Horoya fan
Member
- Mar 13, 2023
- 79
- 253
Kwa mwendo huu nawaona pia wakuchukua afrika super cupNi Mabingwa watarajiwa wa Kombe la Shirikisho mwaka huu.
Kipofu kaona mwezi toka 1998 alikuwa anatembea na mwiko tu nyumaBingwa wa kombe la robo final hana mpinzani mnyama
Semea yanga ndio mwenye uthubutu wa kufika iyo fainali, lakini unapowaweka na simba utakuwa unawaonea, Angalia kwanza vikosi vya timu zote mbili, aina ya wachezaji walionao, angalia benchi la ufundi la timu zote mbili, na kisha angalia mpira unaochezwa na timu zote mbili utapata jibu ni timu gani inayoweza kwenda mbele zaidiTunaomna Simba na Yanga zifike fainal
Mbna hao wachezaji walishindwa kuwabakisha CL na Al Hilal aka wafurushaaaaa, CL sio makalio kwamba kila team inashiriki.Semea yanga ndio mwenye uthubutu wa kufika iyo fainali, lakini unapowaweka na simba utakuwa unawaonea, Angalia kwanza vikosi vya timu zote mbili, aina ya wachezaji walionao, angalia benchi la ufundi la timu zote mbili, na kisha angalia mpira unaochezwa na timu zote mbili utapata jibu ni timu gani inayoweza kwenda mbele zaidi
Al hilal sio wachovu kama horoya kenge wewMbna hao wachezaji walishindwa kuwabakisha CL na Al Hilal aka wafurushaaaaa, CL sio makalio kwamba kila team inashiriki.
Super cup ya kinyerezi au?Kwa mwendo huu nawaona pia wakuchukua afrika super cup
Ndoo si muende jela ziko zenye kinyesi kabisaTunataka ndoo
AahahhaaBingwa wa kombe la robo final hana mpinzani mnyama
Huko CL una kombe lolote!?Mbna hao wachezaji walishindwa kuwabakisha CL na Al Hilal aka wafurushaaaaa, CL sio makalio kwamba kila team inashiriki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]