Inakera kuona msanii mmoja tu ndo anapaparukiwa na makampuni

Status
Not open for further replies.
Dada una point hadi raha.
 
Usisahau kuwa domo anatumia adi hera ili kubania wasanii wenzake ukiwa nje ya kitu huwez jua yaliyomo ndani rejea post ya kiba ya kipindi kile ndo utagundua nn kinaendelea....watu wanadiriki kutoa adi pesa ili wenzao wasitoboe
Usisahau na anatumia pesa ili wengine watoboe...HARMONIZE,RAYMOND,BABY TIFFAH na WCB CREW.
 
1. Vp mmechoka kuzomea ??? ( mlidhani atafanikiwa kwa kumzomea DIAMOND mkasahau bila ya juhudi zake ni kazi bure)
2.Vp utatu mtakatifu hausaidii kitu ( joketi,wema,kiba. kila akipanda jukwaani lazima awaonyeshe au kama kuna onyesho atasema na wema na joketi watakuwepo ) ???
3.Vp sauti haimuwezeshi kupata dili ???
4.vp uKING ameshindwa kuutumia ???

Ila pole yake mnamuita star aliyezidiwa hata na VANESSA MDEE na Idriss kwa kuwa verified kwenye account zao za insta.

Pole yake kwa kuwa na mashabiki wanafki wasiomuwezesha kwa lolote zaidi ya kuwa wajuzi wa matusi.
 
Kama hujui unazomewa kweli
 
Sasa waje kwako nani anakuja? Watu wapo kibiashara bana! Super star hata ulama ni hivo tu, U nataka ally kiba? A subiri sanaaaaa........
 
Aaaah Huyu diamond kwa kuimba tuuu Yaani Sahizi tangazo la Coca Cola alivyo imba nimependa Kuliko hata La vodacom daaa Jamaa huyu bhna
 
Ndo hivyo tena hakuna namna
 
Haya bwana team Kiba!
 
Diamond kapiga 1.2 bilion tangazo la coka ,La voda kapiga 1 bil,jamaa anakojolea mbali aisee,okay sjui kama kalipia kodi hizo fedha.Kiba aendelee kufundisha madrasa
 
Mwache apewe ukiona hivyo hao wengine hawajaonekana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…