Siyo kwa tusi hili!passo ni toroli za kuzungusha wacheza gofu kwenye vile viwanja vyao. sasa huku tumekomalia gari za kusafiria
Wache walalame jana nmetoka na passo moro to tanga 300km kwa mafuta ya 35,000 tu.... yaan kitu yasoma 20km per ltr na ni 5 hours tu... waache wakomae na hayo magari yaoMIMI GARI YANGU NI VITZ CLAVIA YA 2003 CC1290 MAFUTA KUTOKA ARUSHA TO MWANZA NATEMBELEA LITA 30 TU YAANI KWA TSHS. 70000... NYINYI NGANGANIENI MAGARI MAKUBWA... WENZANGU WENYE RAV 4, HARRIER WANATUMIA MAFUTA YA ZAIDI YA TSHS. 200,000/=... TUKANENI MAGARI MADOGO ILA TUNAYOYATUMIA TUNAJUA FAIDA ZAKE...
Kuna MTU alienda Rwanda na passo.
Hiyo Gari yako inachemka kwasababu hujatoa thermostat
Passo haina comfort yoyote zaid ya kujibana kwenye mabati yaliyopigwa rangi mfano wa gariUnaposema motor vehicle basi huwezi ku-ignore vitu kama comfort na safety features.
Sasa sidhani kama ukiwa kwenye Passo unapata comfort yoyote ile, achilia mbali safety.
Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?
Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.[
Si uuze tuu mku uwe unatembea kwa mguu, kwanza kunafaida nyingi sana za kutembea kwa mguu
Unafikiri kila mtu yuko sawa na mwingine?Mpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?
Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Haaaaahaaaaa.....mkuu una dharau sana asee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Passo haina comfort yoyote zaid ya kujibana kwenye mabati yaliyopigwa rangi mfano wa gari
Haahaa.....[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
pole pole boss.....unaumiza roho za watu
[emoji3][emoji3][emoji3]ndo jf hiiJf raha sana wote huku wanamiliki SUVs ama Sedans tu ...mimi wa Passo namuonea wivu maana nipo na TZ eleven yangu