Inakata sana kuona watu wanapata wapenzi commited sisi wengine tunahaso

Wewe ni simp.
Sasa kama hayupo committed, unakaa naye wa nini?
Piga chini, use your brain and not your emotions.
 
Una characteristics zote za Nice Guys, huyo mrembo wako ana Alpha male ambaye anamsumbua sna
 
Haya mafomula wenzio wanatengenezea Content tu mtandaoni ukiya apply bongo utakufa single mzee
Bro ni maisha halisi. Redpill message ukiishi nayo kwanza utaepukana na manipulations toka kwa wanawake na pili utapata mwanamke sahihi ambaye asilimia kubwa ni mwanamke bikra aliyelelewa na baba kama kichwa cha familia.

Mwanamke ambaye hayuko committed hakupendi, sasa unakaa naye wa nini?Use logic man.
 
Hizi principle ni nzuri ila kiuharisia kuwa applicable kwa ground ni tofauti kabisa wengi wanaandika kama Content tu.

Mahusiano yapo very Disruptive
 
Hizi principle ni nzuri ila kiuharisia kuwa applicable kwa ground ni tofauti kabisa wengi wanaandika kama Content tu.

Mahusiano yapo very Disruptive
Ni kweli ila ukisimama authentically, hautayumbishwa.
 
We unasotaje kupata mdada wa kumuoa na wakati huku mtaani tunawakwepa?

Jichanganye na watu kua positive Kwa wadada acha kusikiliza mastory ya watu sijui alikua Malaya, kadate na flan na mengine mengi
Totoo naona unamdanganya mwenzio!
 
Mkuu kwanin mke tusimtafute
Na maisha tukakutanishwa nayo?

Mk
 
Ww siku hizi bila kunizingua siku yako haijaisha kabisaaa… 😂😂
Huyo nilyenunua ugomvi ndio mimi sasa, huyo aliyeanzisha shost yangu Kapeace 🤣🤣🤣
Hapo anaiomba kijanja ili uwe unamquote anakusoma ndo kashakupenda hivyo mtoto wa mamkwe, ila asikuharibie usichana wako mdogo wangu😅😅😅
 
Ni lazima upitie magumu kumpata mtu sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…