Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba paroko anajua kwamba una michepuko?Nasali kanisa katoiki mkuu[emoji4]
Huyo Huwezi kumuacha,, mwanamke anayelilia mwenyewe apelekewe,unamuacha unaenda wapi tena?Anaenda shift ya jioni
Una mpango gani wa kuacha kumficha baba paroko?Hajui na hawez kujua[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23] mnapeana break tu hakuna kuachana.Imagine tumerudiana jumamosi leo alhamis tumeachana Tena[emoji848]
Kati ya Mungu na baba paroko Umamuogopa nani?Siwez mwambia kitu km hicho
Hata nikutwe ready handled[emoji4]