Inahuzunisha sana kinachoendelea Manchester united

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka wanajamvi!

Hadi Sasa hivi navyoandika huu uzi Mani ishachapwa 4-0 na vibonde Brentford na ni dakika ya 87, Tatizo Nini? Inasikitisha Sana na wachezaji wao wanalipwa mishahara mikubwa Sana.

Poleni Sana mashabiki wa Mani.

Inasikitisha Sana!
 
Man U kufungwa wanataka wenyewe,

Siku zote ni tetesi Tu, hawanunuwi wachezaji wa maana.

Wenzao Man city na Liverpool wapo vizuri lakini still wanasajili.

Timu ya hovyo kabisa.
 
Nahisi Wana walaana Kuna mahali wanakosea tuchukulie tangu aondoke mzee Ferguson ... Nadhani hawa jamaa Kuna tatizo sio bure yaani sio kwa kufungwa huko.
 
Siku zote Man u na Yanga zikicheza Siku moja lazima mmoja atanitia huzuni.
 
Mzuka wanajamvi!

Hadi Sasa hivi navyoandika huu Uzi Mani ishachlapwa 4-0 na vibonde Brentford na ni dakika ya 87 Tatizo Nini? Inasikitisha Sana na wachezaji wao wanalipwa mishahara mikubwa Sana.

Poleni Sana mashariki wa Mani.

Inasikitisha Sana!
Siku mkikutana na Man City mvua ya magoli itahusika hapo😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…