa Tanzania ni raisi wa bara na anapaswa kutoka bara, basi tungepaswa kusema ikiwa raisi wa Tanzania atakufa akiwa madarakani, kama uchaguzi mkuu uko mbali zaidi ya miaka miwili, makamu wa raisi atakaimu nafasi ya raisi wa Tanzania katika kipindi kisichozidi mwaka mmoja, ambapo ndani ya muda huo uchaguzi mdogo wa raisi utafanyika, pasipo kuwa na uchaguzi wa wabunge. Raisi mpya atakapochaguliwa, kaimu raisi ataendelea na nafasi yake ya makamu wa raisi, ikiwa raisi aliechaguliwa atatoka tena chama tawala; la sivyo kutakuwa na raisi mpya na makamu wa raisi mpya kama uchaguzi mdogo wa raisi utatoa raisi toka chama cha upinzani.

Sasa tukijua hili, na kuelekea uchaguzi wa 2025, ingependeza ikiwa Raisi Samia asigombee tena kiti cha uraisi wa Tanzania, bali CCM walete mgombea mpya kutoka bara na mgombea mwenza mpya kutoka visiwani. Najua wengi watasema ooh, Katiba haisemi hivi. Ndio, lakini CCM wakifanya hivi hawatakuwa wamevunja katiba, bali watakuwa wameinusuru Tanzania katika mitafaruku na issues nyingi zinazoendelea kutokana na uraisi wa Samia, akiwa raisi wa bara kutoka visiwani. Na kama raisi Samia ana uchungu na mapenzi na nchi hii, ni suala la yeye kusema jamani eeh, nimeamua sintagombea uraisi 2025 ili CCM ifanye mchakato mpya kupata wagombea wapya. Baadae hili linapaswa kuwekwa kwenye katiba.

Hakuna mtu asieona kwamba uraisi wa Samia analeta mitafaruku mingi mno. Kwanza watu wengi wa bara hawamwamini kwamba anafanya kazi kwa maslahi ya Tanzania bara na si Zanzibar. Pili watu wanaona anapendelea sana Zanzibar katika miradi na uteuzi. Tatu watu wanaona ameanza kutumia njia za Magufuli. Nne watu wanaona anashindwa kudhibiti viongozi mafisadi wa bara kwa sababu anataka support yao. Tano watu wanaona anaingiza sana watu wa Zanzibar kwenye nafasi za kazi za bara. Sita watu wanaona anatumiwa vibaya na ndugu zake toka nchi za kiarabu. Saba watu wanaona anajitajirisha sana binafsi na ndugu zake ndio maana hawezi kuwakemea viongozi mafisadi kwa sababu wanafanya anachofanya yeye, nk, nk.

Watu wengi wa bara wameanza kuona kuwa support anayopata Samia toka kwa watu wa bara ni kutoka kwa wale tu wanaofaidika na nafasi yake kama raisi wa Tanzania, watu ambao inasemekana wako tayari hata kuteka na kuua Watanzania wenzao ikiwa wataonekana kupinga utawala wa raisi Samia. Sasa hali kama hii si sawa kwa nchi yetu, na inazidi kuharibika. Na ni wazi CCM inajua hili ndio maana wanatumia nguvu kubwa na fedha nyingi sana kumfanyia Samia kampeni, kabla hata ya uchaguzi mkuu.

Raisi Samia, kwa heshima na taadhima, nakuomba ujitoe kwenye kugombea uraisi 2025 ili tujipange upya. Uwepo wako katika nafasi ya uraisi una mambo mengi mazuri yanayoonekana, lakini mabaya makubwa mengi yasiyoonekana!
mimi naona kuwa suluhisho la kudumu ni kuvunja muungano. Kuna mambo mengi yanayoiathiri tanganyika yamepitishwa kwa kivuli cha muungano. Kuendelea kuungana ni sawa na kuendeleakukaa na mwiba unaokuchomachoma kwenye sofa lako.
 
Jina la 'bara' ni porojo za wanaoficha ficha suala la muungano lisihojiwe. Sema Tanganyika.
 
