Inakuaje Dume zima unatumia App ya Snapchat?

Inakuaje Dume zima unatumia App ya Snapchat?

Ingekuaje dunia ingekuwa na wanaume tu/wanawake tu....?
Ndvyo ilivyo huko snapchart, watamuonesha nani hzo pocha ikiwa ni wanawake tu., nnafikili mwanamke anafurahi zaisi akitazamwa na mwanaume kuliko na mwanamke mwenzake wacha tukawafurahishe huko.🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Kuona snapchart ni ya wa dada ni umama
Kibongo bongo snapchart inaonekana ya kike but far away snapchart n usefull both men and women tena wanatumiaaa sanaaaa tu afu safii sema bongoo ushamba mwingi mazeee
 
Back
Top Bottom