My dear kuna watu wanasaidiwa kufika mahali gulani na wengine wanajisaidia wenyewe kufika mahali fulani.. . .. ..na ukumbuke muda mwingine unamsaidia mtu na kumjenga...... Na hata hapo diamond alipofika si kwa juhudi zake peke..... Inawezrkana kuna wengi wamemsaidia kwa namna moja au nyingine.Sister uwezo alionao diamond kajengewa na nani???
Au vodacom wamemjengea?
Isho_boy bhana, huyo Kiba mwenyewe hata kuandika caption anajionea taabu ndo mtu ampe u- brand ambassador!!...kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi hata huyo Diamond, kwa mfano King Kiba ndio msanii mwenye fan base kubwa hapa bongo. Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
Na hapo kwenye malipo wengi wanashindwa coz' jamaa huwa anakaza sana!Hivi kuna coy itaacha kumtumia diamond???? Labda ishindwe malipo tu...!
Diamond ni mchapakazi sana, ni mtafutaji hachoki na huo uwezo kajijengea..... Ni kweli kuna watu waliomfikisha hapo ila juhudi binafsi zinachangiaMy dear kuna watu wanasaidiwa kufika mahali gulani na wengine wanajisaidia wenyewe kufika mahali fulani.. . .. ..na ukumbuke muda mwingine unamsaidia mtu na kumjenga...... Na hata hapo diamond alipofika si kwa juhudi zake peke..... Inawezrkana kuna wengi wamemsaidia kwa namna moja au nyingine.
Tuache hizo lazma ufike mahali fulani tuwe multipurpose.
Sister, yaani unatarajia kampuni za kibiashara zifanye favor za kumwinua mtu? Wao shida yao ni mtu ambae tayari yeye mwenyewe ni brand na kama Tanzania hakuna mtu mwenye hizo sifa watatumia hata celebrities wa nje!School is just an example and mind you also school is a business.
Tuache ushabiki tuangalie na kuwainua wengine.... Sasa diamond akimwa na asiweze kufanya matangazo tena ndo watawachukua hao wengine? Lazma uwajengee uwezo na hao wengine ili siku moja upate alternative incase anything happen.
Ndiyo maana hatufanikiwi mana hatutaki kuwa source ya mafanikio ya fulani. Mpe mtu nafasi...mjenge afu useme hana uwezo. Wenzetu wanaendelea sababu wanakuza watu.......sidhani kama kuna wasanii hawana juhudi binafsi....kama AY .......tukubali tukatae sisi bado sana.....tukimng'ang'ania mmoja ni huyohuyo... Wakati ukute kuna watu wengine wanaweza kufanya kama yule ama zaidi ya yule. .......Diamond ni mchapakazi sana, ni mtafutaji hachoki na huo uwezo kajijengea..... Ni kweli kuna watu waliomfikisha hapo ila juhudi binafsi zinachangia
Lakini huwezi sema hayo makampuni ndo yamemuandaa kuwa hivo alivo yamempa kazi baada ya kuwa hapo alipo, hivi hivo kiba afight makampuni yamuone
Hata me naipenda my dia"nampigiaga na zari mama latifa kipenzi changu...."
Hii sehemu huwa inanikosha sana utadhani nimeimbiwa mie
Kwahiyo celebrate ni diamond tu? AY na wengineo sio?Sister, yaani unatarajia kampuni za kibiashara zifanye favor za kumwinua mtu? Wao shida yao ni mtu ambae tayari yeye mwenyewe ni brand na kama Tanzania hakuna mtu mwenye hizo sifa watatumia hata celebrities wa nje!
Lynne, sio kwamba ni anti-social fulani bali ni totally anti-social!Ujue kiba ana uanti-social flani hivi waajab ndo maana makampuni hayamkumbuki sababu hata wakimpa deal uwezo wa kufanya hio promo iwe kubwa kama ile promo ya voda ya diamond ni mdogo.
Akijifunza kuchangamka atapata hizo deal lasivo ataendelea kulinda tembo [emoji13]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] bila kusahau interviews zake zinaboa.Lynne, sio kwamba ni anti-social fulani bali ni totally anti-social!
Instagram haja - follow mtu hata mmoja. Majority ya posts zake haandiki hata caption. Hizo sababu mbili peke yake zinatoa reflection kwamba the guy is anti-social. Zile caption zina - reflect uwezo wa mtu ku- interact na followers! No caption means you don't communicate! Sasa ni vp umpe u-brand ambassador mtu ambae ha-communicate!!