Unatoka nje ya mada. Elewa thene ya thread. Mlifauluje mitihani yetu, Faiza Foxy hywa anauliza
Natokaje nje ya mada kwamba rais wa jamhuri ya Muungano ya Tanzania ni wa bara tu, kwa kukuletea vifungu vya kikatiba vinavyoainisha mambo ya muungano?

Unajua muungano una mambo yake maalum yanayoongozwa na serikali ya muungano Tanzania nzima?
 
Tatizo Tanzania na mara nyingi Afrika kwa ujumla, tumezoea kufanya mambo kwa mazoea au kwa matarajio kwamba kama leo tumekula basi hata kesho tutakula tu. Ndio maana wengi wetu mambo ya kuandika wosia hatutaki. Hatutaki kufikiri mambo mbele kiasi hicho, au kudhani tukifa leo au kesho kutakuwa ni tatizo kwa familia zetu tutakazoacha. Na mara nyingine hatudhani kama tunaweza kufa leo au kesho!

Ndio maana hili la raisi wa Tanzania katika mazingira ya Zanzibar kuwa na serikali na raisi wake, hatukulifikiria mbali, labda tukiona kwamba tulikuwa na raisi Mkapa, kisha Kikwete na baadae Magufuli, na mambo yalikuwa sawa tu. Tuliamini kwamba siku zote raisi wa Tanzania atatoka bara, japo makamu wake alitoka visiwani. Hatukuona kwamba raisi wa Tanzania anaweza kutoka visiwani ikiwa raisi aliechaguliwa toka bara atakufa akiwa madarakani na makamu wake toka visiwani akawa raisi wa Tanzania,au raisi wa bara.

Sasa, hili sasa la kuwa na raisi wa Tanzania toka visiwani lazima tukiri linatuletea matatizo mengi sana. Na chimbuko la matatizo haya ni ukweli kwamba kimsingi, raisi wa Tanzania ni raisi wa bara, na anapaswa kuwa mtu kutoka bara. Huu ndio ukweli. Na sababu mojawapo ni kwamba kwa muundo wa muungano tulio nao sasa, raisi wa Tanzania hana sauti tena na mabo ya Zanzibar.

Tukisema raisi ni wa Jamhuri yaa Muungano ya Tanzania hivyo anaweza kutoka bara au visiwani, huko ni kujidanganya. Jiulize, ni mambo mangapi ya muungano raisi Samia anaweza kuyatolea tamko ambalo itabidi raisi wa serikali ya Zanzibar atii na kutekeleza? Hakuna hata moja! Ona kwamba hata mkataba wa Tanzania na DP World haukuhisisha Zanzibar, kwa sababu raisi Samia hana mamlaka na bandari za Zanzibar japo zinasemekana kuwa chini ya muungano.

Sasa basi, kama kweli tunataka tuwe na raisi wa Jamhuri ambaye ana sauti bara na visiwani kuna mawili - aidha kusiwe na raisi wa Zanzibar, au kuwe na raisi wa Tanganyika. Na hii ndio inachochea baadhi ya watu kudai serikali ya Tanganyika.

Kama ambavyo watu hatutaki kuandika wosia, Tanzania hatukuwahi kufikiria nini kitatokea ikiwa raisi wa Tanzania toka bara atakufa, na tukiwa na makamu wa raisi toka Zanzibar anaepaswa kuchukua nafasi yake. Kama tungefikiria mbali ju ya hili, na tukijua kwamba raisi wa Tanzania ni raisi wa bara na anapaswa kutoka bara, basi tungepaswa kusema ikiwa raisi wa Tanzania atakufa akiwa madarakani, kama uchaguzi mkuu uko mbali zaidi ya miaka miwili, makamu wa raisi atakaimu nafasi ya raisi wa Tanzania katika kipindi kisichozidi mwaka mmoja, ambapo ndani ya muda huo uchaguzi mdogo wa raisi utafanyika, pasipo kuwa na uchaguzi wa wabunge. Raisi mpya atakapochaguliwa, kaimu raisi ataendelea na nafasi yake ya makamu wa raisi, ikiwa raisi aliechaguliwa atatoka tena chama tawala; la sivyo kutakuwa na raisi mpya na makamu wa raisi mpya kama uchaguzi mdogo wa raisi utatoa raisi toka chama cha upinzani.

