Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmekupata mkuu[emoji4][emoji106]We tupe data,huwezi kumfanya kila mtu aamini kwaio we tupe nyuzi anaekubali sawa asiyekubali apite hivi
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
tushaachana mkuuDah! Pole Sana mkuu
Kwaiyo Bado uko Nae au mshaachana?
Huwa unasaligi kwa apostle Nick?Jumapili kaomba nikishatoka kanisani asbh nipitie kwake tukafanye mapenz,
Hatari sana aisee...kisaa kumnyimaa mtiiii kapata mpaka kichaaamwaka 2020 kipindi cha corona, nilikuwa na mwanamke dizain hiyo ilibaki kidogo anichome kisu sababu niligoma kumgegegeda ameniachia kovu mkono wa kulia.
nakwambia nilikuwa na pozi kuliko mtoa uziHatari sana aisee...kisaa kumnyimaa mtiiii kapata mpaka kichaaa
Mama j huyu huyu au mwingineJana jumanne niko dukani tangu saa 12 jion Anapiga Simu sn kunikumbusha MDA wa kufunga tayar mbona sitokei nyumban kwake. Nikamweleza kua ni kweli, tayr duka mbele nishafunga ila namalizia kufanya mahesabu ya stoo na vijana Kisha ndo ntakuja uko kwako.Akaanza upya kulalamika Sana.
Nikaona asije kuniharibia kunivuruga kichwa, akili iko kwny mahesabu sahv, nikakata Simu yake na kuendelea na shughuli zangu mpk nilipomaliza mida ya Saa 3 usiku. Nmemaliza nampigia simu Yake ili nimfamihishe nmemaliza shughuli zangu ndo nakuja kwake, akawa hapokei Simu zangu.
Nikajua tayari mwenzangu keshaweka kisirani, nikaona hata Kwenda kwake haina maana tena na kuamua moja kwa moja Kwenda kwangu.
Nmesha fika kwangu ananipigia simu kunitaka niende kwake usiku ule ule ili tukafanye mapenz, nikamweleza tayar nishaingia ndani siwezi kutoka Tena, MDA ule sijafika kwangu nilikupigia ili nije kwako ila hukupokea Simu yangu. Hivyo Tutaonana kesho. Akasema Kama siendi kwake usiku ule Basi nisiende daima. Nikasema "POA", akakata Simu.
Leo asbh naamka nakutana na utitiri wa sms zake za malalamiko khs ninachomfanyia jana yake. Sijamjibu nikavaa na kuondoka zangu kuelekea dukani. Nmefika nmetulia ikabd kumpigia kumjulia hali maan najua Jana kapanic Sana na kutaka kumfahamisha isiwe kesi leo jioni Safi sana, nkishafunga saa 12 jioni ntapitia kwake ili tukafanye sn mapenzi.
Anapokea simu na kuanza kuniwekea masharti kua anataka sahv saa 2 asbh hii niende kwake tukafanye mapenz. Nikamuuliza Kama Yuko serious.
Akasema ndio niko serious funga duka lako uje kwangu tufanye mapenz, vinginevyo usiniombe Tena mapenzi na tuachane kabisa na kwangu usije tena daima. Nilichomjibu "Ni POA TU"
Ila kiuhalisia siko tayar kufunga duka langu asbh ili kuja kwako kufanya mapenz, Kama huwez nisubiri mpk jioni, Basi Amua chochote unachotaka.
Akakazia Tena kua Kama siwez Kwenda kwake MDA huu, Tuachane kabisa na nifute namba zake na nisiende tena kwake daima. Nikasema "POA tu"
KWA TAFSIRI HII
TAYARI NMEACHWA WAKUU NA KIROHO SAFI NMEAMUA KUKUBALIANA NA MATOKEO[emoji26]
Nawasilisha[emoji1431]View attachment 2685508
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] bas habebi mimbaTuna miaka 4 hatutumii kabisa ndom mkuu[emoji4]
Embu naaomba voice note zake nizipitieTayar nshafuta [emoji4][emoji1431]
Ujue Niliweka na voice note maana kuna wabongo humu Bila hivyo wanasema story za mamaJ huwa Ni chai na hizo sms huwa najitumisha mwenyewe
😂😂😂 ila wewe, unataka kusema mwamba hashauriki sio?kama ni member mpya humu jf unaweza andika bonge la ushauri hapaa 😀 😀 😀
hamna kitu hapo ishakuwa ugonjwaa mbona... labda huyu mwanamke aamue kumuacha jamaa ila huyu hata akikuta huyu demu anakazwa hapo kesho atakuja tu.😂😂😂 ila wewe, unataka kusema mwamba hashauriki sio?
Umeona eee, sie tunasubiri uzi mwingine wa muendelezo.hamna kitu hapo ishakuwa ugonjwaa mbona... labda huyu mwanamke aamue kumuacha jamaa ila huyu hata akikuta huyu demu anakazwa hapo kesho atakuja tu.