Mama vodacom wanahitaji pesa kuinua mtu sio kazi yao, hata akiwa sio diamond, siku bambo akiwa star mwenye level zake vodacom wanaweza kumtumia ila kamwe hawawezi kuanza kumuandaa bambo leo awe brand ndo aitangaze voda UNACHOKIWAZA HAKIWEZEKANI MPENZINdiyo maana hatufanikiwi mana hatutaki kuwa source ya mafanikio ya fulani. Mpe mtu nafasi...mjenge afu useme hana uwezo. Wenzetu wanaendelea sababu wanakuza watu.......sidhani kama kuna wasanii hawana juhudi binafsi....kama AY .......tukubali tukatae sisi bado sana.....tukimng'ang'ania mmoja ni huyohuyo... Wakati ukute kuna watu wengine wanaweza kufanya kama yule ama zaidi ya yule. .......
Hadi hapa team kiba wanaweza jua kwanini kiba abaki porini kutulindia wanyama wetu dhidi ya majangiliLynne, sio kwamba ni anti-social fulani bali ni totally anti-social!
Instagram haja - follow mtu hata mmoja. Majority ya posts zake haandiki hata caption. Hizo sababu mbili peke yake zinatoa reflection kwamba the guy is anti-social. Zile caption zina - reflect uwezo wa mtu ku- interact na followers! No caption means you don't communicate! Sasa ni vp umpe u-brand ambassador mtu ambae ha-communicate!!
Unaonaje ukianzisha kampuni yako ukachukua hao top 3...usilazimishe kisichowezekana kwenye biashara nani alikuambia kuna top 3...? Biashara inaangalia nani atakupa faida kubwa zaidi kushinda wote na makampuni yamemwona diamondBasi tunashida sana....kama tunamtegemea mtu mmoja kwenye kutangaza biashara. Sasa hawa wengine utawanyanyuaje? Bora wangeangaliwa top 3 ya wasanii wenye mashabiki wengi.
Hakuna kitu kama hicho kwenye biashara. Labda niseme hivi. Kinachowavutia kwa Diamond sio mituzo mingi aliyonayo bali alivyoji-brand mwenyewe as real super star! But look... pamoja na u-superstar wake huo bado ni mtu anaye - interact sana, tena sana na fans wake kwenye social media. Hayo mambo mawili ndiyo wanayataka kampuni ktk kutangaza bidhaa zao. Na hayo mambo huitaji Vodacom au Coca-Cola kuku-empower bali ni msanii mwenye! Btw, sio jukumu lao!Ndiyo maana hatufanikiwi mana hatutaki kuwa source ya mafanikio ya fulani. Mpe mtu nafasi...mjenge afu useme hana uwezo. Wenzetu wanaendelea sababu wanakuza watu.......sidhani kama kuna wasanii hawana juhudi binafsi...
Imenifika hapa....
Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador. Hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni Diamond tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake.
Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi hata huyo Diamond, kwa mfano King Kiba ndio msanii mwenye fan base kubwa hapa bongo. Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
Inawezekana sana kama mkishirikisha akili zenu kwa ufasaha.......tatizo ubongo ume stuck kwa jina moja tu diamond........ .Unaonaje ukianzisha kampuni yako ukachukua hao top 3...usilazimishe kisichowezekana kwenye biashara nani alikuambia kuna top 3...? Biashara inaangalia nani atakupa faida kubwa zaidi kushinda wote na makampuni yamemwona diamond
Makampuni hayana kazi ya kumnyanyua mtu...makampuni yana angalia nani atatupa pesa zaidiSchool is just an example and mind you also school is a business.
Tuache ushabiki tuangalie na kuwainua wengine.... Sasa diamond akimwa na asiweze kufanya matangazo tena ndo watawachukua hao wengine? Lazma uwajengee uwezo na hao wengine ili siku moja upate alternative incase anything happen.
wewe mwenyewe uelewi unazungumza nini..kwani diamond kampuni gani ilimuinua.?Inawezekana sana kama mkishirikisha akili zenu kwa ufasaha.......tatizo ubongo ume stuck kwa jina moja tu diamond........ .
Kitu ambacho sitaki kuamini ni kwamba wasanii wengine hawayafanyi kama anayoyafanya diamond...... Kama hilo swala uliloliyolea mfano. Ni kweli wengine hawafanyi?Hakuna kitu kama hicho kwenye biashara. Labda niseme hivi. Kinachowavutia kwa Diamond sio mituzo mingi aliyonayo bali alivyoji-brand mwenyewe as real super star! But look... pamoja na u-superstar wake huo bado ni mtu anaye - interact sana, tena sana na fans wake kwenye social media. Hayo mambo mawili ndiyo wanayataka kampuni ktk kutangaza bidhaa zao. Na hayo mambo huitaji Vodacom au Coca-Cola kuku-empower bali ni msanii mwenye! Btw, sio jukumu lao!
Chukulia mfano wa Le Mutuz! Watu wanamkejeli kila leo lakini deal za matangazo anazipata sana hata kama co za makampuni makubwa. Why anapata? Coz' the guy knows how to interact with online community... that's it-- ndicho kampuni kinatafuta and you don't need to be empowered!