Sasa tukijua hili, na kuelekea uchaguzi wa 2025, ingependeza ikiwa Raisi Samia asigombee tena kiti cha uraisi wa Tanzania, bali CCM walete mgombea mpya kutoka bara na mgombea mwenza mpya kutoka visiwani. Najua wengi watasema ooh, Katiba haisemi hivi. Ndio, lakini CCM wakifanya hivi hawatakuwa wamevunja katiba, bali watakuwa wameinusuru Tanzania katika mitafaruku na issues nyingi zinazoendelea kutokana na uraisi wa Samia, akiwa raisi wa bara kutoka visiwani. Na kama raisi Samia ana uchungu na mapenzi na nchi hii, ni suala la yeye kusema jamani eeh, nimeamua sintagombea uraisi 2025 ili CCM ifanye mchakato mpya kupata wagombea wapya. Baadae hili linapaswa kuwekwa kwenye katiba.

Hakuna mtu asieona kwamba uraisi wa Samia analeta mitafaruku mingi mno. Kwanza watu wengi wa bara hawamwamini kwamba anafanya kazi kwa maslahi ya Tanzania bara na si Zanzibar. Pili watu wanaona anapendelea sana Zanzibar katika miradi na uteuzi. Tatu watu wanaona ameanza kutumia njia za Magufuli. Nne watu wanaona anashindwa kudhibiti viongozi mafisadi wa bara kwa sababu anataka support yao. Tano watu wanaona anaingiza sana watu wa Zanzibar kwenye nafasi za kazi za bara. Sita watu wanaona anatumiwa vibaya na ndugu zake toka nchi za kiarabu. Saba watu wanaona anajitajirisha sana binafsi na ndugu zake ndio maana hawezi kuwakemea viongozi mafisadi kwa sababu wanafanya anachofanya yeye, nk, nk.

Soma Pia: Tukiri kwamba katika mfumo wa muungano uliopo, inawezekana raisi kutoka Zanzibar akafanya kazi kwa maslahi ya Zanzibar zaidi ya bara au ya muungano

Watu wengi wa bara wameanza kuona kuwa support anayopata Samia toka kwa watu wa bara ni kutoka kwa wale tu wanaofaidika na nafasi yake kama raisi wa Tanzania, watu ambao inasemekana wako tayari hata kuteka na kuua Watanzania wenzao ikiwa wataonekana kupinga utawala wa raisi Samia. Sasa hali kama hii si sawa kwa nchi yetu, na inazidi kuharibika. Na ni wazi CCM inajua hili ndio maana wanatumia nguvu kubwa na fedha nyingi sana kumfanyia Samia kampeni, kabla hata ya uchaguzi mkuu.

Raisi Samia, kwa heshima na taadhima, nakuomba ujitoe kwenye kugombea uraisi 2025 ili tujipange upya. Uwepo wako katika nafasi ya uraisi una mambo mengi mazuri yanayoonekana, lakini mabaya makubwa mengi yasiyoonekana!
Ndio maana wengine tunaona Samia kwa jinsi alivyoweza kua rais kutokana na katiba apishe kua mgombea wa ccm kwan pamoja na kwamba kama mtanzania anaweza kugombea lakini sio mtanzania mwenye uwezo na sifa. Asipogombea watanzania wenye sifa na uwezo watajitokeza bila kuwekewa mikwala na chawa wa Samia. Watanzania wanahitaji kiongozi aina ya Magufuli ambaye anaweza kulitoa taifa kwenye umaskini na kujenga utawala wa haki na usawa kiuchumi na kijamii. Samia baada ya kushika kiti cha urais wananchi walishuhudia akikejeri sera za kimagufuli hadi kudiriki kuwapa tena uongozi watu waliyomkejeri na kumdharau magufuli. Hakika wananchi wengi hawana imani na Samia. Huu ndio ukweli.
 
