Inahitaji ujasiri kumiliki PASSO

Inahitaji ujasiri kumiliki PASSO

Wewe umenunua Passo kuu kuu unakuja kulia lia huku... Tangu lini gari imetembea kilometer kama laki mbili ivi ikawa nzima. Nunua angalau ka Passo kametembea KM elfu sabini angalau na wewe uongeze nyingine hamsini hapo kabla hakajaenda kaburini kuchinjwa skreppa...
Kwa hiyo kikienda moshi mara [emoji817] kamekufwaaa
 
Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?

Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Labda hiyo uliyoiona au unayomiliki ni mbovu. Mimi nimesafiri kwa Passo umbali wa 330km kwenda na kurudi na haijaleta tatizo lolote!
 
Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?

Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.

Udereva nao ni taaluma muhimu sana , wengine hatuna ujuzi bora wa kujua namna ya kuendesha gari kwa kulingana na specification zake, mfano mtu alijifunza kwa kutumia Land Rover 109 au RAV4 2000cc anaendesha mabonde kuinama halafu leo unampa aendeshe Passo 990cc njia hiyo hiyo unategemea atasemaje ? kwanza hajui kutofautisha uwezo wa hizo engine tu

Pia ni vema kutambua kuwa hiyo engine ya PASSO K3 1290cc ndhi hiyo hiyo ilioko kwenye Corolla , Starlet, LiteAce, TownAce, Daihatsu

Hakika kwa dereva bora PASSO ni gari bora sana tena yenye 1290 cc haina mipaka ya kuiendesha popote pale utafia na utapita sawa kabisa na aliye na gari nyingine Dar to South Africa utafika bila shaka
 
Mi ninayo na nimeenda nayo Morogoro zaidi ya mara moja toka dar na nimeenda nayo Tanga bila shida. Kwa speed zetu hizi za 80kph utaenda sawa tu na wenye brevis, atakuacha milimani. Ila hizi engine za cc990 hazina power sana. Yangu nataka kufunga engine ya cc1300
 
Huu ni mtazamo mkuu! na inawezekana ulipata gari ikiwa tayali inamatatizo. Mimi nina Passo kwasasa mbali na nyingine ninazotumia, na nimekuwa nikienda karibu mara mbili kila mwezi Mwanza - Dodoma bila kuhisi hiyo shida ya kuchemsha.

Unaweza kuangalia yafuatayo:
1. Hakikisha rejeta yako imefanyiwa ukaguzi/kusafishwa na mtu ambaye ni mtaalam.
2. Jaribu kuachana na kuweka maji ya Duwasa/Dawasco au kisima kwenye rejeta - jitahidi kutumia coolant. Napendekeza utumie coolant bora sio zile zinazouzwa gerezani. Pata kutoka BP au kampuni nyingine zinazojitambua.

3. Fanya wholesome wngine check - ipimwe system yote. Garage za veta au kwengineko wanaweza kupima gari gako na kukushauri vipuri ambavyo tayali vimechakaa na unahitaji kubadilisha.

Naamini ukifanya haya mkuu wangu, tatizo linaweza kupungua.

TATIZO LA PASSO:
Gari nyingi aina ya Passo zona shida ya usukani kuwa mgumu - kuna indicator moja inajitokeza unapowasha gari "EPS" - ikitokea hiyo unaweza kushawishika kutupa gari kwani hata baadhi ya mafindi wa toyota hasa mikoani hawajui namna ya kurekebisha.

Zaidi ya shida hii sijaona. Kinachonifurahisha zaidi ni kuwa natumia 120,000/- mwezi mzima tofauti na gari zangu nyingine nilipokuwa natumia zaidi ya 250,000/- kwa mwezi (hii nazungumzia Mwanza).

