Inakera kuona msanii mmoja tu ndo anapaparukiwa na makampuni

Inakera kuona msanii mmoja tu ndo anapaparukiwa na makampuni

Status
Not open for further replies.
Wewe naona wala huelewi. I just told you, Vodacom and the other companies have no business kumnyanyua msanii mwingine. It is not their job, unaelewa? They want to do business with msanii ambaye yuko kibusiness na ana hadhi ya kubeba brand yao. Hao wengine it is up to them to work hard and get to that level. Sawa? Kama hujaelewa hapa basi pita kimya usinijibu.
Dada una point hadi raha.
 
Usisahau kuwa domo anatumia adi hera ili kubania wasanii wenzake ukiwa nje ya kitu huwez jua yaliyomo ndani rejea post ya kiba ya kipindi kile ndo utagundua nn kinaendelea....watu wanadiriki kutoa adi pesa ili wenzao wasitoboe
Usisahau na anatumia pesa ili wengine watoboe...HARMONIZE,RAYMOND,BABY TIFFAH na WCB CREW.
 
1. Vp mmechoka kuzomea ??? ( mlidhani atafanikiwa kwa kumzomea DIAMOND mkasahau bila ya juhudi zake ni kazi bure)
2.Vp utatu mtakatifu hausaidii kitu ( joketi,wema,kiba. kila akipanda jukwaani lazima awaonyeshe au kama kuna onyesho atasema na wema na joketi watakuwepo ) ???
3.Vp sauti haimuwezeshi kupata dili ???
4.vp uKING ameshindwa kuutumia ???

Ila pole yake mnamuita star aliyezidiwa hata na VANESSA MDEE na Idriss kwa kuwa verified kwenye account zao za insta.

Pole yake kwa kuwa na mashabiki wanafki wasiomuwezesha kwa lolote zaidi ya kuwa wajuzi wa matusi.
 
endelea kurusha vidole juu.. wasalim na vijana wenzako wanaopigwa bunduki kwenye makalio coz wameegemea sana huo mziki maa nina
tehetehe teheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
IMG-20160112-WA0010.jpg
 
1. Vp mmechoka kuzomea ??? ( mlidhani atafanikiwa kwa kumzomea DIAMOND mkasahau bila ya juhudi zake ni kazi bure)
2.Vp utatu mtakatifu hausaidii kitu ( joketi,wema,kiba. kila akipanda jukwaani lazima awaonyeshe au kama kuna onyesho atasema na wema na joketi watakuwepo ) ???
3.Vp sauti haimuwezeshi kupata dili ???
4.vp uKING ameshindwa kuutumia ???

Ila pole yake mnamuita star aliyezidiwa hata na VANESSA MDEE na Idriss kwa kuwa verified kwenye account zao za insta.

Pole yake kwa kuwa na mashabiki wanafki wasiomuwezesha kwa lolote zaidi ya kuwa wajuzi wa matusi.
Kama hujui unazomewa kweli
 
Sasa waje kwako nani anakuja? Watu wapo kibiashara bana! Super star hata ulama ni hivo tu, U nataka ally kiba? A subiri sanaaaaa........
 
Aaaah Huyu diamond kwa kuimba tuuu Yaani Sahizi tangazo la Coca Cola alivyo imba nimependa Kuliko hata La vodacom daaa Jamaa huyu bhna
 
Imenifika hapa....

Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador. Hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni Diamond tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake.

Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi hata huyo Diamond, kwa mfano King Kiba ndio msanii mwenye fan base kubwa hapa bongo. Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
Ndo hivyo tena hakuna namna
 
Imenifika hapa....

Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador. Hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni Diamond tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake.

Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi hata huyo Diamond, kwa mfano King Kiba ndio msanii mwenye fan base kubwa hapa bongo. Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
Haya bwana team Kiba!
 
Diamond kapiga 1.2 bilion tangazo la coka ,La voda kapiga 1 bil,jamaa anakojolea mbali aisee,okay sjui kama kalipia kodi hizo fedha.Kiba aendelee kufundisha madrasa
 
Mwache apewe ukiona hivyo hao wengine hawajaonekana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom