Inakata sana kuona watu wanapata wapenzi commited sisi wengine tunahaso

Inakata sana kuona watu wanapata wapenzi commited sisi wengine tunahaso

Inakata sana ukiona wengine wana make move kwenye mahusiano wewe uelewi Mshkaji wangu Mama Amina mara ya tatu hii katika nystatin tofauti namuomba Details za wanawake tofauti nipate mmoja wakuwa committed nae majibu ni "Mke wa mtu" "Mke wa fulani" "Kaolewa"

Wenzetu wanapata wapi wanawake waliokuwa committed kwao sisi wengine tuhaso hadi Leo. Nikiangalia niliyekuwnae ambae nimemchagua kwa utulivu wake hayuko committed kabisa na mimi, hajari, wala haoni haja ya kunipa priority zaidi ya ku-experience upuuzi tu kwake.

At some point sipendi kufanya uzinzi nipate mmoja nioe wakuoa inalizimika kuendelea na uzinzi tu at that point ambapo sio plan yako....unayemueleza tufanye dini inavyotaka anakuwa kama kiziwi.
Wewe ni simp.
Sasa kama hayupo committed, unakaa naye wa nini?
Piga chini, use your brain and not your emotions.
 
Inakata sana ukiona wengine wana make move kwenye mahusiano wewe uelewi Mshkaji wangu Mama Amina mara ya tatu hii katika nystatin tofauti namuomba Details za wanawake tofauti nipate mmoja wakuwa committed nae majibu ni "Mke wa mtu" "Mke wa fulani" "Kaolewa"

Wenzetu wanapata wapi wanawake waliokuwa committed kwao sisi wengine tuhaso hadi Leo. Nikiangalia niliyekuwnae ambae nimemchagua kwa utulivu wake hayuko committed kabisa na mimi, hajari, wala haoni haja ya kunipa priority zaidi ya ku-experience upuuzi tu kwake.

At some point sipendi kufanya uzinzi nipate mmoja nioe wakuoa inalizimika kuendelea na uzinzi tu at that point ambapo sio plan yako....unayemueleza tufanye dini inavyotaka anakuwa kama kiziwi.
Una characteristics zote za Nice Guys, huyo mrembo wako ana Alpha male ambaye anamsumbua sna
 
Haya mafomula wenzio wanatengenezea Content tu mtandaoni ukiya apply bongo utakufa single mzee
Bro ni maisha halisi. Redpill message ukiishi nayo kwanza utaepukana na manipulations toka kwa wanawake na pili utapata mwanamke sahihi ambaye asilimia kubwa ni mwanamke bikra aliyelelewa na baba kama kichwa cha familia.

Mwanamke ambaye hayuko committed hakupendi, sasa unakaa naye wa nini?Use logic man.
 
Bro ni maisha halisi. Redpill message ukiishi nayo kwanza utaepukana na manipulations toka kwa wanawake na pili utapata mwanamke sahihi ambaye asilimia kubwa ni mwanamke bikra aliyelelewa na baba kama kichwa cha familia.

Mwanamke ambaye hayuko committed hakupendi, sasa unakaa naye wa nini?Use logic man.
Hizi principle ni nzuri ila kiuharisia kuwa applicable kwa ground ni tofauti kabisa wengi wanaandika kama Content tu.

Mahusiano yapo very Disruptive
 
We unasotaje kupata mdada wa kumuoa na wakati huku mtaani tunawakwepa?

Jichanganye na watu kua positive Kwa wadada acha kusikiliza mastory ya watu sijui alikua Malaya, kadate na flan na mengine mengi
Totoo naona unamdanganya mwenzio!
 
Mkuu kwanin mke tusimtafute
Na maisha tukakutanishwa nayo?
1.Kama una mwamini Mungu, jua kwamba mke hatafutwi, mnakutanishwa tu. Acha kuwekeza nguvu kwenye kutafuta, wekeza kwenye kufanya maisha, utakae kutana nae kwenye safari yako ndo atakufaa zaidi.

2.Mahusiano ya watu ni fumbo kubwa, Binafsi najua mke wangu anamezewa mate sana hapa mtaani, na mahusiano yetu yanachukuliwa kama mfano🤣🤣 Lakini humo ndani kuna muda unatamani hata wasiojulikana wampoteze. Japo muda mwingine pia mahaba kama yote.

Mwisho. Kumwelewa na kukubaliana na mwenzako + mapungufu yake, mtaishi.

Mk
 
Ww siku hizi bila kunizingua siku yako haijaisha kabisaaa… 😂😂
Huyo nilyenunua ugomvi ndio mimi sasa, huyo aliyeanzisha shost yangu Kapeace 🤣🤣🤣
Hapo anaiomba kijanja ili uwe unamquote anakusoma ndo kashakupenda hivyo mtoto wa mamkwe, ila asikuharibie usichana wako mdogo wangu😅😅😅
 
Inakata sana ukiona wengine wana make move kwenye mahusiano wewe uelewi Mshkaji wangu Mama Amina mara ya tatu hii katika nystatin tofauti namuomba Details za wanawake tofauti nipate mmoja wakuwa committed nae majibu ni "Mke wa mtu" "Mke wa fulani" "Kaolewa"

Wenzetu wanapata wapi wanawake waliokuwa committed kwao sisi wengine tuhaso hadi Leo. Nikiangalia niliyekuwnae ambae nimemchagua kwa utulivu wake hayuko committed kabisa na mimi, hajari, wala haoni haja ya kunipa priority zaidi ya ku-experience upuuzi tu kwake.

At some point sipendi kufanya uzinzi nipate mmoja nioe wakuoa inalizimika kuendelea na uzinzi tu at that point ambapo sio plan yako....unayemueleza tufanye dini inavyotaka anakuwa kama kiziwi.
Ni lazima upitie magumu kumpata mtu sahihi
 
Back
Top Bottom