Natokaje nje ya mada kwamba rais wa jamhuri ya Muungano ya Tanzania ni wa bara tu, kwa kukuletea vifungu vya kikatiba vinavyoainisha mambo ya muungano?

Unajua muungano una mambo yake maalum yanayoongozwa na serikali ya muungano Tanzania nzima?

Najua muungano una mambo yake maalum yanayoongozwa na serikali ya muungano Tanzania nzima, lakini kwa sasa majukumu hayo ni kidogo mno, kwa sababu ni kama 5% tu ya majukumu ya raisi. Kimsingi, raisi akiamua kutoyafanya, Zanzibar haitaathirika kwa sababu ya kuwa na serikali yake ambayo haitegemei serikali ya muungano kwa karibu 95%. Majukumu ya raisi wa muungano kwa karibu 95% yanahusu Tanzania bara.

Unaona Kiranga, katiba ya Tanzania haisemi kuwa raisi wa Tanzania atakuwa kutoka bara tu, lakini imebatilisha suala la kusema raisi wa Tanzania atachaguliwa kwa mtindo wa zamu kati ya Tanzania bara na visiwani kama ilivyokuwa mwanzoni. Ndio maana tukawa na Mkapa, then Kikwete then Magufuli. Haikuwa kwa kuwa Katiba ilisema raisi atoke bara tu.

Sasa ilikuwa iendelee hivyo na isingekuwa rahisi mtu wa Tanzania visiwani awe ndio mgombea uraisi wa Tanzania. Mojawapo ya sababu ni kwamba ilijionyesha wazi raisi wa Tanzania majukumu yake yako zaidi bara kwa sababu Tanzania visiwani wana serikali yao na hawaingiliwi kwa namna yeyote na raisi wa Tanzania. Kimsingi basi, bila kuliweka kwenye maandishi au Katiba, raisi wa Tanzania siku zote angetoka bara na makamu wake kutoka visiwani. Kilichobadilisha hilo ni kifo cha Magufuli, ambapo automatically tukawa na raisi wa Tanzania kutoka Zanzibar, jambo ambalo halikutarajiwa. Na hilo halipingani na katiba.

Sasa lengo la thread hii, na nitasema kiingereza kwa msisitizo, ni kuonyesha kwamba under the current set up of the union between Tanzania mainland and Zanzibar, it is constitutionally correct the president of Tanzania is from Zanzibar, but it is constitutionally inappropriate. And because it is constitutionally inappropriate, it creates an urgent need for us to correct the constitution. That is why I said, in the meantime, president Samia can offer not to contest for the presidency in the next general election, out of her own free will, because as long as the constitution allows it, it is within her rights to contest for the presidency

To illustrate, today, some politically foolish members of parliament, because of their majority in the parliament, could decide to change the constitution such that someone from Kenya, for example, can become the president of Tanzania. Once you have changed the constitution to allow for that, it will be constitutionally correct for a Kenyan to become president of Tanzania. But will it be constitutionally appropriate?
 
Kwanza hakuna kitu kinaitwa Tanganyika au Tanzania bara.
Muunganiko wa Zanzibar na Tanganyika uliiua mazima Tanganyika wakati huo Zanzibar ikibakia kuwa nchi huru!
Yaani kifupi ni muunganiko ambao haupo kwenye mantiki wala kwenye mahesabu!
Hauna win-win arrangements!

Soma hapa kwanza:
The 'United Kingdom' refers to a political union between England, Wales, Scotland, and Northern Ireland. Although the UK is a fully independent sovereign state, the four nations that make it up are also countries in their own right and have a certain extent of autonomy.https: (Is the UK a country?)
 
Najua muungano una mambo yake maalum yanayoongozwa na serikali ya muungano Tanzania nzima, lakini kwa sasa majukumu hayo ni kidogo mno, kwa sababu ni kama 5% tu ya majukumu ya raisi. Kimsingi, raisi akiamua kutoyafanya, Zanzibar haitaathirika kwa sababu ya kuwa na serikali yake ambayo haitegemei serikali ya muungano kwa karibu 95%. Majukumu ya raisi wa muungano kwa karibu 95% yanahusu Tanzania bara.

