Inakuaje Dume zima unatumia App ya Snapchat?

Ingekuaje dunia ingekuwa na wanaume tu/wanawake tu....?
Ndvyo ilivyo huko snapchart, watamuonesha nani hzo pocha ikiwa ni wanawake tu., nnafikili mwanamke anafurahi zaisi akitazamwa na mwanaume kuliko na mwanamke mwenzake wacha tukawafurahishe huko.πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Kuona snapchart ni ya wa dada ni umama
Kibongo bongo snapchart inaonekana ya kike but far away snapchart n usefull both men and women tena wanatumiaaa sanaaaa tu afu safii sema bongoo ushamba mwingi mazeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…