The Technologist
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,242
- 2,544
Mbona we ni nesi mkunga na wenzako ma MD kwanini hujishangai hujaweza kuwa Medical Doctor?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama pombe huziwezi kunywa soft drinksHii dunia inakera sana na kuchukiza kuna mambo yananipa stress sana yaani nikiona mijitu mikubwa inatumia smatphone halafu ukimkaribia zaifi anatumia hayo midosho au mabomu ya kichina Tecno,infinix na itel yaani nakerekwa mpaka natamani nitapike [emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]
Hizi sio simu ni bomu aisee jana mwana mmoja ali king nusura zimlipukie na bwana Mshana jana zimemlipukia aiseee yaaani sio poa kabisa hizi simu zinakera
Sirikali fanyeni juu chini mpige chini matumizi ya haya mabomu ya kichina aisee yataua watu huku mtaani halafu ubaya hata wauza gongo au pombe za matapu tapu anamiliki smatphone kuangalia infinix,Tecno au itel ujinga mtupu
Hata wapiga debe wa shekilango au mbezi eti nao wanatumia smatphone huu ni uozo kabisa na upuuzi mtupu
:Thread posted by Samsung note 10 plus:
🤣🤣🤣Kumbe ni yule milembe guy?hata ID hii Kuna siku nyingine ni mwanaume siku nyingine mwanamkeSiwezi kushangaa kuna thread ulileta kwa I'd nyingine kuwa umeruhusiwa kutoka mirembe hospital ulikuwa unasumbuliwa na magonjwa ya akili ,ila Moderator wakafanya yao wakaunganisha I'd zako zote
Matumizi mabaya ya stress, lisilokuchusu achana nalo.Kukwerwa na vitu visivyokuhusu ni umama. Eti unapata stress
kinachokukeresha ni nini, we mbona mpumbavu hivyo? maskini akipata kidogo ni shida, we ni ushamba na umaskini wa ukoo wako ndiyo vinakusumbuaHii dunia inakera sana na kuchukiza kuna mambo yananipa stress sana yaani nikiona mijitu mikubwa inatumia smatphone halafu ukimkaribia zaifi anatumia hayo midosho au mabomu ya kichina Tecno,infinix na itel yaani nakerekwa mpaka natamani nitapike 😒😒😒😒
Hizi sio simu ni bomu aisee jana mwana mmoja ali king nusura zimlipukie na bwana Mshana jana zimemlipukia aiseee yaaani sio poa kabisa hizi simu zinakera
Sirikali fanyeni juu chini mpige chini matumizi ya haya mabomu ya kichina aisee yataua watu huku mtaani halafu ubaya hata wauza gongo au pombe za matapu tapu anamiliki smatphone kuangalia infinix,Tecno au itel ujinga mtupu
Hata wapiga debe wa shekilango au mbezi eti nao wanatumia smatphone huu ni uozo kabisa na upuuzi mtupu
:Thread posted by Samsung note 10 plus:
😃😃Ndiyo uyo uyo akaleta uzi kuwa ameibiwa mil 5 za halmashauri pale magufuli bus stand🤣🤣🤣Kumbe ni yule milembe guy?hata ID hii Kuna siku nyingine ni mwanaume siku nyingine mwanamke
NAKAZIA 📌 sio umama tu na usichana juu yakeKukwerwa na vitu visivyokuhusu ni umama. Eti unapata stress
🤣🤣🤣milembe wamuongezee muda😃😃Ndiyo uyo uyo akaleta uzi kuwa ameibiwa mil 5 za halmashauri pale magufuli bus stand
Unaishushia hadhi na heshima hii jamii forum yetu! Pumbavu sana wewe. Mambo yako ya kitoto peleka Facebook.Hii dunia inakera sana na kuchukiza kuna mambo yananipa stress sana yaani nikiona mijitu mikubwa inatumia smatphone halafu ukimkaribia zaifi anatumia hayo midosho au mabomu ya kichina Tecno,infinix na itel yaani nakerekwa mpaka natamani nitapike 😒😒😒😒
Hizi sio simu ni bomu aisee jana mwana mmoja ali king nusura zimlipukie na bwana Mshana jana zimemlipukia aiseee yaaani sio poa kabisa hizi simu zinakera
Sirikali fanyeni juu chini mpige chini matumizi ya haya mabomu ya kichina aisee yataua watu huku mtaani halafu ubaya hata wauza gongo au pombe za matapu tapu anamiliki smatphone kuangalia infinix,Tecno au itel ujinga mtupu
Hata wapiga debe wa shekilango au mbezi eti nao wanatumia smatphone huu ni uozo kabisa na upuuzi mtupu
:Thread posted by Samsung note 10 plus: