Inakera Kumsubiria kwa hamu na muda mrefu Demu halafu akitokea unamkuta ni mbaya ( wa Kawaida ) mno

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
adriz na Bila bila Elimu yetu ile Kubwa ya kule Peru na Costa Rica imetusaidia sana kuwaza mbali zaidi ambako Wengine hawawezi.

Simpigii tena Promo Demu ambaye hata bado sijamuona nikihisi labda ni mzuri na atanifikisha Kileleni na Begi langu baada ya kumuona huyu Demu wa Jana ni wa Kawaida ( Mbaya ) mno hata kufikia Kuziciwa na Demu wa Rafiki yangu na Mpinzani wa pale Jangwani Mataa kama vile unaelekea Mtaa wa Twiga.
 
Ndo shida ya kutongoza mademu wa Simba waliochoka kama jezi zenu mpya,
 
Umeyakanyaga ankal siku nyingine uwe unapiga video call mtabeba vigagula [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndio shida ya vitu vya online [emoji23][emoji23]
 
Naona mwenzangu ulibaki na matumaini. U asubiri demu uliyempata mtandaoni halafu akija Bora Mwajuma Ndalandefu wa Bonyokwa? Mimi hata demu nikiwa naye halafu tukapotezana, siku ya kupasha kiporo siwezi kujipa matumaini ya performance yake mpaka baada ya mechi. Tuliosoma pamoja pale Puerto Rico University of Intelligence tunaelewana.
 
Kama mwenyewe umekubali kuwa ni mbovu nani apinge sasa?
 
muachege kutongoza mademu online...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…