Unaona Kiranga, katiba ya Tanzania haisemi kuwa raisi wa Tanzania atakuwa kutoka bara tu, lakini imebatilisha suala la kusema raisi wa Tanzania atachaguliwa kwa mtindo wa zamu kti ya Tanzania bara na visiwani kama ilivyokuwa mwanzoni. Ndio maana tukawa na Mkapa, then Kikwete then Magufuli. Haikuwa kwa kuwa Kaiba ilisema raisi atoke bara tu.

Sasa ilikuwa iendelee hivyo na isingekuwa rahisi mtu wa Tanzania visiwani awe ndio mgombea uraisi wa Tanzania. Mojawapo ya sababu ni kwamba ilijionyesha wazi raisi wa Tanzania majukumu yake yako zaidi bara kwa sababu Tanzania visiwani wana serikali yao na hawaingiliwi kwa namna yeyote na raisi wa Tanzania. Kimsingi basi, bila kuliweka kwenye maandishi au Katiba, raisi wa Tanzania siku zote angetoka bara na makamu wake kutoka visiwani. Kilichobadilisha hilo ni kifo cha Magufuli, ambapo automatically tukawa na raisi wa Tanzania kutoka Zanzibar, jambo ambalo halikutarajiwa. Na hilo halipingani na katiba.

Sasa lengo la thread hii, na nitasema kiingereza kwa msisitizo, ni kuonyesha kwamba under the current set up of the union between Tanzania mainland and Zanzibar, it is constitutionally correct the president of Tanzania is from Zanzibar, but it is constitutionally inappropriate. And because it is constitutionally inappropriate, it creates an urgent need for us to correct the constitution. That is why I said, in the meantime, president Samia can offer not to contest for the presidency in the next general election out of her own free will, because as long as the constitutional allows it, then it is within her rights to contest for the presidency

To illustrate, today, some politically foolish members of parliament, because of their majority in the parliament, could decide to change the constitution such that someone from Kenya, for example, can become the president of Tanzania. Once you have changed the constitution to allow for that, it will be constitutionally correct for a Kenyan to become president of Tanzania. But will it be constitutionally appropriate?
Umepata vipi figure ya 5% ?
 
Umepata vipi figure ya 5% ?
Expert opinion! Lakini unaweza kukadiria kutokana na shughuli za Muungano chini ya raisi, kama jeshi, mambo ya nje. Nini kingine? Sasa ndio unasema hayo yanachukua asilimia ngapi ya shughuli za raisi za kila siku, na kiasi gani yanaathiri Zanzibar?
 
Kwanza hakuna kitu kinaitwa Tanganyika au Tanzania bara.
Muunganiko wa Zanzibar na Tanganyika uliiua mazima Tanganyika wakati huo Zanzibar ikibakia kuwa nchi huru!
Yaani kifupi ni muunganiko ambao haupo kwenye mantiki wala kwenye mahesabu!
Hauna win-win arrangements!

Soma hapa kwanza:
The 'United Kingdom' refers to a political union between England, Wales, Scotland, and Northern Ireland. Although the UK is a fully independent sovereign state, the four nations that make it up are also countries in their own right and have a certain extent of autonomy.https: (Is the UK a country?)
Ndio maana watu wanadai serikali ya Tanganyika.
 
Expert opinion! Lakini unaweza kukadiria kutokana na shughuli za Muungano chini ya raisi, kama jeshi, mambo ya nje. Nini kingine? Sasa ndio unasema hayo yanachukua asilimia ngapi ya shughuli za raisi za kila siku, na kiasi gani yanaathiri Zanzibar?

So, the 5% is made up, like your assumption that the union president is only a bara president.

The union president appoints Zanzibaris to the union cabinet, at will. She just appointed Mahmoud Kombo to be MP and Foreign Minister. How can she be only a bara president?

Ina maana nilivyokuwekea mambo ya muungano hujayasoma kabisa au unayadharau tu kwa sababu yanaharibu hoja yako ya kutunga?
 
Back
Top Bottom