Inakera kuona msanii mmoja tu ndo anapaparukiwa na makampuni

Status
Not open for further replies.
Sijamsimanga mtu yoyote......ndiyo maana ya mada ni kujadiliwa...........ila nyie mnafanya ushabiki......mie sina team hata moja.
Ushabiki vp wakati wanaotoa hizo issue za brand ambassador sio sisi?! Yaani unataka kusema makampuni makubwa kama Vodacom, Airtel, Coca-Cola n.k wote hao wako poor in business strategies? Hivi ulisikia wapi kampuni ya kibiashara inaendeleza kipaji cha mtu ili imtumie kwenye matangazo? Why should you incur unnecessary costs arising outside your line of business?
 

Fungua nyuma ya pazia uone mijicho ipi inachungulia. Yawezekana yeye anapata only 10 percent. Muulize baba Riz kama anafahamu kinachoendelea hapo maana mhu ndo alimweka barabarani na njiani na vichochoroni na mapipani na mipakani na mh nimesahau mengine. naota tu sasa hivi usiku nimelala ila addiction ya JF naandika nimelala. Nisamehe kama nimeandika ugoro ila naota tu.
 
Dai ni nyoko! Utakavyojua Chibu ni nyoko mwangalie anavyotangaza kazi zake... hakuna hata anayemkaribia jinsi alivyo aggressive... kwa mbali sana anamfuatia Nay wa Mitego ambae nae anatumia technique za Diamond!

Chibu nimeona caption ya tangazo la Tomato Sauce! Yaani ilivyosifiwa hiyo tomato hadi mtu unajiuliza tomato sauce hii ni hii tunayolia viepe hadi Uswahilini au ni special!
 
E bhana, tuache masihara! Hivi lile tangazo ni la kitambo; au? Binafsi nimelisikia leo... yaani zile flavor sikuamini!
Tamu sana lkn pale ile melody mwishoni ajatunga yy maana lile la kingereza melody yke inafanana na la diamond kwaio kateleza tu" ila kaipatia sanaaaaa
 
Tamu sana lkn pale ile melody mwishoni ajatunga yy maana lile la kingereza melody yke inafanana na la diamond kwaio kateleza tu" ila kaipatia sanaaaaa
There you're... nakumbuka kuisikia hiyo English version... na wakati leo nasikia ya Swahili; nikawa kama sielewi elewi hivi! Anyway, thanks kwa kunikumbusha!
 
Teh teh! Kwa staili hii ukiendelea kuwa masikini usishangae wala usijiulize maswali.

Btn ni diamond pekee ndiye amezaliwa na mama muha? (Jibu if and only if umeelewa swali)
 
na huu ndio ukweli(kwa sauti ya kikwete)
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…