Inakera na kuchukiza kwamba wqtu wengu wanatumia smatphone halafu ni infinix,itel na Tecno

Inakera na kuchukiza kwamba wqtu wengu wanatumia smatphone halafu ni infinix,itel na Tecno

Hii dunia inakera sana na kuchukiza kuna mambo yananipa stress sana yaani nikiona mijitu mikubwa inatumia smatphone halafu ukimkaribia zaifi anatumia hayo midosho au mabomu ya kichina Tecno,infinix na itel yaani nakerekwa mpaka natamani nitapike [emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]

Hizi sio simu ni bomu aisee jana mwana mmoja ali king nusura zimlipukie na bwana Mshana jana zimemlipukia aiseee yaaani sio poa kabisa hizi simu zinakera

Sirikali fanyeni juu chini mpige chini matumizi ya haya mabomu ya kichina aisee yataua watu huku mtaani halafu ubaya hata wauza gongo au pombe za matapu tapu anamiliki smatphone kuangalia infinix,Tecno au itel ujinga mtupu

Hata wapiga debe wa shekilango au mbezi eti nao wanatumia smatphone huu ni uozo kabisa na upuuzi mtupu

:Thread posted by Samsung note 10 plus:
Kama pombe huziwezi kunywa soft drinks
 
Wewe unatumia nn mkuu unaonyesha ni mtu wa kujikweza na dharau za kutosha....m2 anaweza akatumia hiyo techno na maisha yake humkutii hata chembe.....ubishoo wa kipumbavu unabeba apple na mfukoni huna hata mia.....
 
Hii dunia inakera sana na kuchukiza kuna mambo yananipa stress sana yaani nikiona mijitu mikubwa inatumia smatphone halafu ukimkaribia zaifi anatumia hayo midosho au mabomu ya kichina Tecno,infinix na itel yaani nakerekwa mpaka natamani nitapike 😒😒😒😒

Hizi sio simu ni bomu aisee jana mwana mmoja ali king nusura zimlipukie na bwana Mshana jana zimemlipukia aiseee yaaani sio poa kabisa hizi simu zinakera

Sirikali fanyeni juu chini mpige chini matumizi ya haya mabomu ya kichina aisee yataua watu huku mtaani halafu ubaya hata wauza gongo au pombe za matapu tapu anamiliki smatphone kuangalia infinix,Tecno au itel ujinga mtupu

Hata wapiga debe wa shekilango au mbezi eti nao wanatumia smatphone huu ni uozo kabisa na upuuzi mtupu

:Thread posted by Samsung note 10 plus:
kinachokukeresha ni nini, we mbona mpumbavu hivyo? maskini akipata kidogo ni shida, we ni ushamba na umaskini wa ukoo wako ndiyo vinakusumbua
 
🤣🤣🤣Kumbe ni yule milembe guy?hata ID hii Kuna siku nyingine ni mwanaume siku nyingine mwanamke
😃😃Ndiyo uyo uyo akaleta uzi kuwa ameibiwa mil 5 za halmashauri pale magufuli bus stand
 
Nilianza kufuatilia mambo yangu kipindi nina miaka mitano.
 
Mbongo akishakuwa na sim kali
Kamaliza teh teh
Yuko radhi alale chini ilimradi awe na sim kali...
Dada zetu na kuna midume iko tayari kuingiliwa,ilimradi wawe na sim kali

Ova
 
Watu wanatofautiana viwango vya mapato mkuu
 
Hii dunia inakera sana na kuchukiza kuna mambo yananipa stress sana yaani nikiona mijitu mikubwa inatumia smatphone halafu ukimkaribia zaifi anatumia hayo midosho au mabomu ya kichina Tecno,infinix na itel yaani nakerekwa mpaka natamani nitapike 😒😒😒😒

Hizi sio simu ni bomu aisee jana mwana mmoja ali king nusura zimlipukie na bwana Mshana jana zimemlipukia aiseee yaaani sio poa kabisa hizi simu zinakera

Sirikali fanyeni juu chini mpige chini matumizi ya haya mabomu ya kichina aisee yataua watu huku mtaani halafu ubaya hata wauza gongo au pombe za matapu tapu anamiliki smatphone kuangalia infinix,Tecno au itel ujinga mtupu

Hata wapiga debe wa shekilango au mbezi eti nao wanatumia smatphone huu ni uozo kabisa na upuuzi mtupu

:Thread posted by Samsung note 10 plus:
Unaishushia hadhi na heshima hii jamii forum yetu! Pumbavu sana wewe. Mambo yako ya kitoto peleka Facebook.
 
Back
Top Bottom