Inahitaji akili mingi sana na ujasiri kuwa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu

Inahitaji akili mingi sana na ujasiri kuwa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu

Udhaifu huo wanaujua Manabii Fake, na waganga wa kienyeji.

Mbona hao Manabii na Waganga wa kienyeji wanaweza kuwa Maskini, wenye Elimu Duni na bado wanawaburuza?

Mwanamke ni mwanamke tuu hata angekuwa Mfalme au mungu.
Ukiwa na akili iliyotulia unamuendesha
Mzee Mtibeli huo muda wa kujifunza jinsi ya kumuendesha ni bora kujitwalia binti mtulivu asiye na mambo mengi sana. Hawa mamanzi wanaojua hadi vifungu vya sheria ya ndoa ya mwaka 1971 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2009 wawe tu single mothers.
 
Mfano ana masters na hana ajira bado atakuwa jeuri kwangu? Ongea ili ueleweke kuwa mwanamke akiwa na pesa kukuzidi ni lazima upitie msoto....kinachomfanya mtu aheshimike katika jamii ni PESA tu wapuuzi ninyi
 
Wakuu kwa upande wangu naona hili suala ni changamoto kubwa mno. Inahitaji kuwa fit kisaikolojia ili kwenda sawa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu. Binafsi imetokea mara kadhaa kukutana na wanawake wenye hizi sifa lakini ilikuwa ngumu kudumu kwa sababu yeye kuwa chini yako kwa 100% haiwezekani. Kunakuwa na conditions za hapa na pale tofauti na wanawake wengine.

Changamoto inakuwa kubwa umkute ana 30+ huku akimiliki masters degree naa mshahara mnono toka kwenye taasisi zinazolipa vizuri. Kivyovyote vile inabidi wewe ndo u-fit kwenye mfumo wake. Ukiwa chini sana kiuchumi risk ya kupoteza cheo cha kichwa cha familia inakuwa kubwa zaidi. Akiwa na kiongozi wa kiroho anayemwita Daddy basi WAFWA.

Pamoja na yote bado kuna wanaume hupenda wanawake wa aina hii kwa sababu ya kunufaika kimaslahi.
Aisee
 
Mzee Mtibeli huo muda wa kujifunza jinsi ya kumuendesha ni bora kujitwalia binti mtulivu asiye na mambo mengi sana. Hawa mamanzi wanaojua hadi vifungu vya sheria ya ndoa ya mwaka 1971 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2009 wawe tu single mothers.
Seems mnataka mwanamke w Ndio kwa kila kitu..lol
 
Back
Top Bottom