barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Tatizo ni wewe kulazimisha mambo, iko simpo, ukiona 200 inachemka basi jua hiyo ni gari ya kutembelea mjini vitrip vidogo vidogo, kama umeamua kutoka nayo dar arusha non stop ni tatizo lako!Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?
Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Can you clarify more? In term of unique charactersChevrolet
the best car ever.
Labda kama unamaanisha MBUGUNI huko MERERANI.Engine ni engine iwe ya passo ama ya fuso. Passo hata mbinguni unaweza kwenda nayo bila kuchemsha ilimradi tu ni nzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna MTU alienda Rwanda na passo.
Hiyo Gari yako inachemka kwasababu hujatoa thermostat
Narudia, passo ni sawa na wheel Barrow yenye injini. Usithubutu kununua.
Yalikuwemo mengine Lita 10. Tanki haiwezi kuwa empty.acha ushuhuda wa uongo kwenye jamii ya great thinkers, huwezi kusafiri umbali huoo kwa mafuta hayo, labda wewe hujui hesabu au uliomba lift na sio gari lako kabisa. Dar-Moro ni kilomita 280 na mafuta ya 22,000 ni sawa na lita 10.92 kwa bei ya lita moja 2040. Na kwamba unatuambia kuwa wastani wa lita 1 mlikuwa mnakwenda kilomita 25. Huo ni uongo mchana kweupe.
Dar Moro ni kama Km 205 mkuu.. Ni kweli kabisa wala siwezi idanganya halaiki hii yote bila sababu...acha ushuhuda wa uongo kwenye jamii ya great thinkers, huwezi kusafiri umbali huoo kwa mafuta hayo, labda wewe hujui hesabu au uliomba lift na sio gari lako kabisa. Dar-Moro ni kilomita 280 na mafuta ya 22,000 ni sawa na lita 10.92 kwa bei ya lita moja 2040. Na kwamba unatuambia kuwa wastani wa lita 1 mlikuwa mnakwenda kilomita 25. Huo ni uongo mchana kweupe.
If you want to go by car, the driving distance between Dar es Salaam and Morogoro is 193.63 km. Mkuu, labda wewe utakuwa unakwenda kwa kutumia usafiri gani? Sidhani kama utakuwa unatumia bara bara na sidhani kama utakuwa uanendesha... Au Morogoro unayoizungumzia wewe ni ile ya Ifakara?sio kweli umbali wa 205, mi napiga route za dar moro daily ni 280KM
hayo ndio mambo sasaYalikuwemo mengine Lita 10. Tanki haiwezi kuwa empty.
1 litre ni sawa na km 20 running ( maximum capacity). Reccomended ni km 17 per litre.
Kuna MTU alienda Rwanda na passo.
Hiyo Gari yako inachemka kwasababu hujatoa thermostat
Jamaa tusiongelee ushabiki tuchangie hoja kwa points
KILA GARI INA CC ZAKE
mfavo VITZ zipo aina TATU za vits KIKUBWA ZAIDI NI ZINATOFAUTIANA CC
hata PASO ni ivo ivo na IST ni ivo ivo
Mimi nimetoka na PASSO dar
Nlitoka dar usiku saa4 mdogomdogo 10alfjr dom
Nikaamsha dom Saa1 asbh kukipambazuka hamna speed kwasbb ya tochi
1nanusu magharibi nikaingia mwanza
Tena bila tatizo bila gari kuchemka na kuanzia singida nlikua nakula AC hadi nzega
Sasa ukiwa umezoea kuendesha CRUSER 2300CC,long safari ukaja ukaendesha Passo 850CC long safari Mkuu hapo Passo unaeza hata ukaipasua injin
Kwasbb utataka speed kama ya Cruiser[emoji3]
Kumiliki passo ni ulofa
Sent From My Nokia Ya Tochi
Mkuu wa Mkoa. Apige marufuku Passo kama alivyokataza Shishaa
Salam mkuu. Huna contacts za mizigo ya huku mbeya. Nipo huku wiki ya 3 naishia punyere tu