Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ukiweza jipinde uingie shop.. Kwa bei ya 3k unapata mpya mzuri tuu.. Hizo used ni kamariHello wakuu,
Inahitajika TV ya kununua bei ndogo inavyowezekana, kuanzia inch 32 na kuendelea, used or mpya bajeti ni 200,000 hadi 300,000/=
Location: Dar es salaam
ikipatikana hadi kufikia kesho ntashukuru sana.👏