Jitahidi matunzo kwa gari yoyote - utaipenda
upo vizuri mkuu hata mimi nimepata pa kuanzia
 
Udereva nao ni taaluma muhimu sana , wengine hatuna ujuzi bora wa kujua namna ya kuendesha gari kwa kulingana na specification zake, mfano mtu alijifunza kwa kutumia Land Rover 109 au RAV4 2000cc anaendesha mabonde kuinama halafu leo unampa aendeshe Passo 990cc njia hiyo hiyo unategemea atasemaje ? kwanza hajui kutofautisha uwezo wa hizo engine tu

Pia ni vema kutambua kuwa hiyo engine ya PASSO K3 1290cc ndhi hiyo hiyo ilioko kwenye Corolla , Starlet, LiteAce, TownAce, Daihatsu

Hakika kwa dereva bora PASSO ni gari bora sana tena yenye 1290 cc haina mipaka ya kuiendesha popote pale utafia na utapita sawa kabisa na aliye na gari nyingine Dar to South Africa utafika bila shaka
Ndiyo gari aise mwaka 3 sasa cc1290 kila nwaka naenda nayo moshi sijawi sikia huko kuchemsha tarehe 20 naenda nayo moshi.

Mwaka huu mwezi wa sita nimeenda Dodoma nometoka 11:00 asubihi nimefika saa 1:00 morogoro tumpata chai saa 2:00 tumeondoka morogoro nimeingia Dodoma saa 5 adubuhi

Kila siku nipo barabarani natembea km 90 kutoka nyumbani mpaka kazini sijawahi ona ikichemka.

Mimi nadhani gari ni matunzo tu kufanya service kwa wakati
 
Ndiyo gari aise mwaka 3 sasa cc1290 kila nwaka naenda nayo moshi sijawi sikia huko kuchemsha tarehe 20 naenda nayo moshi.

Mwaka huu mwezi wa sita nimeenda Dodoma nometoka 11:00 asubihi nimefika saa 1:00 morogoro tumpata chai saa 2:00 tumeondoka morogoro nimeingia Dodoma saa 5 adubuhi

Kila siku nipo barabarani natembea km 90 kutoka nyumbani mpaka kazini sijawahi ona ikichemka.

Mimi nadhani gari ni matunzo tu kufanya service kwa wakati
Consumptions yake vipi
 
Kati ya Suzuki Swift, Toyota Passo, Toyota Vitz/Yaris, Honda Fit na Toyota Starlet. Ni baby walker gani ipo imara zaidi, inaweza kwenda masafa zaidi (considering kuwa hizi zote ni town cars). Sijaweka Toyota IST coz nahisi ipo juu ya hizi zote.
Daihatsu terios kid 660cc. Hii gari ya kazi ipo juu na ina real deef
 
Mkuu, bora terios au cami kuliko Terios kid. Terios kid ni kadogo mno.
Watu saiz wanatafuta gari ambayo ni cost effective kuirun. Mtu unakuta una mshahara wa 1.5m unalazimisha gari ya 2400cc akati unakaa kwenye foleni 3 -4 hours kwa siku, and unatumia wese la 20000 kwa siku., usitegemee maendeleo kwako. Tena ningekuwa naishi dar mm ningenunua hii hapa. Hata kid kwangu running cost kubwa
images%20(1).jpg
 
Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?

Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Mi nilitokaga nacho toka boda ya KASUMULU kikaja kuchemkia ukiteremka mlima kitonga kuna sehem wanauza vitunguu na nyanya.ila tulifika salama ila so gari mzuri mkuu sikushauri ununue iko na shida nyingi sana.Tatizo kuu hizi gari ni sterling lake
 
Mi nilitokaga nacho toka boda ya KASUMULU kikaja kuchemkia ukiteremka mlima kitonga kuna sehem wanauza vitunguu na nyanya.ila tulifika salama ila so gari mzuri mkuu sikushauri ununue iko na shida nyingi sana.Tatizo kuu hizi gari ni sterling lake
Asante mkuu kwa ushauri. Bora ninunue BOXER kuliko Passo
 
Back
Top Bottom