Inahitajika TV ya kununua kwa bei ya jioni

Inahitajika TV ya kununua kwa bei ya jioni

Hello wakuu,

Inahitajika TV ya kununua bei ndogo inavyowezekana, kuanzia inch 32 na kuendelea, used or mpya bajeti ni 200,000 hadi 300,000/=

Location: Dar es salaam

ikipatikana hadi kufikia kesho ntashukuru sana.👏
Ukiweza jipinde uingie shop.. Kwa bei ya 3k unapata mpya mzuri tuu.. Hizo used ni kamari
 
Habari, Mimi nina hii Bufa nauza. Ni mpya. Tangu niitoe dukani Ina wiki mbili tu. Ipo na Kila kitu chake. Bei ni 90,000 kwakuwa Nina shida. Ahsante. Simu 0676558714
 

Attachments

  • IMG_20240923_160515_870.jpg
    IMG_20240923_160515_870.jpg
    751.7 KB · Views: 5
  • IMG_20240923_160127_074.jpg
    IMG_20240923_160127_074.jpg
    363.9 KB · Views: 5
  • IMG_20240923_160224_127.jpg
    IMG_20240923_160224_127.jpg
    553.7 KB · Views: 5
  • IMG_20240923_160023_284.jpg
    IMG_20240923_160023_284.jpg
    496 KB · Views: 3
  • IMG_20240923_160640_867.jpg
    IMG_20240923_160640_867.jpg
    398.2 KB · Views: 4
Habari, Mimi nina hii Bufa nauza. Ni mpya. Tangu niitoe dukani Ina wiki mbili tu. Ipo na Kila kitu chake. Bei ni 90,000 kwakuwa Nina shida. Ahsante. Simu 0676558714
Kuna 50k mfuko wa shati
 
Mkuu hizo mbona nfio bei zake, haina haja ya kuomba hapa, ingia duka lolote, tv za kichina ni 200k, mpaka 230k humo humo unabeba mzigo.
 
Hello wakuu,

Inahitajika TV ya kununua bei ndogo inavyowezekana, kuanzia inch 32 na kuendelea, used or mpya bajeti ni 200,000 hadi 300,000/=

Location: Dar es salaam

ikipatikana hadi kufikia kesho ntashukuru sana.👏
Asante kwa kushea fursa...Wauza TViiiiiiiiiiiii...mkujeeeeeeee


Kwa rank hiyo ya Pesa chukua mpya kabisa ya Size ulotaka
 
Back
Top Bottom