Inahitaji akili mingi sana na ujasiri kuwa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu

Inahitaji akili mingi sana na ujasiri kuwa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Wakuu kwa upande wangu naona hili suala ni changamoto kubwa mno. Inahitaji kuwa fit kisaikolojia ili kwenda sawa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu. Binafsi imetokea mara kadhaa kukutana na wanawake wenye hizi sifa lakini ilikuwa ngumu kudumu kwa sababu yeye kuwa chini yako kwa 100% haiwezekani. Kunakuwa na conditions za hapa na pale tofauti na wanawake wengine.

Changamoto inakuwa kubwa umkute ana 30+ huku akimiliki masters degree naa mshahara mnono toka kwenye taasisi zinazolipa vizuri. Kivyovyote vile inabidi wewe ndo u-fit kwenye mfumo wake. Ukiwa chini sana kiuchumi risk ya kupoteza cheo cha kichwa cha familia inakuwa kubwa zaidi. Akiwa na kiongozi wa kiroho anayemwita Daddy basi WAFWA.

Pamoja na yote bado kuna wanaume hupenda wanawake wa aina hii kwa sababu ya kunufaika kimaslahi.
 
Unaweza usieleweke ila aliyewahi kuwa na mwanamke mwenye kipato au mamlaka ndie atakuelewa
Kama utakomaa jamii iendelee kukuona "umepata"basi itakuwa uwe na kiwango Cha juu sana Cha kuigiza na huenda ukapata nafasi jua kali
 
Wakuu kwa upande wangu naona hili suala ni changamoto kubwa mno. Inahitaji kuwa fit kisaikolojia ili kwenda sawa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu. Binafsi imetokea mara kadhaa kukutana na wanawake wenye hizi sifa lakini ilikuwa ngumu kudumu kwa sababu yeye kuwa chini yako kwa 100% haiwezekani. Kunakuwa na conditions za hapa na pale tofauti na wanawake wengine.

Changamoto inakuwa kubwa umkute ana 30+ huku akimiliki masters degree naa mshahara mnono toka kwenye taasisi zinazolipa vizuri. Kivyovyote vile inabidi wewe ndo u-fit kwenye mfumo wake. Ukiwa chini sana kiuchumi risk ya kupoteza cheo cha kichwa cha familia inakuwa kubwa zaidi. Akiwa na kiongozi wa kiroho anayemwita Daddy basi WAFWA.

Pamoja na yote bado kuna wanaume hupenda wanawake wa aina hii kwa sababu ya kunufaika kimaslahi.
dawa ni kupeleka moto kisawasawa
 
Wakuu kwa upande wangu naona hili suala ni changamoto kubwa mno. Inahitaji kuwa fit kisaikolojia ili kwenda sawa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu. Binafsi imetokea mara kadhaa kukutana na wanawake wenye hizi sifa lakini ilikuwa ngumu kudumu kwa sababu yeye kuwa chini yako kwa 100% haiwezekani. Kunakuwa na conditions za hapa na pale tofauti na wanawake wengine.

Changamoto inakuwa kubwa umkute ana 30+ huku akimiliki masters degree naa mshahara mnono toka kwenye taasisi zinazolipa vizuri. Kivyovyote vile inabidi wewe ndo u-fit kwenye mfumo wake. Ukiwa chini sana kiuchumi risk ya kupoteza cheo cha kichwa cha familia inakuwa kubwa zaidi. Akiwa na kiongozi wa kiroho anayemwita Daddy basi WAFWA.

Pamoja na yote bado kuna wanaume hupenda wanawake wa aina hii kwa sababu ya kunufaika kimaslahi.
Hakika Hilo n tatzo
 
Apo cheza muda na nafasi chapa mimba mfululizo hata 4 baada ya hapo utaona
 
Watu wanafua umeme kweli kweli ila wapi na akijiunga tik tok na insta akapata likes 1k hapo hata ukipaka mkongo haisaidii
haya mambo ya insta, tiktok nusura yaniumize roho, mtu alilambishwa like na emoj za kumwaga nashuhudia. Nilitaka nilanza kuwapa kifinyo hukohuko nikashindwa. Haya mademu yenye akaunti huko ni pasua kichwa
 
Nafasi ya mwanaume kwa kila mwanamke haikwepeki isipokuwa namna sahihi ya kukaa kwenye nafasi hiyo ndilo tatizo. Haijalishi umri, hali ya kiuchumi na maisha kiujumla. Siku hizi Hawa wanaoitwa "Daddy" wa kiroho ndo wanawapa viburi na kuahiribu ile hulka ya kiuanamke ndani yao.
 
haya mambo ya insta, tiktok nusura yaniumize roho, mtu alilambishwa like na emoj za kumwaga nashuhudia. Nilitaka nilanza kuwapa kifinyo hukohuko nikashindwa. Haya mademu yenye akaunti huko ni pasua kichwa
Ku deal na mwanamke mzuri au maarufu aisee🙌🙌🙌🙌
 
Kama mwanamke amekuzidi
1. Elimu
2.Kipato.
3.Umri.
4.Mali + Pesa.
NOTE: Hapo Mwanaume hauna Thamani Yeyote kwake maana hauna ulichomzidi, ispokua Jinsia ya Kiume Tu. Huyo mwanamke hautomuweza, kibaologia mwanamke anapenda kupewa, aka kupokea Sasa utampa Nini huyo mwanamke ukiondoa Jinsi uliyonayo
 
Kama mwanamke amekuzidi
1. Elimu
2.Kipato.
3.Umri.
4.Mali + Pesa.
NOTE: Hapo Mwanaume hauna Thamani Yeyote kwake maana hauna ulichomzidi, ispokua Jinsia ya Kiume Tu. Huyo mwanamke hautomuweza, kibaologia mwanamke anapenda kupewa, aka kupokea Sasa utampa Nini huyo mwanamke ukiondoa Jinsi uliyonayo
unampa shoo tu
 
Back
Top Bottom