Inahitaji akili mingi sana na ujasiri kuwa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu

Inahitaji akili mingi sana na ujasiri kuwa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu

Wakuu kwa upande wangu naona hili suala ni changamoto kubwa mno. Inahitaji kuwa fit kisaikolojia ili kwenda sawa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu. Binafsi imetokea mara kadhaa kukutana na wanawake wenye hizi sifa lakini ilikuwa ngumu kudumu kwa sababu yeye kuwa chini yako kwa 100% haiwezekani. Kunakuwa na conditions za hapa na pale tofauti na wanawake wengine.

Changamoto inakuwa kubwa umkute ana 30+ huku akimiliki masters degree naa mshahara mnono toka kwenye taasisi zinazolipa vizuri. Kivyovyote vile inabidi wewe ndo u-fit kwenye mfumo wake. Ukiwa chini sana kiuchumi risk ya kupoteza cheo cha kichwa cha familia inakuwa kubwa zaidi. Akiwa na kiongozi wa kiroho anayemwita Daddy basi WAFWA.

Pamoja na yote bado kuna wanaume hupenda wanawake wa aina hii kwa sababu ya kunufaika kimaslahi.
Si mnapenda waliosoma na kazi mkiamini watawapiga Jerk mambo ya kikwama?

Asili haijipingi.🤣🤣🤣 utapinda mgongo bure
 
Wakuu kwa upande wangu naona hili suala ni changamoto kubwa mno. Inahitaji kuwa fit kisaikolojia ili kwenda sawa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu. Binafsi imetokea mara kadhaa kukutana na wanawake wenye hizi sifa lakini ilikuwa ngumu kudumu kwa sababu yeye kuwa chini yako kwa 100% haiwezekani. Kunakuwa na conditions za hapa na pale tofauti na wanawake wengine.

Changamoto inakuwa kubwa umkute ana 30+ huku akimiliki masters degree naa mshahara mnono toka kwenye taasisi zinazolipa vizuri. Kivyovyote vile inabidi wewe ndo u-fit kwenye mfumo wake. Ukiwa chini sana kiuchumi risk ya kupoteza cheo cha kichwa cha familia inakuwa kubwa zaidi. Akiwa na kiongozi wa kiroho anayemwita Daddy basi WAFWA.

Pamoja na yote bado kuna wanaume hupenda wanawake wa aina hii kwa sababu ya kunufaika kimaslahi.
Mwanamke kuwa na elimu na fedha hakumuondolei asili yake ya kike, tatizo ni mwanaume kutojiamini,,,,mwanamke anahitaji kuoneshwa UPENDO, KUSIFIWA, KUMJALI, NA USALAMA mwanaume hahitaji fedha kwenye hayo mambo manne..
 
Wakuu kwa upande wangu naona hili suala ni changamoto kubwa mno. Inahitaji kuwa fit kisaikolojia ili kwenda sawa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu. Binafsi imetokea mara kadhaa kukutana na wanawake wenye hizi sifa lakini ilikuwa ngumu kudumu kwa sababu yeye kuwa chini yako kwa 100% haiwezekani. Kunakuwa na conditions za hapa na pale tofauti na wanawake wengine.

Changamoto inakuwa kubwa umkute ana 30+ huku akimiliki masters degree naa mshahara mnono toka kwenye taasisi zinazolipa vizuri. Kivyovyote vile inabidi wewe ndo u-fit kwenye mfumo wake. Ukiwa chini sana kiuchumi risk ya kupoteza cheo cha kichwa cha familia inakuwa kubwa zaidi. Akiwa na kiongozi wa kiroho anayemwita Daddy basi WAFWA.

Pamoja na yote bado kuna wanaume hupenda wanawake wa aina hii kwa sababu ya kunufaika kimaslahi.
Kwa usalama wa mahusiano/ndoa settle na mwanamke ambae umemzidi kila kitu kwa mbali sana. It's not inferiority complex, it wisdom
 
Mwanamke kuwa na elimu na fedha hakumuondolei asili yake ya kike, tatizo ni mwanaume kutojiamini,,,,mwanamke anahitaji kuoneshwa UPENDO, KUSIFIWA, KUMJALI, NA USALAMA mwanaume hahitaji fedha kwenye hayo mambo manne..
Mapigo ya kizamani sana haya
 
Kuhusu pesa ni sawa.
Elimu ni kitu cha kuongeza, labda uwe na vyeti vichafu.

Ukiona mtu wako anakudharau kwa sababu ya elimu ujue huyo hakufai.
 
Wakuu kwa upande wangu naona hili suala ni changamoto kubwa mno. Inahitaji kuwa fit kisaikolojia ili kwenda sawa na mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu. Binafsi imetokea mara kadhaa kukutana na wanawake wenye hizi sifa lakini ilikuwa ngumu kudumu kwa sababu yeye kuwa chini yako kwa 100% haiwezekani. Kunakuwa na conditions za hapa na pale tofauti na wanawake wengine.

Changamoto inakuwa kubwa umkute ana 30+ huku akimiliki masters degree naa mshahara mnono toka kwenye taasisi zinazolipa vizuri. Kivyovyote vile inabidi wewe ndo u-fit kwenye mfumo wake. Ukiwa chini sana kiuchumi risk ya kupoteza cheo cha kichwa cha familia inakuwa kubwa zaidi. Akiwa na kiongozi wa kiroho anayemwita Daddy basi WAFWA.

Pamoja na yote bado kuna wanaume hupenda wanawake wa aina hii kwa sababu ya kunufaika kimaslahi.

Wanawake wa aina hiyo Wana udhaifu mdogo ambao watu wengi hawaujui
Ukishaujua huo udhaifu unaburuza huyo mwanamke kama kondoo na hakuna kitu anafanya.

Lazima uwe na akili nyingi kumzidi hiyo ipo constant
 
Wanawake wa aina hiyo Wana udhaifu mdogo ambao watu wengi hawaujui
Ukishaujua huo udhaifu unaburuza huyo mwanamke kama kondoo na hakuna kitu anafanya.

Lazima uwe na akili nyingi kumzidi hiyo ipo constant
Udhaifu gani mkuu? Fafanua kwa faida ya wote.
 
Udhaifu gani mkuu? Fafanua kwa faida ya wote.

Udhaifu huo wanaujua Manabii Fake, na waganga wa kienyeji.

Mbona hao Manabii na Waganga wa kienyeji wanaweza kuwa Maskini, wenye Elimu Duni na bado wanawaburuza?

Mwanamke ni mwanamke tuu hata angekuwa Mfalme au mungu.
Ukiwa na akili iliyotulia unamuendesha
 
Nafasi ya mwanaume kwa kila mwanamke haikwepeki isipokuwa namna sahihi ya kukaa kwenye nafasi hiyo ndilo tatizo. Haijalishi umri, hali ya kiuchumi na maisha kiujumla. Siku hizi Hawa wanaoitwa "Daddy" wa kiroho ndo wanawapa viburi na kuahiribu ile hulka ya kiuanamke ndani yao.
Huwa inafikirisha kukuta mke wako au dada yako anamwita daddy mchungaji
 
Kiumbe wa design hio wanataka cha kwanza kabisa usalama wake, upendo, maamuzi, uwemjanja kidogo
 
Back
Top Bottom