Inakata sana kuona watu wanapata wapenzi commited sisi wengine tunahaso

Inakata sana kuona watu wanapata wapenzi commited sisi wengine tunahaso

Hizi principle ni nzuri ila kiuharisia kuwa applicable kwa ground ni tofauti kabisa wengi wanaandika kama Content tu.

Mahusiano yapo very Disruptive
Acha visingizio vya ki-simp, fanyia kazi unachoambiwa.
 
Hapo anaiomba kijanja ili uwe unamquote anakusoma ndo kashakupenda hivyo mtoto wa mamkwe, ila asikuharibie usichana wako mdogo wangu😅😅😅
🤣🤣🤣 Lijanja kweli, reply zake zingine sisomagi nalipotezea..
Ataniharibia usichana wangu huyu fisi
 
Kupata mtu wa kumuoa/ kuolewa nae imekuwa changamoto sana kwa nyakati hizi!🤔
 
Inakata sana ukiona wengine wana make move kwenye mahusiano wewe uelewi Mshkaji wangu Mama Amina mara ya tatu hii katika nystatin tofauti namuomba Details za wanawake tofauti nipate mmoja wakuwa committed nae majibu ni "Mke wa mtu" "Mke wa fulani" "Kaolewa"

Wenzetu wanapata wapi wanawake waliokuwa committed kwao sisi wengine tuhaso hadi Leo. Nikiangalia niliyekuwnae ambae nimemchagua kwa utulivu wake hayuko committed kabisa na mimi, hajari, wala haoni haja ya kunipa priority zaidi ya ku-experience upuuzi tu kwake.

At some point sipendi kufanya uzinzi nipate mmoja nioe wakuoa inalizimika kuendelea na uzinzi tu at that point ambapo sio plan yako....unayemueleza tufanye dini inavyotaka anakuwa kama kiziwi.
Mungu pekee ndiye anayeweza kukupa mke, huyo mshikaji wako hataweza..... keep praying.
 
Aaaah watoto wa hivyo hatuwataki. Hatukukulea hivyo, huu mvurugo nani kakuvuruga!!
Wiki nzima naskiliza nyimbo tatu tu

Harmonize ft Darasa wimbo
Wimbo; Mazoea

Harmonize
wimbo; You better go

Harmonize
Wimbo; Ujana

Mapenzi yasiponiua 😂bas ntafia shambani niwe Mkulima ikishindikana tafia Congo mission
 
pAmbana mkuu wapo kua mvumilivu punguza vigezo
 
Back
Top Bottom