Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
na ndio hasa zimebuniwa kwa town trips tu! Ukisafiri kaa kwenye 6 au v8 utainjoy safari!Labda ni maalum kwa uber
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na ndio hasa zimebuniwa kwa town trips tu! Ukisafiri kaa kwenye 6 au v8 utainjoy safari!Labda ni maalum kwa uber
Zote ni baby walker jamii moja. Labda useme Vitz Rs manual hapo kidogo unaweza sema unaendesha gariVitz na Passo bora nini?
mm nataka kujua shida yake ni ipi maana hii Gari(passo) niliinunua dar but mm naishi bukoba nilisafili nayo toka dar na nillala siku mbili njiaan yaan singida na kahama na haikuchemsha lakin nilivyo kaa nayo Kama wiki mbili ivi na service nilikuwa nimefanya lakin gafra taa ya oil ikawa inawaka wakati nimefanya service Kama wiki moja ilopita lakin mafundi wakanambia ni oil pump nikanunua oil pump used nikaweka but kuna siku nimepata safari gafra ya kusindikiza msiba nikapakiza wafiwa ili kuwapeleka kuzika yaan haikumaluza hata kilomita 70 taa ya oil ikawaka tena sasa sijui tatizo ni niniHiyo ina shida
Passo bodi yake kama foil ya kufungia nyama choma
Hapo ni Toyota Starlet ndo mashine balaa..Kati ya Suzuki Swift, Toyota Passo, Toyota Vitz/Yaris, Honda Fit na Toyota Starlet. Ni baby walker gani ipo imara zaidi, inaweza kwenda masafa zaidi (considering kuwa hizi zote ni town cars). Sijaweka Toyota IST coz nahisi ipo juu ya hizi zote.
kuna passo mbili cc 990 na cc1200[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huu uzi umeniumiza sana, haya tufanye biashara nina Passo namba D serious buyer aje Pm
Ww embu usifatilie watu jali commentWe jamaa unajuaga kila kitu kila jukwaa upo asee shikamooo
Sababu zako ni dhaifu mno. Bado hujashawishi kuwa Passo ni gari1: Unaamka alfajiri kuwahi daladala.Unapanda bodaboda.Unafika kituoni unazunguka na gari ili mradi upate kiti na umalizie usingizi.Kumbuka kuipata hiyo seat lazima uwe na ubavu.
2: Unatumia DKK 180 kwenye foleni. Ndani ya daladala
3: Mwingine unapanda bajaji( abiria watatu hamjuani) kila mmoja anamuogopa abiria mwenzake.
NINAAMINI KUWA NA PASSO NI BORA MARA 100 .FUEL CONSUMPTION NI NZURI. SERVICE YA KAWAIDA ( oil, oil filter na workman haifiki 100,000)
Oil( 3 lts tsh 40000/ filter 15000 ufundi 10000. .Next service km 3000.
Gari( motor vehicle) ni nini?Sababu zako ni dhaifu mno. Bado hujashawishi kuwa Passo ni gari
Mkuu ukifuatisha ya humu yatakuumiza kila siku.Huu uzi umeniumiza sana, haya tufanye biashara nina Passo namba D serious buyer aje Pm
Unaposema motor vehicle basi huwezi ku-ignore vitu kama comfort na safety features.Gari( motor vehicle) ni nini?