Hahah aisee ni hatari, na tuombe wasiadopt sheria ya co-emissions tu maana wengi watahamia kwenye pikipiki.Ushuru wa gari mpya sio wa mchezo mkuu,, ni zaidi ya bei ya gari mpya huko zinakotoka.
Magari tutaishia kuyaona kwenye TV tu.Hahah aisee ni hatari, na tuombe wasiadopt sheria ya co-emissions tu maana wengi watahamia kwenye pikipiki.
Kirikuu ni moja kati gari imara zilizotengenezwa na Suzuki. Bahati mbaya wengi wanaozitumia ni wehu, lakini kikipata mtu mwenye akili timamu na uwezo wa kukipa service when due, utakaa nacho muda mrefu. Bahati mbaya nyingi zilizopo mjini zimetembea zaidi 150k-kmsIle ni jamii ya kirikuu
Suzuki wanaweza sana kuzitoa gari economical and durable toka enzi za samurai na maruti.Kirikuu ni moja kati gari imara lililotengenezwa na Suzuki. Bahati mbaya wengi wanaozitumia ni wehu, lakini kikipata mtu mwenye akili timamu na uwezo wa kukipa service when due, utakaa nacho muda mrefu. Bahati mbaya nyingi zilizopo mjini zimetembea zaidi 150k-kms
Nadhani mkiongelea pikipiki huna maana ya takataka za China na India. you mean Suzuki, Yamaha, Honda, Ducati, KTM , BMW, Harley Davidson.Pikipiki nayo haitakamatiki, tutaishia kulalamika mitandaoni kama bundle zitakuwa haziwekewa kodi " surfing tax"
Bajaji io, nlikua nayo ckuwa na jinsi nkamwachia my mom kwa ajili ya misele ya apa n pale... kitu SPACIO bhnaaa kokote naenda mrad mkeka uwepo tu.... Co korogisheniMpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?
Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Hahaaahaaaa.... Standard gauge!!Huyu jamaa kama ni dharau hizi za kiwango cha lami
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]passo sio gari, ni chombo chenye matairi manne!
Hv gari ili liwe halifai kuendeshwa tena linabidi litembee km ngapi? hata kama unalifanyia services kila km ulizoandikiwa zinapofika? Msaada tafadhariHizi habari mnatoa wapi? Sasa hivi nina gari lina km 234,000. Hili ukiliona na kuendesha hutajua kama limetembea km234k. Lingine limepaki lina miles 160,000 ambazo ni km 250,000+.
Ninayo zaidi ya 3 mitatu sasa naenda Iringa Dodoma bila presha na iko fit yako ni Bajaj sio bassoMpaka kufikia hatua ya kumiliki gari aina ya PASSO inapaswa ujitoe ufahamu mbele ya kadamnasi. Gari gani isiyoweza kutembea 200 kms bila kuchemsha?
Nasubiria tamko/katazo la hizi gari toka ngazi za juu.
Not to that extent. Watch it.You get the money and you don't bring to the site...
Not to that extent. Watch it.
HahahahahahahaaaaaaaaIle ni jamii ya kirikuu
Hapo ndipo ulipoungua mpini likabaki Shoka.View attachment 497501
Kitu hicho juu ambacho alinunua babu mpaka mjukuu anatumia, PASSO kama ingekuwa corolla xe ambazo zilitoka 1995 sidhani kama zingekuwa zinaonekana barabarani kama zinavyoonekana Toyota corolla.
All in all gari ni utunzaji wako tu na kuendesha kwa tahadhari maana barabara siku hizi ni lami na gari ikitembea umbali mrefu engine haipati moto kivile kama misele ya town kikubwa ni kutoipigiza tu kama kuna vikorongo vidogovidogo